Kufananisha Utaratibu wa Majeshi ya nchi zingine na wa Tanzania ni Upumbavu usiovumilika

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,591
108,943
Sasa kama mnalisifia na mnalipenda Jeshi la Marekani kwa Utaratibu wake wa hasa Uniforms (Sare ) zao na Uvaaji wa Raia wa hizo Sare zao na Uzuri wa nchi yoo kwanini hasa hamhamii huko mkaishi na badala yake Sote tu tuko hapa hapa Dar es Salaam Tanzania tunasaka zetu Nyoka tu ili Kupambana na Maisha yetu yenye Mchanganyiko wa Ugunu mwingi na Raha Kiduchu?

Wewe ni nani hasa wa kulipangia Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kuishi kwa Utaratibu wa Majeshi ya Marekani, Ulaya na Asia ambako hata hujawahi kwenda na pengine hutokwenda mpaka Ufe na utaishia tu kuziona hizo nchi kupitia Al Jazeera, BBC, CNN na CGTN?

CDF Gen. Mkunda na Jeshi lako la JWTZ Mimi Raia Mzalendo na wa Kutukuka kabisa wa Taifa hili la Tanzania GENTAMIYCINE naunga mkono tena kwa 100% hatua zote mnazozichukua na mtakazozichukua juu ya uwepo wa Sare za Jeshi ZINAZOFANANA na zenu Mitaani / Uraiani Kwetu na kwa mengineyo yote ili Kuhakikisha Ulinzi na Usalama unaimarika ndani na nje ya Tanzania.

Ni Watanzania hawa hawa (Sisi Sisi) ambao baadhi yetu (GENTAMYCINE simo) kutokana na Upopoma (Upumbavu) wao Wanawalaumu JWTZ kwa Matamko yenu juu ya Sare zinazofanana na za Jeshi letu la JWTZ ila likija kutokea la kutokea ni hawa hawa Wapumbavu (Mapopoma) wachache watajifokeza na kuanza Kuwalaumu na kusema Jeshi letu ni Dhaifu na halifai.

JWTZ fanyeni Kazi yenu nawaunga mkono na ikiwezekana pale tukikaidi msituonee Huruma katika kutupa ADHABU zenu KALI Ili tunyooke, tuwe na Adabu na tufuate Utaratibu na Maadili yote ya Kijeshi na Usalama.

Mtakaouchukia huu Uzi Kufeni tu Ok?
 
Sasa kama mnalisifia na mnalipenda Jeshi la Marekani kwa Utaratibu wake wa hasa Uniforms ( Sare ) zao na Uvaaji wa Raia wa hizo Sare zao na Uzuri wa nchi yoo kwanini hasa hamhamii huko mkaishi na badala yake Sote tu tuko hapa hapa Dar es Salaam Tanzania tunasaka zetu Nyoka tu ili Kupambana na Maisha yetu yenye Mchanganyiko wa Ugunu mwingi na Raha Kiduchu?

Wewe ni nani hasa wa kulipangia Jeshi la Wananchi wa Tanzania ( JWTZ ) kuishi kwa Utaratibu wa Majeshi ya Marekani, Ulaya na Asia ambako hata hujawahi kwenda na pengine hutokwenda mpaka Ufe na utaishia tu kuziona hizo nchi kupitia Al Jazeera, BBC, CNN na CGTN?

CDF Gen. Mkunda na Jeshi lako la JWTZ Mimi Raia Mzalendo na wa Kutukuka kabisa wa Taifa hili la Tanzania GENTAMIYCINE naunga mkono tena kwa 100% hatua zote mnazozichukua na mtakazozichukua juu ya uwepo wa Sare za Jeshi ZINAZOFANANA na zenu Mitaani / Uraiani Kwetu na kwa mengineyo yote ili Kuhakikisha Ulinzi na Usalama unaimarika ndani na nje ya Tanzania.

Ni Watanzania hawa hawa ( Sisi Sisi ) ambao baadhi yetu ( GENTAMYCINE simo ) kutokana na Upopoma ( Upumbavu ) wao Wanawalaumu JWTZ kwa Matamko yenu juu ya Sare zinazofanana na za Jeshi letu la JWTZ ila likija kutokea la kutokea ni hawa hawa Wapumbavu ( Mapopoma ) wachache watajifokeza na kuanza Kuwalaumu na kusema Jeshi letu ni Dhaifu na halifai.

JWTZ fanyeni Kazi yenu nawaunga mkono na ikiwezekana pale tukikaidi msituonee Huruma katika kutupa ADHABU zenu KALI Ili tunyooke, tuwe na Adabu na tufuate Utaratibu na Maadili yote ya Kijeshi na Usalama.

Mtakaouchukia huu Uzi Kufeni tu Ok?
Tatizo unareason kama mtu ambae haja soma kabisa, nchi ina katiba bunge mahakama na executive, hujui philosophy ya separation of powers?
 
