TRA wameita watu kwenye usaili

TRA wameita watu kwenye usaili

wakuu naombeni mnisaidie mimi nimeitwa kwenye usaili ila nimepiiwa tuu simu kutoka huko kuwa nifike diamond asubuhi ila wameniuliza kama nimepata email nikamjibu hapana ndo akanambia natakiwa nifike
 
Wala sina malengo ya kumkatisha mtu tamaa nimeongea ukweli ni wap kwenye gvt unaruhusiwa kufanya mtihani na provisional result kwanza sehem nyingine kama huna cheti huruhusiwi kabisa

Labda umkute mkaguaji kaamka vizuri siku hio omba mungu ila usiache kwenda kabisa

sawa ila usiishi kwa mazoea TRA sio direct na serikali kuu ambazo ni local government na central govt na ndio maana haitumii utumishi kuajiri. kwa utumishi its OK wanakataza provision ila TRA hakuna kitu kama hicho hata provision zinakubaliwa na ndio maana kwenye tangazo la kazi hawakusisitiza lazima uwe na cheti na kwa hizo nafasi wanatakaga gratuates ambao wengi hawana vyeti bado, ukiangalia waajiriwa wengi wa hizo post miaka hii ya karibuni hawana vyeti bado.
 
sawa ila usiishi kwa mazoea TRA sio direct na serikali kuu ambazo ni local government na central govt na ndio maana haitumii utumishi kuajiri. kwa utumishi its OK wanakataza provision ila TRA hakuna kitu kama hicho hata provision zinakubaliwa na ndio maana kwenye tangazo la kazi hawakusisitiza lazima uwe na cheti na kwa hizo nafasi wanatakaga gratuates ambao wengi hawana vyeti bado, ukiangalia waajiriwa wengi wa hizo post miaka hii ya karibuni hawana vyeti bado.

Bado tu mada unayo hadi leo naona hd povu limekutoka
mwenzio alishanielewesha sikuile ile sasa ww leo sijui umeibukia wapi na hilo jazba
et naishi kwa mazoea haya hongera wewe unaejiona uko perfect
 
sawa ila usiishi kwa mazoea TRA sio direct na serikali kuu ambazo ni local government na central govt na ndio maana haitumii utumishi kuajiri. kwa utumishi its OK wanakataza provision ila TRA hakuna kitu kama hicho hata provision zinakubaliwa na ndio maana kwenye tangazo la kazi hawakusisitiza lazima uwe na cheti na kwa hizo nafasi wanatakaga gratuates ambao wengi hawana vyeti bado, ukiangalia waajiriwa wengi wa hizo post miaka hii ya karibuni hawana vyeti bado.

Kamanda nakupinga kwamba TRA wanahitaji watu wenye provisional kwa sana na sio wenye vyeti!

Soma vizuri mail yao,wamesema kabisa njoo na original certificates na sio provisional original!!

Sema kwamba TRA wanakubali kumusaili mtu hata kama una provisional ya matokea ya semester zote!
 
sawa ila usiishi kwa mazoea TRA sio direct na serikali kuu ambazo ni local government na central govt na ndio maana haitumii utumishi kuajiri. kwa utumishi its OK wanakataza provision ila TRA hakuna kitu kama hicho hata provision zinakubaliwa na ndio maana kwenye tangazo la kazi hawakusisitiza lazima uwe na cheti na kwa hizo nafasi wanatakaga gratuates ambao wengi hawana vyeti bado, ukiangalia waajiriwa wengi wa hizo post miaka hii ya karibuni hawana vyeti bado.

Jamani nashukuru sana kwa msaada wa mawazo si unajua wengine ndo tuningia kwenye gemu ya ajira hatujui moja wala mbili tunaihitaji msaada wenu...I really appreciate it.thanx.
 
fika bila kukosa endelea kujifua kijana mbele kwa mbele madam umepigiwa cm usihofu
 
Jaman vipi hamjasikia chochote kuhusu format za interview zao? maana siku ndo sishayoyoma kwa mwenye knowledge kidogo atusaidie tusizame jamani maana inabidi angalau tufaulu viwango vya juu wakose sababu ya kutuchinjia baharini......Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe
 
Na me nimeitwa nafasi ya preventive assistant, ila nimeogopa baada ya kuona kuna hesabu, jaman kwa mwenye uzoefu na hawa watu atuambie ni hesabu gan zinazotoka kwenye interview za TRA

hesabu mchanganyiko kuanzia darasa la sita had fom four
 
habar zenu wadau naomba kujua idadi ya watu walioitwa kwenye hii intervw ya tra maana naambiwa kila aliyeapply ameitwa!!!!!!!
 
ni wengi asee almost kila aliyeapply na kukidhi vigezo vyao ameitwa,nahisi ni zaidi ya 4,000
 
Leo TRA wamenitumia tena mail,mail ya leo ni post ya Assistant customs officer,ya kwanza ilikua ni Assistant Tax officer! Sijui nikapige ipi! Maana wamesema ukipata nafasi mbili,unaenda kupiga moja tu!

Halafu zinafanyika wakati Mmoja! 12/12/14! Saa 1:30 asubuhi!!
 
Jaman wapendwa, kuna mtu mwingine aliye ambiwa aende saa saba na nusu? Coz watu wengi naona ni saa moja na nusu. Msaada wenu jaman
 
Habari wana JF me nimesoma Bachelor ya Public Administration niliomba post ya preventive officer TRA lkn sijaitwa vp?
 
Habari wana JF me nimesoma Bachelor ya Public Administration niliomba post ya preventive officer TRA lkn sijaitwa vp?
nahisi shahada yako ilikuwa haitajiki maana wameandika hivi " minimum job requirements qualification
(i) Advance diploma or University degree in Custom or Taxation or Economics of Finance or Business Administration or Law..."
 
nahisi shahada yako ilikuwa haitajiki maana wameandika hivi " minimum job requirements qualification
(i) Advance diploma or University degree in Custom or Taxation or Economics of Finance or Business Administration or Law..."

Samahan NGOGO naomba kama una lile tangazo au ile form yao ya kujaza unisaidie kuna vitu nataka niangalie, samahan kwa usumbufu
 
Sawa ila naona walieka equivalent. Vp kuusu zile posts za bot za last year na zilizofata vp au ndo udugu wa panya!
 
Naombeni msaada wana jf kuusu posts za tra ip kat yao ziliitaj bachelor ya law?
 
naombeni mnisaidie mwenzenu nimepigiwa tuu simu kuwa nifike ile email sijatumiwa email sasa cjui nifanyeje maana sielewe elewi somo

Me mwenye mail sijapata nlikua nshaanza kuchanganyikiwa nkijua nipo peke yangu ila kwakua walinipigia sitaacha kwenda
 
nahisi shahada yako ilikuwa haitajiki maana wameandika hivi " minimum job requirements qualification
(i) Advance diploma or University degree in Custom or Taxation or Economics of Finance or Business Administration or Law..."

Mbona wameshaajiri Tra tayari tena waliochukuliwa kutoka ITA
 
Back
Top Bottom