Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,606
- 29,754
TRA Tanzania hii hoja naiweka mezani kwenu.
Mnakusanya kodi kwa niaba yetu ili tuweze kuwekeza kwenye maendeleo ya nchi.
Lakini sasa, serikali inashindwa kuprovide umeme wa uhakika na kupelekea gharama za uzalishaji kuwa juu kwa sababu ya kutumia vyanzo mbadala vya nishati ya umeme.
Anguko la wafanyabiashara hususani viwandani na wasindikaji ni kubwa sana. Najiuliza, TRA mnapata guts gani kufurahia kukusanya kodi kutoka kwa wawekezaji wanaoporomoka kiuchumi?
Tuelimishane hapa
Mnakusanya kodi kwa niaba yetu ili tuweze kuwekeza kwenye maendeleo ya nchi.
Lakini sasa, serikali inashindwa kuprovide umeme wa uhakika na kupelekea gharama za uzalishaji kuwa juu kwa sababu ya kutumia vyanzo mbadala vya nishati ya umeme.
Anguko la wafanyabiashara hususani viwandani na wasindikaji ni kubwa sana. Najiuliza, TRA mnapata guts gani kufurahia kukusanya kodi kutoka kwa wawekezaji wanaoporomoka kiuchumi?
Tuelimishane hapa