mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 20,455
- 36,446
Wengine Ni Brela sijui serikali haioni ule upuuzi wao ? Mtu unafungua kampuni ila wanakuzungusha Hadi unachoka.
Yule Mtendaji mkuu wa Brela ni wa kufukuzwa kabisa hajawahi kufanya mabadiriko yoyote. Rushwa zimekithiri Brela.
Jamii forum anzisheni Uzi maalumu wa kutoa kero ya hizi taasisi za umma tuisaidie serikali na wao wawe wanapita humu kuona uozo.
Kabisa


