TroubleShoot your TunnelGuru

TroubleShoot your TunnelGuru

Hi! Tech guys. 0 is now available again. I have tried it with firefox and internet explorer. May be you try again to check how to!

Wale wale!!
Kwani umeeambiwa haiconnect 00?
Tatzo ni kwamba haifungui free site ikiwa haina mpunga hebu potea zako hapo uelewi kitu
 
Wale wale!!
Kwani umeeambiwa haiconnect 00?
Tatzo ni kwamba haifungui free site ikiwa haina mpunga hebu potea zako hapo uelewi kitu

kaka huu sio mda wa kutusiana yaani hapa inabidi kupeana mautundu tuone tunachomoka vipi mm sina hamu tena kuuza hivi vitu hapa bongo mpaka upepo utakapotulia na utakua mwendo wa PM kama paje alivyokua akifanya maana yale ya kuweka namba ya simu haumjui ni nani anaku-snitch lkn kwa PM mchawi lazima ajulikane tu
 
chief-mkwawa nimesoma post yako kipindi fulani cha proxy nikaona una-identify 2 types ya free sites ambazo ni HTTP=Hyper text transfer protocol ambazo zinafanya kazi na mambo yetu yale e.g 0...
ya pili ukaitaja RTSP=Real time streaming protocol

Na hii kama ni kweli ulichokisema ndo maana ile free site iliyobaki hatuwezi fanya HTTP tunneling kwa TG lkn niliposoma nikaona kuwa hii inafanya kazi kupitia UDP port fulani lkn ni impossible iwe open kwenye server za PD au TG
[TABLE="width: 1242, align: center"]
<tbody>[TR]
[TD="width: 170"][/TD]
[TD="width: 158"][/TD]
[/TR]
</tbody>[/TABLE]
 
Last edited by a moderator:
Wale wale!!
Kwani umeeambiwa haiconnect 00?
Tatzo ni kwamba haifungui free site ikiwa haina mpunga hebu potea zako hapo uelewi kitu

Yap! simjaribu mtu. Yangu haina mpunga na imekubali ku-connect kwenye hiyo free site! believe me! you may try it!
 
Yap! simjaribu mtu. Yangu haina mpunga na imekubali ku-connect kwenye hiyo free site! believe me! you may try it!

unatumia Mozilaa kweli na inafunguka?
au na wewe umetumia Opera kama alivyo Identify mdau fulani
 
unatumia Mozilaa kweli na inafunguka?
au na wewe umetumia Opera kama alivyo Identify mdau fulani

Real! I have tried in Firefox and Internet Explorer! You may also try without using any proxy and check if you get the same result!
 
Fikraduni,

Mimi nadhani Azimio la Arusha halikufa kwa sababu ya kutokueleweka. Lilipata umaarufu lililonao kwa sababu ya kutangazwa. Viongozi wetu waliamua kulizika sio kwa sababu ya kutokulielewa, bali hawakupenda lilichosimamia. Kumbuka ndani ya Azimio la Arusha ilikuwemo “Miiko ya Uongozi” ambayo haifanani na matendo ya viongozi wa sasa. Azimio la Arusha lilipinduliwa na Azimio la Zanzibar. Ninajiuliza swali kwamba, Azimio la Arusha na lile la Zanzibar lipi lilitangazwa au kujadiliwa sana? Hivi watu walipata nafasi ya kiliunga mkono au kulipinga? Lakini lipi linashamiri sana na kukumbatiwa na viongozi waliomwengi? Hata hivyo, ni lipi lililenga kulinda maslahi ya wananchi?

Nakubaliana na wewe kuwa Kiswahili kilifanikiwa kwa sababu ulizozitaja. Kumbuka kwenye Kiswahili hakuna ulaji. Kama kukua kwa Kiswahili kungekuwa na mahusiano ya moja kwa moja na kubana bana watu kuhusu suala la mlo, kingekwisha zikwa zamani. Hawa viongozi tulionao siwaamini kabisa. Tajiri akiwaambia kuwa siwapi fedha mpaka Kiingereza iwe ndio lugha ya Taifa, watafuta mitaala yote mashuleni. (Joke). Hata hivyo, Kiswahili kulikuwa kupitia juhudi za makusudi zilizofanywa na Viongozi pamoja na wananchi. Ngoma, Nyimbo, Maigizo, Ngonjera, Majigambo, Vitabu vya hadithi na simulizi za kale, Bendi za muziki, mashuleni, etc. Fikraduni, umekwisha fika Tanzania na ukasikiliza nyimbo za kizazi kipya na ukajaribu kuweka maono ya mwelekeo wa Kiswahili baada ya miaka 40 kuanzia sasa?

Nyamgluu

Hizo takwimu zinavutia sana kuzisoma. Hata hivyo, zimetolewa kwa ujumla sana kiasi kwamba haieleweki kati ya hizo bidhaa zinazonunuliwa na China, Tanzania kama nchi inapata kiasi gani? Au ni watanzania wangapi wanamiliki migodi ya maana ya Dhahabu? Hii migodi si ilibinafsishwa na hawa waheshimiwa wanaishia kulipa asilimia 3 ya mapato yao kwa sasa. Hata tukiuza dhahabu China yenye thamani ya $17 Million, tunaweza kusema nchi yetu inanufaika na huu uuzaji? Mimi nadhani Makaburu, Wamarekani, na Wakanada ambao wanamiliki hii migodi ndio wanapaswa hasa kufurahia hizi takwimu. Hivi kuna wakulima wa kawaida wanaomiliki mashamba ya Mkonge?

Hata hivyo, naona kuna mazao na mbegu za kila aina. Labda hii inaweza ikawanufaisha wananchi wa kawaida.

Wanaudh sana
 
Duuh!Njia imeshafungwa kumbe na kwenye wakongwe kuna wanafiki
daaah! siamini macho yangu I see....lkn tutashindana na nyinyi maana naona kama mnatuonea wivu...si mtuacheni kwani mnapata loss gani...ss bundle hatuwez nunua tuacheni tu
WTF, this soon?:mad2::mad2::mad2:
 
Back
Top Bottom