Hili dude acha tu mkuu.Organic Chemistry-si O Level wala A Level kote ilikuwa majanga ikabidi nianze kumeza tu kwani sh ngapi?
Uko sahihi kabisa! Wanaotufundisha wanachangia kutufanya tulivyo.Hii ndiyo shida ya Waalimu wetu kuanzia primary hadi varsities, hakuna somo gumu kwa mwenye akili bali wapo waalimu wabovu.
Same here , na bado napambana nayo 😂Nadhani wengi tuliopita advance na tuliosoma Physics ngoma ngumu ilikua Rotation of rigid bodies
Organic ya advance ilinisumbua Sana, ukiwa nje ya pepa nyepesi ndani nilikuwa napata shida aiseeOrganic aiseee
Kuna jamaa huyo amesoma petroleum udsm yule jama tulikuwa tunamwita isomers ,yule mwamba ni nyoko aise chemistry na mathematics hapana sijaona bado ila matokeo yake hana ajira mwaka wa tano sijuii etii petroleum haina soko
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama namfahamu flani hivi 🤔🤔🤔Kuna jamaa huyo amesoma petroleum udsm yule jama tulikuwa tunamwita isomers ,yule mwamba ni nyoko aise chemistry na mathematics hapana sijaona bado ila matokeo yake hana ajira mwaka wa tano sijuii etii petroleum haina soko
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmh kwa phy hapo.... Ni kama sijaelewa hivi..?Mimi A level
1. Physics sikusoma mechanics yote,wave zote, current electricity, na ile ya molecules
Nilitoka na E necta 😒😒😒
2.Chemistry organic chemistry yote sikusoma nimetoka na B necta
3. Mathematics differential, integration, probability sikusoma nimetoka na A necta hii ilikuwa 2022
O level sasa
1. History topic za form 3 zote sizijui nimepiga C necta
2. Civics sexy nimepiga B
3. Geography physical yote sikusoma nimechomoa B necta
4. Physics topic za form 3 nilikuwa weak sana nimechomoa C necta
5. Chemistry Nilikuwa nipo good nashaanga nimepiga C 😒😒😒
6. Kiswahili ximamoto nikatusua B yangu safi
7. Mathematics mpenxi wangu A nilikuwa najua kila topic hivyo nilikua sure
8. English kama mathe tu
9.Biology nilikuwa nipo avg kwenye kila topic Nikapiga B yangu fresh
Hiii ilikuwa 2019