TRA wameita watu kwenye usaili

TRA wameita watu kwenye usaili

mtu yeyote asiwakatishe tamaa eti kazi fulan (ass. Preventive officer) ni mbaya c kweli. me nipo kwny hyo post na kazi ninazofanya ni exactly da same kama za Ass. Customs Officer........ jipangeni vizuri coz paper zao zinahitaji brain iliyotulia na tambua kwamba ushindani ni mkubwa sana so lazima upambane sana ufanye vizuri zaidi.. karibuni mamlaka

Samahan kaka preventive assistant anafanya kaz zip? Msaada jaman
 
mleta mada apo kwenye picha wanataka tatu na sio mbili!

Asante sana mkuu,hizi simu zetu za kugusa wakati mwingine zinazingua!! Baada ya kuandika 3,unakuta dole gumba limezama kwenye 2!!!
 
Hata mm nimeitwa kwenye posts 2

Assistant Customs Office & Tax Assistant
( japo sitakwenda)

Kwa unayekwenda yatambue haya:

1. Interview hii ni very competitive, watu wamesubir ajira za TRA kwa miaka mingi, wengne wapo kazin ktk makampun makubwa km PWC, KPMG, DELLOITE....CRDB, nk
KWa hiyo unakwenda kupambana na wa2 wenye uwezo + experience

2. Tanzania yetu tunaifaham.....godfathers & vimemo
Kwa hiyo idadi ya nafasi zinazogombaniwa zinapungua.......Mtangulize Mungu,,,,, halaf JIPANGE VZR,,,,, kwenye paper KAZA

3. Hii ni WRITTEN INTERVIEW ( APTITUDE TEST)

Jiandae na vi2 km:
a) Professional questions ie Accountancy & Finance
like GAAP, preparation & interpretation of Fin. statements, basics of Public Finance & Taxation,Tax computation

(b) Mathematics ( basic)....word problems, graphs & charts nk

(c) English language .....like grammar, vocabulary.comprehension

(d) Logic reasoning tests...
Figures & trends

(e) Pia ifaham vzr taasisi na shughuli zake, ikiwemo Directorates , sheria, viongozi.....(pitia website yao)

(f) General knowledge questions , like places, people & events

(g) Get 2 equip yourself with current issues, unaweza kuulizwa
 
jamani hivi kwenye interview tunaenda saa 7.30 asubuhi au saa 7.30 mchana maana hawajaandika pm wala a.m... kingine hivi diamond jubilii hall mtu akiwa ubungo anatakiwa kupanda daladala za wapi?
 
Panda gari za Muhimbili.
Utashuka mwisho halafu utaanza kushuka na barabara iitwayo Malik Road..
Diamond jubilee Hall ipo kwenye makutano ya Malik Road na Magore Street.Mkono wa kulia kama unatokea Muhimbili.
Kila lakheri kijana.
 
hongereni walioitwa wengine tuuendelee kutafuta kwe kingine
 
hongereni walioitwa wengine tuuendelee kutafuta kwe kingine

Poa mkuu,pamoja kwa sana! Komaa place jingine unaweza pata the best place than hii hapa place!

Kuna Jamaa yangu alikosa uhamiaji,but now anapapasa keyboard Ueropen Union!!
 
jamani hivi kwenye interview tunaenda saa 7.30 asubuhi au saa 7.30 mchana maana hawajaandika pm wala a.m... kingine hivi diamond jubilii hall mtu akiwa ubungo anatakiwa kupanda daladala za wapi?

Me niliv elewa ni saa 7 mchana coz saa 13 ni saa 7 mchana
 
Hongera sana. Kuna maswali ya yanayohusu tabia za ndani za mtahiniwa na kuna maswali yanayohusu nafasi unayoomba. Lakini pia kuna maswali yanayohusu uelewa wa kazi unayoitaka na pia maswali mengine yanahusu kile ambacho unapaswa kukifanya ktk nafasi yako kazini! Maswali hayo kwa ujumla ni:
1. Knowing about yourself
2. Knowing about the job position
3. Knowing about your strengths
4. Knowing about your weakness
5. Knowing about the your value
6. Knowing about your growth focus

Hongera sana.

7.computer knowledge and application
 
jamani hivi kwenye interview tunaenda saa 7.30 asubuhi au saa 7.30 mchana maana hawajaandika pm wala a.m... kingine hivi diamond jubilii hall mtu akiwa ubungo anatakiwa kupanda daladala za wapi?

Asubuhi
 
Na me nimeitwa nafasi ya preventive assistant, ila nimeogopa baada ya kuona kuna hesabu, jaman kwa mwenye uzoefu na hawa watu atuambie ni hesabu gan zinazotoka kwenye interview za TRA

Basic Mathematics
 
Hivi wadau kuna post ngapi? (Ass Customs & Tax Officer) na walioitwa ni wangapi? Tusije tukapoteza mda na nauli zetu km Interview fulani!
 
Hivi wadau kuna post ngapi? (Ass Customs & Tax Officer) na walioitwa ni wangapi? Tusije tukapoteza mda na nauli zetu km Interview fulani!

Kila mtu katumiwa kivyake kwenye mail yake
 
Na je, unaendaje na hyo barua ya kuitwa? Or they mean you should print it!
 
Back
Top Bottom