AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
Hahahaha....sitaki kumfuta mtoto wa watu machozi kila siku mie!
ha ha ha .... hasa ukizingatia wewe hutoi ....
Hahahaha....sitaki kumfuta mtoto wa watu machozi kila siku mie!
Hahaha...yaani macho makavuuu!Alafu akiwa anatoa ntaanza kwa kumzomea mpaka nimuonee huruma ndo nambembeleza!ha ha ha .... hasa ukizingatia wewe hutoi ....
Nikimbembeleza atazidi kungangania anaweza....bora kua mkali ili aache hata kwa woga kama sio kwa kuelewa!
Partner unamuarifu taratibu kua bana hilo tofali liache tutafute lingine...lol
Sasa nimeelewa kwanini unataka shem mkali... Dah! no kukopesha...lol
Hahahaha....sitaki kumfuta mtoto wa watu machozi kila siku mie!
Duh kazi kweli kweli!! Umejaribu kumtumia PM? Kama bado here is a tip for ya mnunulie jezi ya man Utd au Barcelona (andika jina lake na number ya David Villa).
ha ha ha .... hasa ukizingatia wewe hutoi ....
Hahaha...yaani macho makavuuu!Alafu akiwa anatoa ntaanza kwa kumzomea mpaka nimuonee huruma ndo nambembeleza!
aisee!!!... BelindaJacob...mnh!...
Haya.
Hee! Hizi threads za nakuzimia flani sio kwamba zishapitwa na wakati? Nauliza tu.
I know you are reading my posts but why cant you hear my cries? Belinda you are the tree and I am the bird choosen to stop over your branches....You have seen my downs dear,you have seen my hands begging for your help....Belind Jacob, I will do anything you will ask me to even if I cant I will pretend I can so to make you happy...BelindaJacob, wherever you are hear my cries dear,hear my downs......Need you girl...
Your magu
Afadhali umeonekana nilitaka kumleta Vienna akakataliwa visa lol!omg!!..Nilikuwa sijaona hii kitu!..
Read your PM box and reply me ASAP...
SUKUPATI kwa simu sweet pieomg!!..Nilikuwa sijaona hii kitu!..
Read your PM box and reply me ASAP...
Afadhali umeonekana nilitaka kumleta Vienna akakataliwa visa lol!
SUKUPATI kwa simu sweet pie
Kwahiyo huwezi kuniita pembeni???Mambo ya kutongozana katikati ya Kariakoo siwezi!!!Lizzy mtoto wa Klm nimevumilia nimeshindwa,toka siku niliyojiunga,uliutekenya mtima wangu,kiukwel moyo wangu umekudondokea,hakika nilitamani uwe blangeti langu lakini haikuwa,kwenye joto nilitamani uwe feni wangu lakn haikuwa,naandika maneno haya nikijua fika utasikia kilio changu cha ndani ambacho nimekitoa kwako na memberz wote wajue. Majbu yote yapitie kwa mwanakamati wa Dodoma{mpwapwa} husninyo. In your love lizzy my future is not in peril.