Pendekezo: Askari wa Jeshi la Magereza na Zimamoto wabadilishiwe SARE (UNIFORM)

Mr pianoman

JF-Expert Member
May 22, 2019
2,550
6,107
Wakuu hili ni pendekezo kama itawapendeza majeshi haya mawili ya Magereza na Zimamoto yabadilishiwe Uniform kutokana na sababu zifuatazo.

Jeshi la Magereza. Hili jeshi mpaka saivi haieleweki rangi halisi ya SARE yao ni ipi kwa sababu wakisimama kikundi cha askari utaona kila askari anarangi yake ya Uniform. Hii ni aibu na kulidhalilisha jeshi.

Jeshi la Zimamoto. Hili jeshi linatumia SARE za Polisi ni vyema likawa na Uniform yake ya kipekee kama yalivyo majeshi mengine. Kama sio mzoefu ni ngumu kutofautisha askari wa Zimamoto na Polisi.

Wakuu mnapendekeza Majeshi haya mawili yavae SARE ipi tukiachana na hizi za sasa hivi? Mimi binafsi napendekeza tuige Uniform za Askari kutoka GHANA

Angalia picha na video hapo chini kutoka Magereza Nchini Ghana na Zimamoto.

N.b Pendekezo hili limfikie Mkuu wa Nchi Mama Samia, Waziri wa mambo ya ndani pamoja na Viongozi wakuu wa hivyo vyombo tajwa hapo juu.

Asante
queens.jpg
Ghana-Prison-Service.jpg
gprisons.jpg
prison_ghana_news.jpg
ghana-fire-service-recruitment.jpg
Fire.jpg
GNFS-Passout-7.jpg
black_3.jpg
 
Acha wavae hizi hizi kinachozima moto siyo uniform,kinacholinda wafugwa pia siyo uniform.Ukileta swala la uniform mpya ujuwe hapo pia tayari unakuwa umetengeneza ulaji Kwa watu wachache.Hao askari mageraza na polisi wanachangamoto nyingi tu zaidi ya kubadili uniform.
Pia uniform wanazovaa ni nzuri sema labda zinapauka haraka.
 
Jeshi la Zimamoto. Hili jeshi linatumia SARE za Polisi ni vyema likawa na Uniform yake ya kipekee kama yalivyo majeshi mengine. Kama sio mzoefu ni ngumu kutofautisha askari wa Zimamoto na Polisi.
Katika majeshi mzigo ni hawa wa moto, hata wakipewa pitshot na green vest za kijani inatosha
 
Acha wavae hizi hizi kinachozima moto siyo uniform,kinacholinda wafugwa pia siyo uniform.Ukileta swala la uniform mpya ujuwe hapo pia tayari unakuwa umetengeneza ulaji Kwa watu wachache.Hao askari mageraza na polisi wanachangamoto nyingi tu zaidi ya kubadili uniform.
Pia uniform wanazovaa ni nzuri sema labda zinapauka haraka.
Hapo kwenye walaji ndio changamoto watapiga hela sana na nguo zitaletwa fake.
 
Wakuu hili ni pendekezo kama itawapendeza majeshi haya mawili ya Magereza na Zimamoto yabadilishiwe Uniform kutokana na sababu zifuatazo.

Jeshi la Magereza. Hili jeshi mpaka saivi haieleweki rangi halisi ya SARE yao ni ipi kwa sababu wakisimama kikundi cha askari utaona kila askari anarangi yake ya Uniform. Hii ni aibu na kulidhalilisha jeshi.

Jeshi la Zimamoto. Hili jeshi linatumia SARE za Polisi ni vyema likawa na Uniform yake ya kipekee kama yalivyo majeshi mengine. Kama sio mzoefu ni ngumu kutofautisha askari wa Zimamoto na Polisi.

