To You BelindaJacob

Duh kazi kweli kweli!! Umejaribu kumtumia PM? Kama bado here is a tip for ya mnunulie jezi ya man Utd au Barcelona (andika jina lake na number ya David Villa).

Mkuu ina maana ana vigimbi ka Messi? PM mtasema mie muoga hapahapa namwaga sera
 
I know you are reading my posts but why cant you hear my cries? Belinda you are the tree and I am the bird choosen to stop over your branches....You have seen my downs dear,you have seen my hands begging for your help....Belind Jacob, I will do anything you will ask me to even if I cant I will pretend I can so to make you happy...BelindaJacob, wherever you are hear my cries dear,hear my downs......Need you girl...

Your magu

omg!!..Nilikuwa sijaona hii kitu!..

Read your PM box and reply me ASAP...
 
Lizzy mtoto wa Klm nimevumilia nimeshindwa,toka siku niliyojiunga,uliutekenya mtima wangu,kiukwel moyo wangu umekudondokea,hakika nilitamani uwe blangeti langu lakini haikuwa,kwenye joto nilitamani uwe feni wangu lakn haikuwa,naandika maneno haya nikijua fika utasikia kilio changu cha ndani ambacho nimekitoa kwako na memberz wote wajue. Majbu yote yapitie kwa mwanakamati wa Dodoma{mpwapwa} husninyo. In your love lizzy my future is not in peril.
 
Lizzy mtoto wa Klm nimevumilia nimeshindwa,toka siku niliyojiunga,uliutekenya mtima wangu,kiukwel moyo wangu umekudondokea,hakika nilitamani uwe blangeti langu lakini haikuwa,kwenye joto nilitamani uwe feni wangu lakn haikuwa,naandika maneno haya nikijua fika utasikia kilio changu cha ndani ambacho nimekitoa kwako na memberz wote wajue. Majbu yote yapitie kwa mwanakamati wa Dodoma{mpwapwa} husninyo. In your love lizzy my future is not in peril.
Kwahiyo huwezi kuniita pembeni???Mambo ya kutongozana katikati ya Kariakoo siwezi!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom