Tofauti ya INBOX YA SIMU YA MWANAMKE Na INBOX YA SIMU YA MWANAUME...........???????

hivyo vimizinga mbona vya kishikaji tu.... kasheshe ni pale dada kakutumia ujumbe anaomba umlipie kodi ya nyumba kama vile wewe ndio ulimleta mjini
 
hahahaha nimeipenda hii

......inaendelea:
INBOX ya Feisbuku:
-jana kwa nini ulinigandisha?(fidel)
-umkome bwanangu(mwali)
-hivi kuazima sidiria yangu ndo nin usirudishe(Ashadii)
-nshakwambia bishanga ana mwenyewe(Lizzy)
INBOX ya Rejao:
-baby jana ndo hujanifikisha kileleni?(feisbuku)
-kila siku unandanganya utakuja kwa wazazi(zubeda)
-zile condom ulikumbuka kuzitoa kwenye gari?(SL)
-yaani jana du,magoti yamelegea (Husn)
-hama mjini,kova anakutafuta kwa wizi wa kuku(kibonde)
-ole wako nikukute na Lizzy(bishanga)
..........itaendelea
 
Hivi wanawake wananguvu ya aina gani maana mzazi wako anaweza kukuomba 5000 ukamjibu mambo sio mazuri lakini akikuomba demu unatoa fasta, mi naona wamezaliwa na kizizi ndani yao
 
......inaendelea:
INBOX ya Feisbuku:
-jana kwa nini ulinigandisha?(fidel)
-umkome bwanangu(mwali)
-hivi kuazima sidiria yangu ndo nin usirudishe(Ashadii)
-nshakwambia bishanga ana mwenyewe(Lizzy)
INBOX ya Rejao:
-baby jana ndo hujanifikisha kileleni?(feisbuku)
-kila siku unandanganya utakuja kwa wazazi(zubeda)
-zile condom ulikumbuka kuzitoa kwenye gari?(SL)
-yaani jana du,magoti yamelegea (Husn)
-hama mjini,kova anakutafuta kwa wizi wa kuku(kibonde)
-ole wako nikukute na Lizzy(bishanga)
..........itaendelea

Ha ha ha ha
 
Hahahahaha!jaman nyie watu mie nimestuka ucngizin nikaamua nichungulie mmu nakutana na hii mambo nimecheka sn!pole wanaume lol!in box zenu ni noma!ngoja nilale kwanza dah!nimefurahi vya kutosha!
 
@bishanga, hujaacha bangi tu?
INBOX ya Kongosho:
-kukufungia safari toka dar hadi zanzibar kumbe we dume!(figanigga)
-nakudai buku(mama lishe)
-umezidi kupiga chabo(popobawa)
-wewe ni He au She?(bishanga)
 
afu weye
ungekuwa karibu ningekupa njoge

INBOX ya Kongosho:
-kukufungia safari toka dar hadi zanzibar kumbe we dume!(figanigga)
-nakudai buku(mama lishe)
-umezidi kupiga chabo(popobawa)
-wewe ni He au She?(bishanga)
 
Hahahahaha!jaman nyie watu mie nimestuka ucngizin nikaamua nichungulie mmu nakutana na hii mambo nimecheka sn!pole wanaume lol!in box zenu ni noma!ngoja nilale kwanza dah!nimefurahi vya kutosha!

Uliwahi sana kulala ndo maana umeshtuka mapema!
 
Back
Top Bottom