TRA wameita watu kwenye usaili

TRA wameita watu kwenye usaili

Ongeeni yoteeeee ila.kuna sharti wamesema hv.. Huruhusiwi kufanya mitihan ya post mbili tofaut

kama umechaguliwa zaidi ya moja.. Chagua moja na si vinginevyo
 
Names of Nationalities kwa mfano
1. AUSTRIA .........AUSTRIAN
2. TANZANIA........TANZANIAN
3. CODE d'IVOIRE... IVORIAN
4. IRELAND.......IRISH
5. PAKISTAN.... PAKISH


Abreviations; eg SADC.. EAC... VAT..

Mkuu tunaomba uendelee kutupa mwanga wa maswali kwenye post ya ass custom officer plse
 
Mnaopigiwa simu na TRA wanawaambia nini?

Nimepiwa pia,sikupokea maana simu ilikua mbali,nimecheki kwenye directory ni no za TRA!
Nimewapigia hawapokei,simu zinaiita tu! Wamepiga Mara mbili kwa no tofauti!!
 
Mnaopigiwa simu na TRA wanawaambia nini?

Nimepiwa pia,sikupokea maana simu ilikua mbali,nimecheki kwenye directory ni no za TRA!
Nimewapigia hawapokei,simu zinaiita tu! Wamepiga Mara mbili kwa no tofauti!!

Soma email yako, kama ulipigiwa kwa ajili ya interview watakuwa wamekutumia email
 
APTITUDE TEST....
WRITTEN INTERVIEW
Maswali ya hesabu, english, VAT calculation, types of taxes,na huwa wanarudia maswali ya interviews za nyuma. lakini najua wengi watapaniki ktk hesabu na ktk VAT calculation, niwashauri tena maswali yanaweza yakawa 60 na vipengele zaidi ya vitatu muda ni dakika 60 hvyo jaribu kufanya maswali unayoweza kwa speed ya light (3x1000000000000m/s) ili uweze kufaulu.... ukifanya usiondoke kesho cheki matokeo kisha jiandae na oral.......MUNGU NI MUWEZA...........

ORAL INTERVIEW
Hii itakuwa na maswali yanayohusu TRA in General, vision, mission, objectives...so jitahid kwa kiasi chako ujue kidogo abt TRA na pia ujue kujielezea confidently
 
usisahau maswali ya kuconvert numerical into words example....Convert 14,219,000,333 into WORDS
 
Names of Nationalities kwa mfano
1. AUSTRIA .........AUSTRIAN
2. TANZANIA........TANZANIAN
3. CODE d'IVOIRE... IVORIAN
4. IRELAND.......IRISH
5. PAKISTAN.... PAKISH


Abreviations; eg SADC.. EAC... VAT..

Watu wa Pakistan wanaitwa Pakistani, Pakish ni kama slang tu.
 
Names of Nationalities kwa mfano
1. AUSTRIA .........AUSTRIAN
2. TANZANIA........TANZANIAN
3. CODE d'IVOIRE... IVORIAN
4. IRELAND.......IRISH
5. PAKISTAN.... PAKISH


Abreviations; eg SADC.. EAC... VAT..

Mkuu na maswali ya ATO yanakuwaje
 
APTITUDE TEST....
WRITTEN INTERVIEW
Maswali ya hesabu, english, VAT calculation, types of taxes,na huwa wanarudia maswali ya interviews za nyuma. lakini najua wengi watapaniki ktk hesabu na ktk VAT calculation, niwashauri tena maswali yanaweza yakawa 60 na vipengele zaidi ya vitatu muda ni dakika 60 hvyo jaribu kufanya maswali unayoweza kwa speed ya light (3x1000000000000m/s) ili uweze kufaulu.... ukifanya usiondoke kesho cheki matokeo kisha jiandae na oral.......MUNGU NI MUWEZA...........

ORAL INTERVIEW
Hii itakuwa na maswali yanayohusu TRA in General, vision, mission, objectives...so jitahid kwa kiasi chako ujue kidogo abt TRA na pia ujue kujielezea confidently

mkuu majibu ya written wanatoa baada ya siku ngapi?
 
mtu yeyote asiwakatishe tamaa eti kazi fulan (ass. Preventive officer) ni mbaya c kweli. Me nipo kwny hyo post na kazi ninazofanya ni exactly da same kama za ass. Customs officer........ Jipangeni vizuri coz paper zao zinahitaji brain iliyotulia na tambua kwamba ushindani ni mkubwa sana so lazima upambane sana ufanye vizuri zaidi.. Karibuni mamlaka


jamani naombeni msaada wa mwazo maana nimeitwa interview wki ijayo tarehe 12 lakini transcript zinatoka tarehe 15 sasa sijui kama watakubali provisional results.nomeeni msaada wa mawazo tafadhali!
 
jamani naombeni msaada wa mwazo maana nimeitwa interview wki ijayo tarehe 12 lakini transcript zinatoka tarehe 15 sasa sijui kama watakubali provisional results.nomeeni msaada wa mawazo tafadhali!
 
jamani naombeni msaada wa mwazo maana nimeitwa interview wki ijayo tarehe 12 lakini transcript zinatoka tarehe 15 sasa sijui kama watakubali provisional results.nomeeni msaada wa mawazo tafadhali!

Wanakubali
 
jamani naombeni msaada wa mwazo maana nimeitwa interview wki ijayo tarehe 12 lakini transcript zinatoka tarehe 15 sasa sijui kama watakubali provisional results.nomeeni msaada wa mawazo tafadhali!

Hawawez kukubali
 
Back
Top Bottom