To MMU ladies ....

To MMU ladies ....

Mi naangalia akili tu hayo mengine sitaki hata kuyasikia!

Kwa sababu mimi sikujui kwa vyovyote nitahakikisha vp kwamba wewe ni mtu wa kawaida usiye na hila? Maana naweza kujikuta mikononi mwa muuza unga anayetafuta kontena ya kisafirishia mizigo yake, jambazi au mwenye mambo mengine ya giza
 
Mkuu naendelea kupata elim ya kutosha. Awali niliposoma headng nikajua ni mambo ya wadada yanayohusu miili yao,kumbe nilikua wrong, nikasema wacha nifungue,loooh!kumbe bonge la mada,safi sana.

Pamoja sana mkuu

Watu wanaweza kuona kama hii ni mada ya masikhara hivi lakini sio!
 
Kwa sababu mimi sikujui kwa vyovyote nitahakikisha vp kwamba wewe ni mtu wa kawaida usiye na hila? Maana naweza kujikuta mikononi mwa muuza unga anayetafuta kontena ya kisafirishia mizigo yake, jambazi au mwenye mambo mengine ya giza

Nipe nafasi utajua yote!
 
Few days after my lovely sister charminglady kuandamana ....lol!

Unaona nguvu ya maandamano..... Karibu sana kakaa yangu mpendwa, pole sana hujaumwa na mbu ya Butimba, vipi huhisi dalili za malaria malaria, typhoid haijakugusa kweli maana duh!!!!!!!!!!
 
1. Utaenda lini nyumbani kwetu kujitambulishaaa
2. Lini tukapime HIV?
3. (....)
3. we sio type yangu!!!! (yaani tangu unaanza shule primary....sec...chuo...mtaani kwenu...ofisini) hujapata hadi leo?

ha ha haa nmeipenda hii namba 3 coz ndio itachokonoa hata yasiyochokonlewa. !!
 
Unaona nguvu ya maandamano..... Karibu sana kakaa yangu mpendwa, pole sana hujaumwa na mbu ya Butimba, vipi huhisi dalili za malaria malaria, typhoid haijakugusa kweli maana duh!!!!!!!!!!

Asante sana dada yangu

Kabla ya kufanya chochote nimemuona Dr.Mo na nimefanya vipimo vyote na niko salama sasa
Ubarikiwe sana kwa kuanzisha maandamano yaliyoleta mapinduzi ....lol!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
ebu nitongoze sasa ili nikwambie nitakavokujibu haya 1,2, 3 anzaa(......)ila ukijiumauma tu nakukimbizaaaaa.
 
Khaaaaaaa!!!!!!!

Usishangae mi ndo tabia yangu. Jambo moja naweza kulifikiria hata mwezi mzima ndio nilitolee maamuzi c umesema utanipenda jinsi nilivyo au...??
 
Back
Top Bottom