To MMU ladies ....

To MMU ladies ....

1. Utaenda lini nyumbani kwetu kujitambulishaaa
Hilo ni suala la kupanga wala halina tatizo
2. Lini tukapime HIV?
Tukishakubaliana kuanzisha mahusiano
3. (....)
????????
3. we sio type yangu!!!! (yaani tangu unaanza shule primary....sec...chuo...mtaani kwenu...ofisini) hujapata hadi leo?
Kwani kupata si suala la muda tu?
Na kila anaeoa au kuolewa hua ana sababu ya kuolewa na huyo au kumuoa huyo aliyemuoa
Hata wewe nawe kuna sababu pia

So unaniambiaje?
 
Naona mdogo wangu Eiyer umeamua ufanyie mazoezi maswali ya kutongozea. Mie ntakufuata chemba ndo nikuelekeze nyavu zipi zinavua samaki wepi.
 
Last edited by a moderator:
Eiyer bado hujapata tu anayekufaa?? Au maswali yamekuwa magumu?
 
Last edited by a moderator:
Kweli wanawake wanafanana tabia.

Maswali yote yalioulizwa hapa ni yale tunaita FREQUENTLY ASKED QUESTIONS FROM LADIES

Kwa nn mimi,what special about me,umenijuaje,je unanipenda au umenitamani,ntakuamin vp,unaniaminije,unajuaje km sina mtu wangu(sijaolewa),nn kimekuvutia kwangu,ina maana hapo ulipo huna mpenz,nk

ukimtongoza mwanamke asikuulize hayo maswali labda unamtongoza changu au mwanaume mwenzako.
 
Kweli wanawake wanafanana tabia.

Maswali yote yalioulizwa hapa ni yale tunaita FREQUENTLY ASKED QUESTIONS FROM LADIES

Kwa nn mimi,what special about me,umenijuaje,je unanipenda au umenitamani,ntakuamin vp,unaniaminije,unajuaje km sina mtu wangu(sijaolewa),nn kimekuvutia kwangu,ina maana hapo ulipo huna mpenz,nk

ukimtongoza mwanamke asikuulize hayo maswali labda unamtongoza changu au mwanaume mwenzako.

Hata ninyi majibu yenu yanafanana sijui huwa mnafundishana?
 
Baada ya mambo kwenda sawa!

Najua hunifahamu maana hujawahi kuniona. Utakuwa tayari kunikubali vyovyote nilivyo? Kila mwanaume ana vigezo anavyoviangalia kwa mwanamke hadi aweze kumfanya kuwa mwandani wake. Una uhakika wewe unaangalia akili tu? Huangalii shepu,rangi,sura wala kimo?
 
Najua hunifahamu maana hujawahi kuniona. Utakuwa tayari kunikubali vyovyote nilivyo? Kila mwanaume ana vigezo anavyoviangalia kwa mwanamke hadi aweze kumfanya kuwa mwandani wake. Una uhakika wewe unaangalia akili tu? Huangalii shepu,rangi,sura wala kimo?

Mi naangalia akili tu hayo mengine sitaki hata kuyasikia!
 
Kweli wanawake wanafanana tabia.

Maswali yote yalioulizwa hapa ni yale tunaita FREQUENTLY ASKED QUESTIONS FROM LADIES

Kwa nn mimi,what special about me,umenijuaje,je unanipenda au umenitamani,ntakuamin vp,unaniaminije,unajuaje km sina mtu wangu(sijaolewa),nn kimekuvutia kwangu,ina maana hapo ulipo huna mpenz,nk

ukimtongoza mwanamke asikuulize hayo maswali labda unamtongoza changu au mwanaume mwenzako.

Mkuu hapa ndipo umuhimu wa hii mada unapokuja

Endelea kupata ilmu mkuu ....lol!!!!!!!!!!!
 
Mkuu hapa ndipo umuhimu wa hii mada unapokuja

Endelea kupata ilmu mkuu ....lol!!!!!!!!!!!

Mkuu naendelea kupata elim ya kutosha. Awali niliposoma headng nikajua ni mambo ya wadada yanayohusu miili yao,kumbe nilikua wrong, nikasema wacha nifungue,loooh!kumbe bonge la mada,safi sana.
 
Back
Top Bottom