To MMU ladies ....

To MMU ladies ....

Nilikumiss sana Chujio

Hebu jaribu kuniambia kama ndio umeipata PM yangu muda huu halafu ndio nakutongoza utaniuliza nini cha kwanza?

Dah, sitaijibu paroko..period
 
Last edited by a moderator:

Mimi napenda sana kuambiwa uongo na nshis ndo nauamin
Je utakuwa unanimbia uongo

Una deni mbili up to now kuonana + mambo ambayo utanifanyia ambapo umesema utafanya kwa matendo

OK paroko
 
Mimi napenda sana kuambiwa uongo na nshis ndo nauamin
Je utakuwa unanimbia uongo
Hapana siwezi kudanganya
Una deni mbili up to now kuonana + mambo ambayo utanifanyia ambapo umesema utafanya kwa matendo
OK paroko
Usijali niko tayari

Tutaonana wapi mrembo?
 
Back
Top Bottom