Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Ndio kiki aliyobakiza.Diamond acheze x sahvi.
Ndio kiki aliyobakiza.Diamond acheze x sahvi.
mpaka kesho kwangu mimi ni wimbo bora zaid kwenye album yakeChuki ni mbaya sana.. hivi unajua kama i miss you ulikuwepo hata kabla harmo hajaingia WCB??
Btw mimi binafsi naona Harmo ndio kashuka sana kiuandishi .. ukimfananisha harmo wa Atarudi (hii ni ngoma na nusu) na huyu wa uno sijui haujanikomoa utaona kuna tofauti kubwa sana..
Hata hii album yake kuna nyimbo mbii tu kaandika vizuri (mama na mpaka kesho) nyingine ni takataka kabisa ndio maana album imebuma.
diamond anaangalia soko linataka nini watu sasa hivi wanapenda nyimbo za kuchezekaNyimbo za Harmo ni motochini kusema kweli.
Zinagusa hisia na kutuliza nafsi unapozisikiliza sio kama za Mondi makelele kibao kama mpiga debe
Nasubutu kusema unachembe zaushbik wakipumbav sana kwasababu hakuna hoja ya msing ulio iongea hapa zaid ya ushabik wakipumbav jitafakar unasemea nyimbo zenye ujumbe mzuri sasa tazama cm yako je kunanyimbo zenye ujumbe mzur kwenye cm yako ndipo utakapo lipata jibu ya kuwa wew nimtu gan.Ukifuatilia kwa makini utagundua tu hili. Tazama mashairi ya wimbo kama I miss u wa diamond unauona kabisa uandishi wa Harmo. Cheki na nyimbo zingine kabla ya harmo kuondoka!!! Leo unakuja kuimbiwa wimbo kama gere melody mbaya , mashairi ya kawaida sana na ndio maana ulidumu kwa Sikh tatu tu.
Angalia wimbo wa JEJE haya Monday mwenyewe hajui maana ya jeje. Ndani ya wimbo jamaa anamini kuimba matusi ndio kunam bust mashairi ya kitoto sana hayana maneno ya kumfikirisha mtu. Ludi kwenye nyimbo kama baba lao au kanyaga. Yaani mashairi ya kawaida sana sema wanayaforce masikio ya watu kuyasikiliza kwa muda mrefu dakika za mwisho zinaishia kuwa nyimbo za watoto....
Nahisi uwepo wa Tembo pale ulikuwa na msaada mkubwa sana kwa Mondy kiuandishi. Na ndio maana haya huyu Zuchi katoka kikawaida sana, kakosa mwandishi japo ni mkali sana wa kuimba.
Amino nakwambia kama harmo angekuwa bado yuko pale Zuchi angetoboa mapema sana ila kwa sasa itabidi itumike nguvu kubwa sana kama iliyotumika kwa Mboso alafu watu wanakuja kumuelewa baadae.
Povu ruksa ila tazama kwa jicho la Muziki utaona