Kuna muda unafika kwa Msanii mkubwa kutokuwa na jipya katika jamii hata utoe ngoma kali kiasi gani. Ndivyo ilivyo sasa kwa Diamond, hana jipya la kuwavutia mashabiki na wapenzi wa music, labda aimbe nyimbo zake za zamani. Watu wanataka ladha mpya kuanzia personality, sauti nk. Ni kama walivyo wasanii wa Nigeria kina Davido they have nothing new ndio maana dunia sasa inakwenda na Burnaboy, Wizzdanie nk.
Kwa ninavyoona wimbo wa Enjoy ni mzuri sana na ungependwa na kufuatiliwa zaidi iwapo Jux angeimba na msanii wa kawaida na sio Diamond. Sema tatizo la Diamond anapoona ngoma ni nzuri atataka aibebe yeye.
Halafu sijui kwasasa Meneja wa Diamond ni nani. Kipindi yupo babu tale alikuwa anajitahidi sana Diamond awe na haiba ya kimuziki lakini isiyovuka mipaka. Kwasasa Diamond hana personality nzuri, amekuwa na muonekano usioendana na haiba yake, angalia hata anavyoweka manywele, nadhani kwa umbo lake na kichwa chake kunatakiwa kuwe na uwiano fulani wa nywele au rasta, ukikosea au kuzidisha unakuwa kituko.
Pia suala la kukaa tumbo/kifua wazi kwa umbile lake haimpendezeshi TOFAUTI NA WENYE MIILI KAMA KINA BURNABOY.
Kimsingi Diamond anatakiwa kujua yeye tayari ni star mkubwa sana na kwa level yake tayari ameshafika peak. Na sio kila nyimbo inayopitia lebo yake ya wasafi basi na yeye aimbe
Kwa ninavyoona wimbo wa Enjoy ni mzuri sana na ungependwa na kufuatiliwa zaidi iwapo Jux angeimba na msanii wa kawaida na sio Diamond. Sema tatizo la Diamond anapoona ngoma ni nzuri atataka aibebe yeye.
Halafu sijui kwasasa Meneja wa Diamond ni nani. Kipindi yupo babu tale alikuwa anajitahidi sana Diamond awe na haiba ya kimuziki lakini isiyovuka mipaka. Kwasasa Diamond hana personality nzuri, amekuwa na muonekano usioendana na haiba yake, angalia hata anavyoweka manywele, nadhani kwa umbo lake na kichwa chake kunatakiwa kuwe na uwiano fulani wa nywele au rasta, ukikosea au kuzidisha unakuwa kituko.
Pia suala la kukaa tumbo/kifua wazi kwa umbile lake haimpendezeshi TOFAUTI NA WENYE MIILI KAMA KINA BURNABOY.
Kimsingi Diamond anatakiwa kujua yeye tayari ni star mkubwa sana na kwa level yake tayari ameshafika peak. Na sio kila nyimbo inayopitia lebo yake ya wasafi basi na yeye aimbe