hapo kwenye red nimeipokea hiyo sms janaInbox ya Mwanamke ina meseji nyingi za namna hii...
I love u (Dany) ...........
Hi babe.....
(smjui)MPESA BKX556 CONFIRMED YOU HAVE RECEIVED SH.80,500 FROM MIKE JOHN
can I take u out tonight..........
Tigopesa Umepokea muda wa maongezi wa sh 5,000 toka kwa Alfred John.....
I miss u babe.......
(Mzushi) MPESA CONFIRMED....
Hi swity............
(Mike) MPESA CONFIRMED.....
Mwaah..........(Dia)
Inbox ya Mwanaume
Vodacom: YOU HAVE INSUFFICIENT FUNDS PLEASE TOP UP.
Tigo: Umekatwa sh 1200 kulipia deni lako ulilokopa Tigo.
(Mwenye Nyumba) Wewe punda lipa Kodi
Airtell Modem: Huna salio la kutosha. Kifurushi hiki cha Intanet ni Sh 15,000.Tafadhali ongeza salio na ujaribu kujiunga tena kwa kutuma neno Datawiki kwenda 15444...........
I missed my periods I think I'm pregnant...............
(Jane ) Turushie basi hata Elfu Tano...... (Baba).
Tigo: Umekatwa sh 120 kulipia deni lako ulilokopa Tigo..............
Tafadhali nipigie...........
(Caro) Tafadhali niongezee salio................
(Aisha ) FAILED: THERE IS NO ENOUGH MONEY IN YOUR MPESA ACCOUNT TO BUY SH.500 OF AIRTIME. YOUR BALANCE IS SH.40.
he he he hiyo ya i missed my period ni emergency sms....inatisha balaa kama hukupanga
Inabidi ujirekebishe fasta, kwa sababu kwangu mimi, mama yangu ndiye the most precious woman to me on earth. Upo hapo? kwa hiyo mama yangu hawezi kuniomba mshiko halafu asiupate kama ninao.Hivi wanawake wananguvu ya aina gani maana mzazi wako anaweza kukuomba 5000 ukamjibu mambo sio mazuri lakini akikuomba demu unatoa fasta, mi naona wamezaliwa na kizizi ndani yao
Inbox ya Mwanamke ina meseji nyingi za namna hii...
I love u (Dany) ...........
Hi babe.....
(smjui)MPESA BKX556 CONFIRMED YOU HAVE RECEIVED SH.80,500 FROM MIKE JOHN
can I take u out tonight..........
Tigopesa Umepokea muda wa maongezi wa sh 5,000 toka kwa Alfred John.....
I miss u babe.......
(Mzushi) MPESA CONFIRMED....
Hi swity............
(Mike) MPESA CONFIRMED.....
Mwaah..........(Dia)
Inbox ya Mwanaume
Vodacom: YOU HAVE INSUFFICIENT FUNDS PLEASE TOP UP.
Tigo: Umekatwa sh 1200 kulipia deni lako ulilokopa Tigo.
(Mwenye Nyumba) Wewe punda lipa Kodi
Airtell Modem: Huna salio la kutosha. Kifurushi hiki cha Intanet ni Sh 15,000.Tafadhali ongeza salio na ujaribu kujiunga tena kwa kutuma neno Datawiki kwenda 15444...........
I missed my periods I think I'm pregnant...............
(Jane ) Turushie basi hata Elfu Tano...... (Baba).
Tigo: Umekatwa sh 120 kulipia deni lako ulilokopa Tigo..............
Tafadhali nipigie...........
(Caro) Tafadhali niongezee salio................
(Aisha ) FAILED: THERE IS NO ENOUGH MONEY IN YOUR MPESA ACCOUNT TO BUY SH.500 OF AIRTIME. YOUR BALANCE IS SH.40.