Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,550
Kodi kubwa komozi makusanyo haba
Wewe nikuambie kalete kiungo cha albino la sivyo usipoleta nakuua huoni ni sawa nimekutuma kawaue albino then ukate viungo vyao.Ameset malengo ya makusanyo ya kodi na maduhuli la sivyo anatumbuliwa mtu sasa TRA waje wakuchekee?Sidhani mkuu. Maana kilio ni hicho tu nchi nzima. Yeye anaharibu vipi?. Anawaambia T.R.A waje huku kitaa watutait kwenye biashara zetu?
Ni kweli mkuu.
TRA wanatumia mzunguko wa mtaji na inflows kama net profit.
Na wanaikamata hiyo hela huku wakijua kuwa huo ni mtaji.
Bila shaka Jiwe ndio anawapa kiburi.TRA ifumuliwe isukwe upya ikibidi Takukuru wawachunguze wale maofisa vinara wa kuwafungia watu A/C zao kwani wengi wametajirika kimiliki majumba mali nyingi kwa Rishwa wanazochukua baada ya kuwafungia wafanyabiashara Account zao na biashara zao
Mkuu jikite katika mada.Wewe nakujua vizuri sana umesahau kwenye ule mkutano wa crb ulivyo kuwa kimbelembele kumshabikia Jiwe?
Sasa kampuni za watu binafsi zikifa kwa kubambikwa kodi zisizolipika mtakula wapi?Lipa kodi mkuu ili serikali ipate fedha ya kujenga barabara, kusomesha watoto bure na kutulipa mishahara.
Wanafikiri kodi itashushwa kama mana. Shida kubwa ni vilaza wa biashara kuingia kwenye hizi taasisi, wakifikiria kutumia mabavu ndio njia ya kufanikisha malengo.Sasa kampuni za watu binafsi zikifa kwa kubambikwa kodi zisizolipika mtakula wapi?
Shule?Kama waliwafungia akaunti hata ile Shule tu inayotoa hisani kwa Watoto Wanyonge wa Kitanzania...TRA siwashangai tena.
Nafikiri TRA na viongozi walio juu, hawaelewi mentality ya mfanya biashara.Kwa awamu hii mazingira ya biashara si rafiki kwa wafanyabiashara, ni bora kufanya long term investment mpaka waondoke, utawala mwingine uje na kuwe na mkakati wa kukusanya kodi ambao lengo lake si kumkomoa mfanyabiashara bali ni kulipa kodi halali kulingana na sheria za nchi. Nchi zingine wafanyabiashara ni wadau (partners) katika maendeleo lakini hapa kwetu ni kama kuna uadui wa kuviziana.
Sasa unasemaje?? Je ulikosea kumpa kura yako jiwe?Nimeona
Pesa zenu zipi? Ule mkopo wa misri ulitumika wapi vile?Mnaambiwa miradi mikubwa tunajenga kwa peas zetu , acheni kulia lia
Jiwe ndo nani?Sasa unasemaje?? Je ulikosea kumpa kura yako jiwe?
Lipeni kodi au mfunge biashara hizo nyingine ni kelele tu, hazijengi nchi !Mbona unakuwa mgumu kuelewa kuwa hiyo hela haipo!