Sasa kama mnalisifia na mnalipenda Jeshi la Marekani kwa Utaratibu wake wa hasa Uniforms ( Sare ) zao na Uvaaji wa Raia wa hizo Sare zao na Uzuri wa nchi yoo kwanini hasa hamhamii huko mkaishi na badala yake Sote tu tuko hapa hapa Dar es Salaam Tanzania tunasaka zetu Nyoka tu ili Kupambana na Maisha yetu yenye Mchanganyiko wa Ugunu mwingi na Raha Kiduchu?

Wewe ni nani hasa wa kulipangia Jeshi la Wananchi wa Tanzania ( JWTZ ) kuishi kwa Utaratibu wa Majeshi ya Marekani, Ulaya na Asia ambako hata hujawahi kwenda na pengine hutokwenda mpaka Ufe na utaishia tu kuziona hizo nchi kupitia Al Jazeera, BBC, CNN na CGTN?

CDF Gen. Mkunda na Jeshi lako la JWTZ Mimi Raia Mzalendo na wa Kutukuka kabisa wa Taifa hili la Tanzania GENTAMIYCINE naunga mkono tena kwa 100% hatua zote mnazozichukua na mtakazozichukua juu ya uwepo wa Sare za Jeshi ZINAZOFANANA na zenu Mitaani / Uraiani Kwetu na kwa mengineyo yote ili Kuhakikisha Ulinzi na Usalama unaimarika ndani na nje ya Tanzania.

Ni Watanzania hawa hawa ( Sisi Sisi ) ambao baadhi yetu ( GENTAMYCINE simo ) kutokana na Upopoma ( Upumbavu ) wao Wanawalaumu JWTZ kwa Matamko yenu juu ya Sare zinazofanana na za Jeshi letu la JWTZ ila likija kutokea la kutokea ni hawa hawa Wapumbavu ( Mapopoma ) wachache watajifokeza na kuanza Kuwalaumu na kusema Jeshi letu ni Dhaifu na halifai.

JWTZ fanyeni Kazi yenu nawaunga mkono na ikiwezekana pale tukikaidi msituonee Huruma katika kutupa ADHABU zenu KALI Ili tunyooke, tuwe na Adabu na tufuate Utaratibu na Maadili yote ya Kijeshi na Usalama.

Mtakaouchukia huu Uzi Kufeni tu Ok?
Taahira
 
Jeshi la wananchi linaingia mtaani kusaka nguo zinazofanana na sare zao tena kwa raia ambaye hana hata bunduki?😂😂😂😂😁😁😁
Hiyo inaitwa kukosa kazi na kutaka umaarufu. Waende Sudan wakajipime nguvu.
Hiyo kazi ni ya polisi.
Watu wa nchi zilizoendelea wanatushangaa sana.
Jeshi wametua akili ya kuvunja tofali kwa kichwa halafu unajiona una akili sana
Wafrika wengi hawajui sheria ndiyo ukivaa sare za polisi na siyo polisi unaweza kumfanyia chochote raia na asikuulize chochote. Unaweza kumkuta mtu ukamnyang'anya simu, hela n.k lkn asikuulize chochote
 
Kuna chupi, taiti, vitambaa, boksa, kalamu, midoli ya watoto ina mabaka mithili ya kombati, na hayo watasaka? Mabaka mengine hayafanani kabisa na mabaka yao. Kuna mpaka mabaka ya kidijitali kwenye nguo hayafanani kabisa na yao. Mabaka mengine ni ya majeshi ya marekani, uchina, urusi, vietnam, korea, na kwingine mitumba inakotoka. Kombati za JWTZ zinafahamika mabaka na rangi zake hizo raia wanaziogopa, wanakimbilia za majeshi ya nje. Nguo zingine si za kijeshi ila zimerembwa tu hayo mabaka
 
Sasa kama mnalisifia na mnalipenda Jeshi la Marekani kwa Utaratibu wake wa hasa Uniforms ( Sare ) zao na Uvaaji wa Raia wa hizo Sare zao na Uzuri wa nchi yoo kwanini hasa hamhamii huko mkaishi na badala yake Sote tu tuko hapa hapa Dar es Salaam Tanzania tunasaka zetu Nyoka tu ili Kupambana na Maisha yetu yenye Mchanganyiko wa Ugunu mwingi na Raha Kiduchu?

Wewe ni nani hasa wa kulipangia Jeshi la Wananchi wa Tanzania ( JWTZ ) kuishi kwa Utaratibu wa Majeshi ya Marekani, Ulaya na Asia ambako hata hujawahi kwenda na pengine hutokwenda mpaka Ufe na utaishia tu kuziona hizo nchi kupitia Al Jazeera, BBC, CNN na CGTN?

CDF Gen. Mkunda na Jeshi lako la JWTZ Mimi Raia Mzalendo na wa Kutukuka kabisa wa Taifa hili la Tanzania GENTAMIYCINE naunga mkono tena kwa 100% hatua zote mnazozichukua na mtakazozichukua juu ya uwepo wa Sare za Jeshi ZINAZOFANANA na zenu Mitaani / Uraiani Kwetu na kwa mengineyo yote ili Kuhakikisha Ulinzi na Usalama unaimarika ndani na nje ya Tanzania.

