qn of sheba
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,230
- 1,382
Hawawez kukubali
wanakubali bana usimkatishe tamaa ila tu iwe ya semister zote.
Hawawez kukubali
wanakubali bana usimkatishe tamaa ila tu iwe ya semister zote.
usisahau maswali ya kuconvert numerical into words example....Convert 14,219,000,333 into WORDS
Umekurupuka tu kutuma na kumbe hawahitaji.Sorry wadau me nimesoma IT na niuliomba nafasi TRA kama assistant preventive officer lakini sijapata email yao kuitwa kwenye interview. Naomba kuuliza watu wa IT hawana qualification za kufanya kazi kama preventive officer
Wala sina malengo ya kumkatisha mtu tamaa nimeongea ukweli ni wap kwenye gvt unaruhusiwa kufanya mtihani na provisional result kwanza sehem nyingine kama huna cheti huruhusiwi kabisa
Labda umkute mkaguaji kaamka vizuri siku hio omba mungu ila usiache kwenda kabisa
Greencity nenda kafanye interview ukifika waeleze mm ckutumiwa emaail... mlangoni pale wanayo list ya watahiniwa wote ni swala la kuconfirm tu jina lako straightMkuu inakuwaje nimepigiwa simu nifike kwenye interview na barua lakini email sijapata! Je naweza print barua ya mwingine au hizo barua zina specific details za kila mtu? Karibu!
Hiyo tarehe 13 ndio inachanganya zaidi! Nitakupigia mkuu MBWAMBOs]Greencity hata mi nlipigiwa sm Ila sikupata email hata position gan sifaham waliniambia niende tarehe 13 napiga namba zao hazpokelew ebu tuwasiliane 0712288395 tujue tunafanyaje
Asante! Pia tatizo baadhi yetu tuliopigiwa tumeambiwa interview tarehe 13 hii sijui imekaaje chief SENGATIGreencity nenda kafanye interview ukifika waeleze mm ckutumiwa emaail... mlangoni pale wanayo list ya watahiniwa wote ni swala la kuconfirm tu jina lako straight
hzo barua ni kama kuhakiki ujio wako unakithibitisho
Asante! Pia tatizo baadhi yetu tuliopigiwa tumeambiwa interview tarehe 13 hii sijui imekaaje chief SENGATI
Habari za jioni wadau??
TRA wameanza kuita watu kwenye usaili!!
Nimepokea mail toka kwao,wakiniomba nikachape usaili wao tarehe 12/12/14!
Post ya kazi ni Assistant Tax Officer!!
Vitu vya kwenda navyo siku ya interview ni
1.Barua ya kuitwa kuhudhuria usaili!
2. Picha mbili za passport size!!
3.Vyeti Original
4. Cheti cha kuzalia
5. Kikokotozi!
Naombeni msaada wenu pls! Maswali yanakuaje,maana kabla ya kwenda vitani,mchunguze kwanza adui yako anatumua zana zipi za maangamizi!!
swali lingine linaweza kuwa, kodi aliyokwepa singasinga seth wa iptl ni aina gani ya kodi?
]Greencity hata mi nlipigiwa sm Ila sikupata email hata position gan sifaham waliniambia niende tarehe 13 napiga namba zao hazpokelew ebu tuwasiliane 0712288395 tujue tunafanyaje
Na me nimeitwa nafasi ya preventive assistant, ila nimeogopa baada ya kuona kuna hesabu, jaman kwa mwenye uzoefu na hawa watu atuambie ni hesabu gan zinazotoka kwenye interview za TRA