uungwana classic
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 2,324
- 2,091
Haiwezekani kwa uelewa wa watu wachache kama ww ila kwa wengine inaeleweka sehemu mtu anapoongea kama yy na sehemu anapoongea kwa niamba ya kundi lakeLiko wazi kwa nani? Raisi Magufuli akiwa Raisi matamko yake 24/7 ni ya Raisi Na official iwe account yake binafsi ya Twitter , Instagram , Facebook nk Tamko hili la TLs ni feki .Raisi hawezi kuwa na matamko binafsi popote iwe Raisi wa TLS au Magufuli nitakutukana matusi ya nguoni wewe bwege.shenzi type.Raisi wa TLS hawezi kuwa na matamko binafsi to hell with her and TLS