1. with 2 examples each, distinguish between dry ports and wet portsHabari za jioni wadau??
TRA wameanza kuita watu kwenye usaili!!
Nimepokea mail toka kwao,wakiniomba nikachape usaili wao tarehe 12/12/14!
Post ya kazi ni Assistant Tax Officer!!
Vitu vya kwenda navyo siku ya interview ni
1.Barua ya kuitwa kuhudhuria usaili!
2. Picha mbili za passport size!!
3.Vyeti Original
4. Cheti cha kuzalia
5. Kikokotozi!
Naombeni msaada wenu pls! Maswali yanakuaje,maana kabla ya kwenda vitani,mchunguze kwanza adui yako anatumua zana zipi za maangamizi!!
Customs borders n their respective regions:Preventive assistant
Customs borders n their respective regions:
namanga...arusha
holili.........moshi
tunduma......mbeya
mtukula.....kagera
Rusumo... kagera,
Kasumulo.... mbeya,
Kabanga.... Kagera
Horohoro...... Tanga
Mtambaswala.. Mtwara
Sirari.... Mara
tarakea... moshi.. rombo
Nyie watu wa preventive mnatakiwa mjue borders.Mfano Namanga inapatikana wapi?mtambaswala,lusumo etc
Na je, unaendaje na hyo barua ya kuitwa? Or they mean you should print it!
Samahan kaka preventive assistant anafanya kaz zip? Msaada jaman
Mine imeandikwa 0730 Hours sina shaka najua ni saa moja na nusu asubuhi. Sasa sijui wengine
300 Bila shaka
Habari za jioni wadau??
TRA wameanza kuita watu kwenye usaili!!
Nimepokea mail toka kwao,wakiniomba nikachape usaili wao tarehe 12/12/14!
Post ya kazi ni Assistant Tax Officer!!
Vitu vya kwenda navyo siku ya interview ni
1.Barua ya kuitwa kuhudhuria usaili!
2. Picha mbili za passport size!!
3.Vyeti Original
4. Cheti cha kuzalia
5. Kikokotozi!
Naombeni msaada wenu pls! Maswali yanakuaje,maana kabla ya kwenda vitani,mchunguze kwanza adui yako anatumua zana zipi za maangamizi!!