Tofauti ya majeshi yetu yana maoni gani juu ya utofauti wa sare

Member71

New Member
Aug 28, 2023
3
5
Ni ipi sababu inayofanya sare za polisi na majesh mengine ya wizara ya mambo ya ndani hayavai sare zenye rangi ya mabaka kama sare za jeshi la jwtz, na wakati kiprotoko yote ni majeshi kama majeshi mengine, kwa wenzetu kenya majeshi yao yote yanavaa sare za kijeshi zenye mabaka mabaka tofauti ni rangi tuh kwanini huku kwetu wasibadilishiwe sare ili kuongeza heshima za majeahi yetu na kupunguza utofauti uliojengeka kwa wanainchi kuwa jeshi ni 1 tuh la jwtz, huku majeshi mengine hayapewi heshima hiyo kama jeshi la wanainchi, tusaidiane kwenye huu mjadala
 
Ni ipi sababu inayofanya sare za polisi na majesh mengine ya wizara ya mambo ya ndani hayavai sare zenye rangi ya mabaka kama sare za jeshi la jwtz, na wakati kiprotoko yote ni majeshi kama majeshi mengine, kwa wenzetu kenya majeshi yao yote yanavaa sare za kijeshi zenye mabaka mabaka tofauti ni rangi tuh kwanini huku kwetu wasibadilishiwe sare ili kuongeza heshima za majeahi yetu na kupunguza utofauti uliojengeka kwa wanainchi kuwa jeshi ni 1 tuh la jwtz, huku majeshi mengine hayapewi heshima hiyo kama jeshi la wanainchi, tusaidiane kwenye huu mjadala
Ntarudi baadae
 
Ni ipi sababu inayofanya sare za polisi na majesh mengine ya wizara ya mambo ya ndani hayavai sare zenye rangi ya mabaka kama sare za jeshi la jwtz, na wakati kiprotoko yote ni majeshi kama majeshi mengine, kwa wenzetu kenya majeshi yao yote yanavaa sare za kijeshi zenye mabaka mabaka tofauti ni rangi tuh kwanini huku kwetu wasibadilishiwe sare ili kuongeza heshima za majeahi yetu na kupunguza utofauti uliojengeka kwa wanainchi kuwa jeshi ni 1 tuh la jwtz, huku majeshi mengine hayapewi heshima hiyo kama jeshi la wanainchi, tusaidiane kwenye huu mjadala
TATIZO LA NI KUIGA KILA UKIONACHO KWA Jirani yako hta kama ni cha kipuuzi, Uhalifu unapotokea UHALIFU kwa mtu wa kawaida hatajua kuwa huyu ni Mwanajeshi au ni Polisi hiyo ni moja tu kati sababu nyingi zinazofanya kila Jeshi liwe na sare yake hapa Tanzania mengine ni mambo nyeti siwezi andika hapa ila jifunze kuheshimu vyako na kuvipenda usiwe limbukeni wa kushabikia kila unachokiona kwa jirani hata kama ni ushoga basi na kwenu mkulane ACHA UJINGA HUO
 
Ile ya mabaka mabaka inaitwa “camouflage uniform”, inamsaidia askari kujificha kwenye mazingira aliyopo, ile ya JWTZ ni ya msituni zaidi kwa kuwa ndio mazingira halisi ya ukanda wetu.

Nchi kama marekani wanazo za design mbalimbali zinazotumiwa na majeshi yake, za msituni zinafanana kidogo na zetu, wanazo pia za mazingira ya jangwani ambao ndio zile unaona wanavaa sana wakiwa mashariki ya kati.

Kwahiyo kujibu swali lako, ile mabakamabaka ni kwa ajili ya kazi halisi za jeshi. Kwa shugulinza kiofisi JWTZ wanazo uniform za ofisini (mashati na suruali).

1707059343747.jpeg
 
TATIZO LA NI KUIGA KILA UKIONACHO KWA Jirani yako hta kama ni cha kipuuzi, Uhalifu unapotokea UHALIFU kwa mtu wa kawaida hatajua kuwa huyu ni Mwanajeshi au ni Polisi hiyo ni moja tu kati sababu nyingi zinazofanya kila Jeshi liwe na sare yake hapa Tanzania mengine ni mambo nyeti siwezi andika hapa ila jifunze kuheshimu vyako na kuvipenda usiwe limbukeni wa kushabikia kila unachokiona kwa jirani hata kama ni ushoga basi na kwenu mkulane ACHA UJINGA HUO
Maana yangu ni kuipa heshima vazi la majeshi mengine sijamaanisha kuwa vazi la majeshi yetu ya wizara ya mambo ya ndani ni mabaya hapana, na sijaamaanisha wavae sare za jwtz maoni yangu ni kuwa wangetengenezewa combat zao tofauti na za jeshi la wanainchi
 
Ni ipi sababu inayofanya sare za polisi na majesh mengine ya wizara ya mambo ya ndani hayavai sare zenye rangi ya mabaka kama sare za jeshi la jwtz, na wakati kiprotoko yote ni majeshi kama majeshi mengine, kwa wenzetu kenya majeshi yao yote yanavaa sare za kijeshi zenye mabaka mabaka tofauti ni rangi tuh kwanini huku kwetu wasibadilishiwe sare ili kuongeza heshima za majeahi yetu na kupunguza utofauti uliojengeka kwa wanainchi kuwa jeshi ni 1 tuh la jwtz, huku majeshi mengine hayapewi heshima hiyo kama jeshi la wanainchi, tusaidiane kwenye huu mjadala
Heshima ipi ulitaka wapewe labda ungefafanua?
 