Ni Watanzania hawa hawa ( Sisi Sisi ) ambao baadhi yetu ( GENTAMYCINE simo ) kutokana na Upopoma ( Upumbavu ) wao Wanawalaumu JWTZ kwa Matamko yenu juu ya Sare zinazofanana na za Jeshi letu la JWTZ ila likija kutokea la kutokea ni hawa hawa Wapumbavu ( Mapopoma ) wachache watajifokeza na kuanza Kuwalaumu na kusema Jeshi letu ni Dhaifu na halifai.

JWTZ fanyeni Kazi yenu nawaunga mkono na ikiwezekana pale tukikaidi msituonee Huruma katika kutupa ADHABU zenu KALI Ili tunyooke, tuwe na Adabu na tufuate Utaratibu na Maadili yote ya Kijeshi na Usalama.

Mtakaouchukia huu Uzi Kufeni tu Ok?
Wala hatufi....

Usijifanye una uzalendo wa kijazba hapa.....

Ni nini kazi ya PT kikatiba?!!

Hivi kumiliki sare za jeshi si uhalifu ?!!

Unalibagaza jeshi la polisi kwanini ?!!

Jeshi wana "martial courts"...ni muhimili wa dola kisheria ?!!

Mwambukusi anaongelea tafsiri ya sheria kutafsiriwa mahakamani....wala hatopeleka shauri lake huko MARTIAL COURTS ...

Tutolee ujinga wako hapa
 
Kuna chupi, taiti, vitambaa, boksa, kalamu, midoli ya watoto ina mabaka mithili ya kombati, na hayo watasaka? Mabaka mengine hayafanani kabisa na mabaka yao. Kuna mpaka mabaka ya kidijitali kwenye nguo hayafanani kabisa na yao. Mabaka mengine ni ya majeshi ya marekani, uchina, urusi, vietnam, korea, na kwingine mitumba inakotoka. Kombati za JWTZ zinafahamika mabaka na rangi zake hizo raia wanaziogopa, wanakimbilia za majeshi ya nje. Nguo zingine si za kijeshi ila zimerembwa tu hayo mabaka
Wanataka kuibua vurugu tu huko mitaani....

Nilipomsikiliza yule msemaji wa JWTZ...nilijichekea tu....

Maongezi yake yalikuwa kana kwamba tuko katika "hali tete kiusalama"....

Aache kuingilia KAZI ya PT...

Kama PT wanawaogopa...sisi humu tutawasemea PT wetu....

#SiempreJMT
 
Vipi tukivaa sare za jeshi la Marekani hapa bongo,
Sasa kama mnalisifia na mnalipenda Jeshi la Marekani kwa Utaratibu wake wa hasa Uniforms ( Sare ) zao na Uvaaji wa Raia wa hizo Sare zao na Uzuri wa nchi yoo kwanini hasa hamhamii huko mkaishi na badala yake Sote tu tuko hapa hapa Dar es Salaam Tanzania tunasaka zetu Nyoka tu ili Kupambana na Maisha yetu yenye Mchanganyiko wa Ugunu mwingi na Raha Kiduchu?

Wewe ni nani hasa wa kulipangia Jeshi la Wananchi wa Tanzania ( JWTZ ) kuishi kwa Utaratibu wa Majeshi ya Marekani, Ulaya na Asia ambako hata hujawahi kwenda na pengine hutokwenda mpaka Ufe na utaishia tu kuziona hizo nchi kupitia Al Jazeera, BBC, CNN na CGTN?

CDF Gen. Mkunda na Jeshi lako la JWTZ Mimi Raia Mzalendo na wa Kutukuka kabisa wa Taifa hili la Tanzania GENTAMIYCINE naunga mkono tena kwa 100% hatua zote mnazozichukua na mtakazozichukua juu ya uwepo wa Sare za Jeshi ZINAZOFANANA na zenu Mitaani / Uraiani Kwetu na kwa mengineyo yote ili Kuhakikisha Ulinzi na Usalama unaimarika ndani na nje ya Tanzania.

Ni Watanzania hawa hawa ( Sisi Sisi ) ambao baadhi yetu ( GENTAMYCINE simo ) kutokana na Upopoma ( Upumbavu ) wao Wanawalaumu JWTZ kwa Matamko yenu juu ya Sare zinazofanana na za Jeshi letu la JWTZ ila likija kutokea la kutokea ni hawa hawa Wapumbavu ( Mapopoma ) wachache watajifokeza na kuanza Kuwalaumu na kusema Jeshi letu ni Dhaifu na halifai.

JWTZ fanyeni Kazi yenu nawaunga mkono na ikiwezekana pale tukikaidi msituonee Huruma katika kutupa ADHABU zenu KALI Ili tunyooke, tuwe na Adabu na tufuate Utaratibu na Maadili yote ya Kijeshi na Usalama.

Mtakaouchukia huu Uzi Kufeni tu Ok?
 
Akili za kitumwa! Siku mwafrika akijitambua atapiga hatua ila kwa sasa tuendelee na huu upuuzi tuliozoea!
 
Kwenye maisha haina budi kujifunza kuishi vizuri nawatu wenye matatizo ya akili
 
Back
Top Bottom