Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,620
- 46,261
Mambo ambayo nimeyasikia na kuyaona mpaka sasa ya wakimbizi, uchaguzi na ugaidi ni mambo ya polisi, uhamiaji na usalama wa Taifa.
JWTZ wamezungumza masuala gani mahususi kuwahusu wao kama jeshi?
Mfano ajira, utayari wa mapambano, silaha, ushirikiano na majeshi mengine, teknolojia mpya, misheni za amani nje ya nchi n.k
JWTZ wamezungumza masuala gani mahususi kuwahusu wao kama jeshi?
Mfano ajira, utayari wa mapambano, silaha, ushirikiano na majeshi mengine, teknolojia mpya, misheni za amani nje ya nchi n.k