Ni ipi sababu inayofanya sare za polisi na majesh mengine ya wizara ya mambo ya ndani hayavai sare zenye rangi ya mabaka kama sare za jeshi la jwtz, na wakati kiprotoko yote ni majeshi kama majeshi mengine, kwa wenzetu kenya majeshi yao yote yanavaa sare za kijeshi zenye mabaka mabaka tofauti ni rangi tuh kwanini huku kwetu wasibadilishiwe sare ili kuongeza heshima za majeahi yetu na kupunguza utofauti uliojengeka kwa wanainchi kuwa jeshi ni 1 tuh la jwtz, huku majeshi mengine hayapewi heshima hiyo kama jeshi la wanainchi, tusaidiane kwenye huu mjadala
Katafute maana ya jeshi halafu usome upya ulichokiandika.
 
Ni ipi sababu inayofanya sare za polisi na majesh mengine ya wizara ya mambo ya ndani hayavai sare zenye rangi ya mabaka kama sare za jeshi la jwtz, na wakati kiprotoko yote ni majeshi kama majeshi mengine, kwa wenzetu kenya majeshi yao yote yanavaa sare za kijeshi zenye mabaka mabaka tofauti ni rangi tuh kwanini huku kwetu wasibadilishiwe sare ili kuongeza heshima za majeahi yetu na kupunguza utofauti uliojengeka kwa wanainchi kuwa jeshi ni 1 tuh la jwtz, huku majeshi mengine hayapewi heshima hiyo kama jeshi la wanainchi, tusaidiane kwenye huu mjadala
Ni bora waendelee kuvaa hivohivo tu
Mana sipati picha nao wakivaa mabakabaka
 
Ni ipi sababu inayofanya sare za polisi na majesh mengine ya wizara ya mambo ya ndani hayavai sare zenye rangi ya mabaka kama sare za jeshi la jwtz, na wakati kiprotoko yote ni majeshi kama majeshi mengine, kwa wenzetu kenya majeshi yao yote yanavaa sare za kijeshi zenye mabaka mabaka tofauti ni rangi tuh kwanini huku kwetu wasibadilishiwe sare ili kuongeza heshima za majeahi yetu na kupunguza utofauti uliojengeka kwa wanainchi kuwa jeshi ni 1 tuh la jwtz, huku majeshi mengine hayapewi heshima hiyo kama jeshi la wanainchi, tusaidiane kwenye huu mjadala
Hivi kwann kuna hii imani kwamba kitu kikifanyika nje ya nchi basi ni sahihi kutumika km mfano Tanzania?
 
Maana yangu ni kuipa heshima vazi la majeshi mengine sijamaanisha kuwa vazi la majeshi yetu ya wizara ya mambo ya ndani ni mabaya hapana, na sijaamaanisha wavae sare za jwtz maoni yangu ni kuwa wangetengenezewa combat zao tofauti na za jeshi la wanainchi
Kenya wale unaowaona wanavaa juu bakabaka na chini suruali ya khaki ni paramolitary au jeshi usu. Wana mafunzo ya kijeshi na mafunzo ya kipolisi. Wanaweza kufanya kazi za kijeshi na kipolisi.

Wanajeshi wenyewe wa KDF wanafaa full bakabaka. Kwahiyo usidanganye watu. Congo, Uganda, Burundi na Rwanda polisi wao wanavaa nguo za blue na hata Kenya polisi wanavaa nguo za blue.

Bakabaka ni vazi la kivita sio la kiraia la kuranda randa nalo mitaani. Polisi ni chombo cha kiraia tu.
 
Ni ipi sababu inayofanya sare za polisi na majesh mengine ya wizara ya mambo ya ndani hayavai sare zenye rangi ya mabaka kama sare za jeshi la jwtz, na wakati kiprotoko yote ni majeshi kama majeshi mengine, kwa wenzetu kenya majeshi yao yote yanavaa sare za kijeshi zenye mabaka mabaka tofauti ni rangi tuh kwanini huku kwetu wasibadilishiwe sare ili kuongeza heshima za majeahi yetu na kupunguza utofauti uliojengeka kwa wanainchi kuwa jeshi ni 1 tuh la jwtz, huku majeshi mengine hayapewi heshima hiyo kama jeshi la wanainchi, tusaidiane kwenye huu mjadala
Acha unanga tafuteni heshima kwa utoaji mzuri wa huduma kwa raia heshima haiji kwa kuvaa mabakabaka kama unavyotamani, mbona TISS na TAKUKURU hawaonekani na mabakabaka mda wote lakini wanaheshimika

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom