Tofauti ya INBOX YA SIMU YA MWANAMKE Na INBOX YA SIMU YA MWANAUME...........???????

Inbox ya Mwanamke ina meseji nyingi za namna hii...
I love u (Dany) ...........
Hi babe.....
(smjui)MPESA BKX556 CONFIRMED YOU HAVE RECEIVED SH.80,500 FROM MIKE JOHN
can I take u out tonight..........
Tigopesa Umepokea muda wa maongezi wa sh 5,000 toka kwa Alfred John.....
I miss u babe.......
(Mzushi) MPESA CONFIRMED....
Hi swity............
(Mike) MPESA CONFIRMED.....
Mwaah..........(Dia)

Inbox ya Mwanaume
Vodacom: YOU HAVE INSUFFICIENT FUNDS PLEASE TOP UP.
Tigo: Umekatwa sh 1200 kulipia deni lako ulilokopa Tigo.
(Mwenye Nyumba) Wewe punda lipa Kodi
Airtell Modem: Huna salio la kutosha. Kifurushi hiki cha Intanet ni Sh 15,000.Tafadhali ongeza salio na ujaribu kujiunga tena kwa kutuma neno Datawiki kwenda 15444...........
I missed my periods I think I'm pregnant...............
(Jane ) Turushie basi hata Elfu Tano...... (Baba).
Tigo: Umekatwa sh 120 kulipia deni lako ulilokopa Tigo..............
Tafadhali nipigie...........
(Caro) Tafadhali niongezee salio................
(Aisha ) FAILED: THERE IS NO ENOUGH MONEY IN YOUR MPESA ACCOUNT TO BUY SH.500 OF AIRTIME. YOUR BALANCE IS SH.40.
hapo kwenye red nimeipokea hiyo sms jana
 
tunaendelea:
INBOX ya The Boss:
-eti mkeo kagundua umenipangishia nyumba?(kongosho)
-nifanyie mpango nipate kadi ya ccm(mwanakijiji)
-ile mimba nimeitoa(zubeda)
-ama zako ama zangu,juu ya nini unammendea binti yangu?(dena)
 
INBOX ya TF:
-sawa bana we ntese tu(SL)
-sawa bana we ntese tu (AD)
-sawa bana we ntese tu(husn)
-sawa bana we ntese tu(kabakabana)
-sawa bana we ntese tu (feisbuku)
.........oroza itaendelea...........
 
INBOX ya Hashycool:
-baby jamani kwa nini unanifanyia hivo?(michelle)
-acha kumtesa shost wangu vibaya hivo(Lizzy)
-ndo nin mwenzio ale sumu?(AD)
-siwezi kuishi bila wewe (michelle)
OUTBOX ya HC:
-(to michelle)-kwa nini hushiki mimba,au mayai ulikaangia chips?
-(to michelle)-nasikia The Boss kaonekana nyumbani kwako,ole wake!
 
Hivi wanawake wananguvu ya aina gani maana mzazi wako anaweza kukuomba 5000 ukamjibu mambo sio mazuri lakini akikuomba demu unatoa fasta, mi naona wamezaliwa na kizizi ndani yao
Inabidi ujirekebishe fasta, kwa sababu kwangu mimi, mama yangu ndiye the most precious woman to me on earth. Upo hapo? kwa hiyo mama yangu hawezi kuniomba mshiko halafu asiupate kama ninao.
 
Inbox ya Mwanamke ina meseji nyingi za namna hii...
I love u (Dany) ...........
Hi babe.....
(smjui)MPESA BKX556 CONFIRMED YOU HAVE RECEIVED SH.80,500 FROM MIKE JOHN
can I take u out tonight..........
Tigopesa Umepokea muda wa maongezi wa sh 5,000 toka kwa Alfred John.....
I miss u babe.......
(Mzushi) MPESA CONFIRMED....
Hi swity............
(Mike) MPESA CONFIRMED.....
Mwaah..........(Dia)

Inbox ya Mwanaume
Vodacom: YOU HAVE INSUFFICIENT FUNDS PLEASE TOP UP.
Tigo: Umekatwa sh 1200 kulipia deni lako ulilokopa Tigo.
(Mwenye Nyumba) Wewe punda lipa Kodi
Airtell Modem: Huna salio la kutosha. Kifurushi hiki cha Intanet ni Sh 15,000.Tafadhali ongeza salio na ujaribu kujiunga tena kwa kutuma neno Datawiki kwenda 15444...........
I missed my periods I think I'm pregnant...............
(Jane ) Turushie basi hata Elfu Tano...... (Baba).
Tigo: Umekatwa sh 120 kulipia deni lako ulilokopa Tigo..............
Tafadhali nipigie...........
(Caro) Tafadhali niongezee salio................
(Aisha ) FAILED: THERE IS NO ENOUGH MONEY IN YOUR MPESA ACCOUNT TO BUY SH.500 OF AIRTIME. YOUR BALANCE IS SH.40.

Very funny...! job true true
 
Back
Top Bottom