Trafiki wapukutishwa barabarani, Vilio vyatawala

Trafiki wapukutishwa barabarani, Vilio vyatawala

Traffic kua barabarani siyo tatizo hata kidogo,sema wengine walikua kero sana,yaani traffic anasimamisha gari alafu ndiyo anaanza kutafuta makosa, ataauliza leseni,ukimpa leseni anauliza kingine,hadi atakapokuta huna kitu flani na yeye ndiyo anaishia hapo na kutaka chochote kutoka kwako!! Bora wangekua wanasubiri at least dereva utanye kosa ndiyo usimamishwe na uaambiwe kosa lako! Je na police wakaida wakianzaa kukaguwa kila Nyumba kisa tu wanatufuta makosa unazani hali ingekuwaje huko majumbani mwetu!!??

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Spidi gavana hata ikiwepo kwenye gari dereva akiuondoa waya mmoja haifanyi kazi !! Kwahiyo spidi gavana ya kweli ni matrafiki kuwa wengi na tochi zao !! Vinginevyo tusubiri tuone !! Kisha wengine wataandika tuliwaonya wakadharau !!
Dawa sio matrafiki kuwa wengi barabarani, dawa ni kuweka kamera za kuangalia mwendokasi ili anayezidisha mwendo asimamishwe panapostahili na apewe adhabu inayostahili. Its very simple.
 
Traffic kua barabarani siyo tatizo hata kidogo,sema wengine walikua kero sana,yaani traffic anasimamisha gari alafu ndiyo anaanza kutafuta makosa, ataauliza leseni,ukimpa leseni anauliza kingine,hadi atakapokuta huna kitu flani na yeye ndiyo anaishia hapo na kutaka chochote kutoka kwako!! Bora wangekua wanasubiri at least dereva utanye kosa ndiyo usimamishwe na uaambiwe kosa lako! Je na police wakaida wakianzaa kukaguwa kila Nyumba kisa tu wanatufuta makosa unazani hali ingekuwaje huko majumbani mwetu!!??

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Pigeni picha leseni zenu, akiomba mpe soft copy na sio hard copy! Kinachotakiwa pale ni leseni yenye details zako! Maana ukiwakabidhinile kadi ya leseni yako ndo usumbufu huanzia hapo, mara apokee simu ya mchepuko wake, mara park vizuri, mara akuoneshe kuwa yeye ndio yeye, mara aaache gari lako aende kukamata lingine na kuongea nalo ilihal ww umepark gari iko on, unapotezewa muda na huna kosa
 
Traffic kua barabarani siyo tatizo hata kidogo,sema wengine walikua kero sana,yaani traffic anasimamisha gari alafu ndiyo anaanza kutafuta makosa, ataauliza leseni,ukimpa leseni anauliza kingine,hadi atakapokuta huna kitu flani na yeye ndiyo anaishia hapo na kutaka chochote kutoka kwako!! Bora wangekua wanasubiri at least dereva utanye kosa ndiyo usimamishwe na uaambiwe kosa lako! Je na police wakaida wakianzaa kukaguwa kila Nyumba kisa tu wanatufuta makosa unazani hali ingekuwaje huko majumbani mwetu!!??

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ila makosa mengine kama kutokuwa na leseni, fire ext, kutofunga mkanda, kuvaa ndala, etc. atayaonaje bila kusimamisha gari boss? Hebu tusaidie namna bora ya kuyatambua.
 
Hata mimi ningekuwa trafiki ningekula rushwa tu ukiona mtu anasifia ugali mtamu ujuwe ubwabwa hamna.
 
Dawa sio matrafiki kuwa wengi barabarani, dawa ni kuweka kamera za kuangalia mwendokasi ili anayezidisha mwendo asimamishwe panapostahili na apewe adhabu inayostahili. Its very simple.
Kuna changamoto kidogo kwenye hili. Makosa pekee ya barabarani sio mwendokasi na wrong overtaking tu. Yako mengine mengi ambayo kamera haziwezi kuyadetect. Nini kifanyike?
 
Back
Top Bottom