TRA wameita watu kwenye usaili

TRA wameita watu kwenye usaili

kuna rafiki yangu kaitwa ila haendi kisa watu kibao htk kupoteza mda. duh mpo wengi sna hko
 
Mbona wameshaajiri Tra tayari tena waliochukuliwa kutoka ITA
sio kweli ,

TRA uajili wao upo wazi sana kila mwaka wanaajili mara moja tena watakaofaulu usahili wanaenda pale jeshi la wokovu training ya mwezi mmoja then kazini so huo ni uzushi kabisa , futa kauli yakoo
 
sio kweli ,

TRA uajili wao upo wazi sana kila mwaka wanaajili mara moja tena watakaofaulu usahili wanaenda pale jeshi la wokovu training ya mwezi mmoja then kazini so huo ni uzushi kabisa , futa kauli yakoo

Kwani nimesema uajiri wao kuwa si wawazi au hukuelewa point yangu uko wazi ndio ila wenye qualification wengi walitoka insistute of Tax sasa hayo ya uzushi una ya jua wewe
 
Kwani nimesema uajiri wao kuwa si wawazi au hukuelewa point yangu uko wazi ndio ila wenye qualification wengi walitoka insistute of Tax sasa hayo ya uzushi una ya jua wewe

Diva hueleweki unasimamia wapi, unaamisha wengi walioitwa kwenye interview ni kutoka Institute of Tax au unamaanisha hizi nafasi watu wameshaajiriwa?Na kama wameajiriwa sasa huu usaili watu walioitwa ni wanini?
 
Diva hueleweki unasimamia wapi, unaamisha wengi walioitwa kwenye interview ni kutoka Institute of Tax au unamaanisha hizi nafasi watu wameshaajiriwa?Na kama wameajiriwa sasa huu usaili watu walioitwa ni wanini?

Nilichanganya madesa wote waliotoka Ita wameitwa kwenye interview inafanyika ijumaa ya week hii
 
Nilichanganya madesa wote waliotoka Ita wameitwa kwenye interview inafanyika ijumaa ya week hii

Basi kusingekua na watu wa kutoka vyuo,mbali mbali wangekua wanachukua watu toka chuo chao cha kodi tu pale Mikocheni!
Acha tukapambane!! Asikari hufia vitani,na sio vitisho vya adui
 
Basi kusingekua na watu wa kutoka vyuo,mbali mbali wangekua wanachukua watu toka chuo chao cha kodi tu pale Mikocheni!
Acha tukapambane!! Asikari hufia vitani,na sio vitisho vya adui

Kajaribu bahati yako usikate Tamaa mapema kila mtu na bahati yake usisahau kumwomba Mungu wako mana siku hizi kuna favouratism ya hali ya juu all the best
 
Basi kusingekua na watu wa kutoka vyuo,mbali mbali wangekua wanachukua watu toka chuo chao cha kodi tu pale Mikocheni!
Acha tukapambane!! Asikari hufia vitani,na sio vitisho vya adui
TRA inachuku wanafunzi wengi zaidi kutoka vyuo vikuu vingine na kidogo sana kutoka chuo cha kodi na ndio maana ukishaajiriwa lazima uende tena ITA ukasome short course ya miezi 3.... intake iliyopita waliochukuliwa kutoka hapo hata 5 hawafiki
 
Kujaribu sio dhambi wandugu jitahidin kumwomba mungu kama ni bahati yako na ni mpango wa mungu utapata tu hata ukifeli interview utapata tu.
 
Bado tu mada unayo hadi leo naona hd povu limekutoka
mwenzio alishanielewesha sikuile ile sasa ww leo sijui umeibukia wapi na hilo jazba
et naishi kwa mazoea haya hongera wewe unaejiona uko perfect

Sorry umenielewa vibaya sijakujibu kwa jazba.. na niliona quote yako kwangu haijalishi ulijibiwa mwanzo maana sikupitia comments zote nijue nani kakujibu. Ila tu muache kujibu kwa mazoea.
 
jamani eeee kwa niaba ya wanatakaofanya usaili wa TRA kesho ni kodi ipi na ipi ilikiukwa wakati wa utowaji na ugawanaji wa fedha kutoka account ya escrow
 
Kuna watu kibao hapa diamond jubilee mpaka nkajua kuna ajali watu wanashangaa kama kawaida au kuna maandamano kumbe ni interview tu......duh hii hatari
 
Aaaaah kawaida bhana@elious,usaili kama hzi nikitu cha kawaida,usitegemee kuitwa kwenye interview za taasisi kama hii ukaluta watu wa chache?
 
Back
Top Bottom