To You BelindaJacob

To You BelindaJacob

I know you are reading my posts but why cant you hear my cries? Belinda you are the tree and I am the bird choosen to stop over your branches....You have seen my downs dear,you have seen my hands begging for your help....Belind Jacob, I will do anything you will ask me to even if I cant I will pretend I can so to make you happy...BelindaJacob, wherever you are hear my cries dear,hear my downs......Need you girl... Your magu
ha haa,its just avatar mr dingy dong
 
bellinda jacob yupo wapi? Tumeishachukua ng'ombe wenzio! Kampe vyako vyote mmeo, ila stail ya ungagoni usisahau pia!
 
Kwasababu nimefurahi...sijamwona!!

Ashadii kasema niuchune hapahapa..nitatulia mpaka nimuone...silali leo mpaka Belinda aonekane...ikibidi JF tutaishut down(tutaiteka) mpaka Belinda aje hapa...
 
bellinda jacob yupo wapi? Tumeishachukua ng'ombe wenzio! Kampe vyako vyote mmeo, ila stail ya ungagoni usisahau pia!

Katoa style mzee mchungaji Masanilo...Belinda kamwe hatauliza ULIKUWA WAPI ila atajiuliza NILIKUWA WAPI..
 
ha haa,its just avatar mr dingy dong


Kwani mimi nimesema nini nini nimependa? Nimependa boga na mti naupenda vilevile....nimezimikia sauti ya mee na mee mwenyewe hata kama yuko ndani ya gunia na lenyewe ntalibeba tuu
 
Nomba nikasikie kama BJ hatakasiriks maana muoga wewe...lol

Akija...wewe si unajifanya kila siku Belinda belinda haya njoo nitongoze sasa na ukishindwa tu nakutongoza wewe...hapo ashadii lazima kuwe hakutoshi...
 
Hahahah...partner kama mtu hawezi kubeba tofali nikimwambia anaweza akajaribu kube a likamwangukia mguuni si ntalaumiwa mimi?!

Nimekusikia Lizzy..acha za sakafuni wewe...
 
Hahahah...partner kama mtu hawezi kubeba tofali nikimwambia anaweza akajaribu kube a likamwangukia mguuni si ntalaumiwa mimi?!


Partner unamuarifu taratibu kua bana hilo tofali liache tutafute lingine...lol
 
Akija...wewe si unajifanya kila siku Belinda belinda haya njoo nitongoze sasa na ukishindwa tu nakutongoza wewe...hapo ashadii lazima kuwe hakutoshi...


Makubwa....lol... tena??? Mi nasepa HERI NUSU SHARI...
 
Partner unamuarifu taratibu kua bana hilo tofali liache tutafute lingine...lol
Nikimbembeleza atazidi kung‘ang‘ania anaweza....bora kua mkali ili aache hata kwa woga kama sio kwa kuelewa!
 
Nikimbembeleza atazidi kung‘ang‘ania anaweza....bora kua mkali ili aache hata kwa woga kama sio kwa kuelewa!


Sasa nimeelewa kwanini unataka shem mkali... Dah! no kukopesha...lol
 
Duh kazi kweli kweli!! Umejaribu kumtumia PM? Kama bado here is a tip for ya mnunulie jezi ya man Utd au Barcelona (andika jina lake na number ya David Villa).
 
Back
Top Bottom