Wakuu mnapendekeza Majeshi haya mawili yavae SARE ipi tukiachana na hizi za sasa hivi? Mimi binafsi napendekeza tuige Uniform za Askari kutoka GHANA

Angalia picha na video hapo chini kutoka Magereza Nchini Ghana na Zimamoto

N.b Pendekezo hili limfikie Mkuu wa Nchi Mama Samia, Waziri wa mambo ya ndani pamoja na Viongozi wakuu wa hivyo vyombo tajwa hapo juu

Asante
View attachment 2793004View attachment 2793006View attachment 2793007View attachment 2793008View attachment 2793009View attachment 2793010View attachment 2793011View attachment 2793014View attachment 2793005
Kwa hiyo unataka wavae kombati
 
Napendekeza Magereza Askari wa kiume wawe wanavaa kaptura za blue na mashati meupe na soksi za pundamilia na wa kike pia sketi za blue zenye Malinda polisi wao wawe wanatembea utupu
 
Wakuu hili ni pendekezo kama itawapendeza majeshi haya mawili ya Magereza na Zimamoto yabadilishiwe Uniform kutokana na sababu zifuatazo.

Jeshi la Magereza. Hili jeshi mpaka saivi haieleweki rangi halisi ya SARE yao ni ipi kwa sababu wakisimama kikundi cha askari utaona kila askari anarangi yake ya Uniform. Hii ni aibu na kulidhalilisha jeshi.

Jeshi la Zimamoto. Hili jeshi linatumia SARE za Polisi ni vyema likawa na Uniform yake ya kipekee kama yalivyo majeshi mengine. Kama sio mzoefu ni ngumu kutofautisha askari wa Zimamoto na Polisi.

Wakuu mnapendekeza Majeshi haya mawili yavae SARE ipi tukiachana na hizi za sasa hivi? Mimi binafsi napendekeza tuige Uniform za Askari kutoka GHANA

Angalia picha na video hapo chini kutoka Magereza Nchini Ghana na Zimamoto.

N.b Pendekezo hili limfikie Mkuu wa Nchi Mama Samia, Waziri wa mambo ya ndani pamoja na Viongozi wakuu wa hivyo vyombo tajwa hapo juu.

Asante
View attachment 2793004View attachment 2793006View attachment 2793007View attachment 2793008View attachment 2793009View attachment 2793010View attachment 2793011View attachment 2793014View attachment 2793005
Hizo sare zinaitwa 'fatigue coumaflaged uniforms'.

Nguo za mfumo huu hutumiwa na militaries yaani wanajeshi kama wale wa Jwtz.

Hizi taasisi zingine za kiulinzi hutumia nguo za rangi moja kama alivyovaa ofisa wao anayeonekana katika picha ya nne toka juu.

Hizi za comouflaged uniforms kama wanavyotumia idara ya Polisi Kenya, ni ukiukwaji wa kanuni, za mavazi ya kimataifa kwa Polisi na idara zingine za majeshi yote ambayo mfano kwetu yanahudumu kwenye Wizara ya mambo ya ndani.

Nchi zinazofuata kanuni hizo, mfano Marekani ama Uingereza nk nk, hauwezi kuona Polisi, Magereza ama Zimamoto wao wakivaa sare zenye mkanganyiko huo.

Katika maelezo ya uzi wako, ni Jeshi la Zimamoto pekee ndiyo 'waliotohoa' kuvaa sare zinazofanana na sare za jeshi(idara)nyingine, ambao kiukweli wanastahili kubadilisha.

Kwa hao Magereza, sare zao hazina shida isipokuwa kuna tatizo la kiutawala linalosababisha ukengeufu wa utovu wa nidhamu kwa askari wake.

Unakumbuka ile kashifa ambayo Magufuli hakuivumilia mpaka akamfukuza kamishina wao?

Kuna sikio la kufa Magereza ambalo halisikii na haliwezi kusikia dawa.

Ni mwendo wa kujinunulia vitambaa vya sare madukani na kujishonea kwa namna mtu anavyoona inafaa!

Mtindo huo wa kujishonea sare hakuwezi kuonesha ulinganifu wa rangi ama mashono hata siku moja, maana kila staff anavaa sare kutoka katika chanzo anachokijua mwenyewe.

Ni muda mrefu sasa,idara ya Magereza imekuwa na uongozi usiojali maslahi na nidhamu za askari wake kimavazi.

Taasisi yoyote ikikosa viongozi wa kutetea maslahi ya watumishi wake hupelekea kupwaya kama inavyoonekana kwa askari wa Magereza kwa sasa.
 
Back
Top Bottom