Mhasibu/karani wa mahakama ya mwanzo sinza anaomba rushwa waziwazi kushughulikia mirathi! Keshawatapeli watu wengi kwenye mirathi! Ofisini haonekani amekuwa kama Nguchiro!
CC:Takukuru
CC: waziri wa sheria na katiba
CC:Jaji mkuu
CC: RC Dar
CC: DC Ubungo
CC:Takukuru
CC: waziri wa sheria na katiba
CC:Jaji mkuu
CC: RC Dar
CC: DC Ubungo