GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,591
- 108,943
Sasa kama mnalisifia na mnalipenda Jeshi la Marekani kwa Utaratibu wake wa hasa Uniforms (Sare ) zao na Uvaaji wa Raia wa hizo Sare zao na Uzuri wa nchi yoo kwanini hasa hamhamii huko mkaishi na badala yake Sote tu tuko hapa hapa Dar es Salaam Tanzania tunasaka zetu Nyoka tu ili Kupambana na Maisha yetu yenye Mchanganyiko wa Ugunu mwingi na Raha Kiduchu?
Wewe ni nani hasa wa kulipangia Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kuishi kwa Utaratibu wa Majeshi ya Marekani, Ulaya na Asia ambako hata hujawahi kwenda na pengine hutokwenda mpaka Ufe na utaishia tu kuziona hizo nchi kupitia Al Jazeera, BBC, CNN na CGTN?
CDF Gen. Mkunda na Jeshi lako la JWTZ Mimi Raia Mzalendo na wa Kutukuka kabisa wa Taifa hili la Tanzania GENTAMIYCINE naunga mkono tena kwa 100% hatua zote mnazozichukua na mtakazozichukua juu ya uwepo wa Sare za Jeshi ZINAZOFANANA na zenu Mitaani / Uraiani Kwetu na kwa mengineyo yote ili Kuhakikisha Ulinzi na Usalama unaimarika ndani na nje ya Tanzania.
Ni Watanzania hawa hawa (Sisi Sisi) ambao baadhi yetu (GENTAMYCINE simo) kutokana na Upopoma (Upumbavu) wao Wanawalaumu JWTZ kwa Matamko yenu juu ya Sare zinazofanana na za Jeshi letu la JWTZ ila likija kutokea la kutokea ni hawa hawa Wapumbavu (Mapopoma) wachache watajifokeza na kuanza Kuwalaumu na kusema Jeshi letu ni Dhaifu na halifai.
JWTZ fanyeni Kazi yenu nawaunga mkono na ikiwezekana pale tukikaidi msituonee Huruma katika kutupa ADHABU zenu KALI Ili tunyooke, tuwe na Adabu na tufuate Utaratibu na Maadili yote ya Kijeshi na Usalama.
Mtakaouchukia huu Uzi Kufeni tu Ok?
Wewe ni nani hasa wa kulipangia Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kuishi kwa Utaratibu wa Majeshi ya Marekani, Ulaya na Asia ambako hata hujawahi kwenda na pengine hutokwenda mpaka Ufe na utaishia tu kuziona hizo nchi kupitia Al Jazeera, BBC, CNN na CGTN?
CDF Gen. Mkunda na Jeshi lako la JWTZ Mimi Raia Mzalendo na wa Kutukuka kabisa wa Taifa hili la Tanzania GENTAMIYCINE naunga mkono tena kwa 100% hatua zote mnazozichukua na mtakazozichukua juu ya uwepo wa Sare za Jeshi ZINAZOFANANA na zenu Mitaani / Uraiani Kwetu na kwa mengineyo yote ili Kuhakikisha Ulinzi na Usalama unaimarika ndani na nje ya Tanzania.
Ni Watanzania hawa hawa (Sisi Sisi) ambao baadhi yetu (GENTAMYCINE simo) kutokana na Upopoma (Upumbavu) wao Wanawalaumu JWTZ kwa Matamko yenu juu ya Sare zinazofanana na za Jeshi letu la JWTZ ila likija kutokea la kutokea ni hawa hawa Wapumbavu (Mapopoma) wachache watajifokeza na kuanza Kuwalaumu na kusema Jeshi letu ni Dhaifu na halifai.
JWTZ fanyeni Kazi yenu nawaunga mkono na ikiwezekana pale tukikaidi msituonee Huruma katika kutupa ADHABU zenu KALI Ili tunyooke, tuwe na Adabu na tufuate Utaratibu na Maadili yote ya Kijeshi na Usalama.
Mtakaouchukia huu Uzi Kufeni tu Ok?