kijani11
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 8,348
- 9,081
Abebe sasa hayo madumu.
Abebe sasa hayo madumu.
Wachunguzwe na nani kama anaewatuma ndo last say wa state.Nashauri; TRA wachunguzwe juu ya uhalali wa kodi zao. Kesi zimekuwa nyingi siku za hivi karibuni.
TRA wamekuwa Sumu ya maendeleoKwa hiyo sasa hivi bora kuajiriwa tu, si ndio?
Biashara zote zenye mtaji usiozidi mil 4 zinatozwa na kitamburisho cha mjasiriamali so ficha stock zako store nunua kitamburisho weka dukaniUshauri: Mtu yeyote asifanye biashara yenye mkono/uhusiano wa TRA wala kusajiliwa na TRA.
Inabidi pawe na uzi wa orodha ya biashara mbalimbali ambazo hazihusiani na TRA wala ukiifanya hiyo biashara hauhitajiki kusajiliwa na TRA.
Kwani ni mara yako ya kwanza kuona wafanyakazi wanalipa kodi?? Au unamaana gani hapa 🤔🤔??Wachunguzwe na nani kama anaewatuma ndo last say wa state.
Hii inchi imewekea malengo ya ukusanyaji hadi Traffic police na Hospital sasa sielewi wamelenga makosa ya barabarani yaongezeke na watu wazidi kuumwa ?
Hujasomeka kabisaaaaa mkuu.yan sijui umeandika kitu gan!!Ili swala ni shida Tanzania, ukienda kwenye sheria zetu taxable person ni biashara zenye turnover ya tsh 100+ million ndio lazima kujiunga. Surely such organisation have full time accountants vinginevyo nikijitafutia matatizo.
Ina maana wafanyabiashara wadogo ambao mauzo ya bidhaa zao yapo chini ya millioni 100 kujiunga ni swala voluntary, sasa kwanini tunaona kwenye channel yao ya tube TRA wanaangaika na hawa watu.
Isitoshe ata wasipojiunga serikali aitakiwi kupoteza mapato ya VAT kwa sababu wafanyabiashara wadogo wanakuwa final consumers na wao awatakiwi ku charge tena. Labda kama kukimbizana nao iwe kwenye kodi ya faida (profit tax na P.A.Y.E) which are much more to compute for non accountants.
Ata pale watu wanapoamua ku register voluntary ili wawe kwenye system (be it wengi wanalazimishwa ukiangalia video za TRA) awafundishwi namna ya ulipaji mfumo ni upi cash accounting au accrual accounting.
Kumbukumbu zipi unatakiwa kutunza na kwa muda gani, kuna swala la wafanyabiashara wadogo kuelewa VAT wanazotakiwa kutoza kutokana rate zake ambazo na zenyewe mara kwa huwa kuna mabadiliko fulani yanatokea kwenye budget ya kila mwaka.
Ni hivi kama wewe ni mfanyabiashara mdogo na umesajiliwa as taxable person (voluntary) you are better off using an EDF machine to help you calculate your output taxes and keep your resits to claim the input taxes.
The general solution ni kwamba ni wakati sasa wa Tanzania kuwa na tax services za kusaidia hizi biashara I do not see why qualified ACCA accounts don’t see this opportunity which is presenting itself.
Binafsi nikiangalia zile video na maelezo ya maafisa wa TRA huwa najisemea these businesses are at the mercy of officers who visit them, the knowledge gap is just too wide.
Easier say than do. Unalipa na nini? Wala sio kulia. TRA iko kwa mujibu wa sheria. Na hawako juu ya sheria. Msijidanganye. Mwenzako akinyolewa, wewe tia majiKama unadaiwa kalipe tu siyo unalia lia JF.
Kodi zinalipwa na wakaguzi wanapita lakini wapo baadhi hukataa ukaguzi wa awali wanaamua kufunga A/C kienyeji kwa njia haramu za kishetani ili kutengeneza mazingira ya Rushwa au kumkomoa watu.
Kwa sababu kilichoandikwa sio size yako kuelewa. Otherwise it’s straight forward.Hujasomeka kabisaaaaa mkuu.yan sijui umeandika kitu gan!!
Mtamlaumu tu TRA huku kuna mtu anaharibu masoko ya nje kwa kushindwa kucheza vizuri na uwanja wa diplomasia anaropokea wahisani na nchi rafiki kauli za kuwa yeye anahadhina nyingi na pesa nyingi za kuendeshea nchi ONA SASA wamemchunia ameanza kutoa malengo magumu ya makusanyo kwenye taasisi za kiserikali bila kujari anaua biashara na maisha ya watuT.R.A ni tatizo kubwa kwa sasa ustawi wa nchi. Wafanyabiashara wengi wanakimbilia nje ya nchi. Ukitaka kujionea hili,nenda mpaka wa tunduma. Mamlaka za Zambia baada ya kuona wafanyabiashara wananyanyaswa sana upande wa Tanzania wakakaaa nao wamewatengea eneo upande wa zambia,kwa hiyo wengi wanahamia upande wa zambia kujenga maduka. Soon Tunduma upande wa Tz itakufa kabisaaa. Ona kariakoo inavyotia huruma kwa sasa. Kipindi miaka 6 tu nyuma kariakoo ilikuwa ni kitivo cha biashara kwa nchi za DRC,Malawi,Zambia,Mozambique n.k,kariakoo ndio ilikuwa dubai yao. Baada ya kuona bidhaa ziko juu kariakoo sbb ya T.R.A wafanyabiashara hizo nchi nao wamejiongeza wanaenda nao mbele. Lakini T.R.A wakijisahihisha bado tuna nafasi ya kuzikamata hizo nchi
Basi sawa.acha nipite vileKwa sababu kilichoandikwa sio size yako kuelewa.
Na uchafuzi umegharamiwa na pesa za ndani. Wacha kabisa. CCM Oyeeee!Mnaambiwa miradi mikubwa tunajenga kwa peas zetu , acheni kulia lia
Better be in agony. I think it is at ICUTyranny and Tyranny! Robbery and robbery. The private business sector in agony.
Hapo utapigizana sana kelele na wamachinga,ili waone maumivu ni mpaka wawe walipa kodi,hakuna mmachinga anaeona maumivu haya kwa hiyo usijichosheNaona bado huelewi mantiki hata ya mfano wa ndizi.
Kodi hutokana na tozo na faida ya biashara.
Kama tozo hakuna na faida hakuna na bado ukapigwa kodi, tena kubwa, maana yake FUNGA BIASHARA.
Na wengi wanafunga.
Watanzania tusipolielewa hilo tunafikiri kodi ni kupanda migongo ya punda wafanyabiashara.
Sasa hivi punda wanakufa kwa wingi.