TLS wamkana Fatma Karume sakata ya ushoga

TLS wamkana Fatma Karume sakata ya ushoga

Ila rais wa nchi akitoa mawazo yake binafsi huwa mnayachukulia kama ya rais wa nchi na ya chama tawala.
HATUDANGANYIKI, HILO NI TAMKO LA TLS TENA LIMETOLEWA NA RAIS WAKE KUTILIA UZITO.
Ni kweli kabisa si vizuri kudanganyika ktk mambo ya kipuuzi kama haya,bali tuendelee kudanganyika ktk mambo ya msingi kama vile utekaji,mauwaji,ubabe nk.
 
Salamu mbele!

Chama cha wanasheria wa Tanganyika (TLS) kimesema maoni na mitazamo yanayotolewa na wanachama au viongozi wa TLS kwenye akaunti zao binafsi siyo mtazamo wa chama hicho.

Kauli hii ya TLS inakuja ikiwa ni siku mbili toka Rais wa chama hicho cha wanasheria wasomi kutangaza kupitia akaunti yake ya twitter kuwa anaunga mkono na kusapoti haki za wapenzi wa jinsia moja nchini au mashoga. Swala hilo lilizua mkanganyiko na mtanziko huku wengine wakiuhusisha mtazamo huo na mtazamo wa TLS.

Hata hivyo kumekuwepo na mkanganyiko juu ya iwapo maoni ya Rais wa chama hicho yanaweza kutenganishwa na mtazamo wa chama ikiwa msemaji anayetambulika kisheria ni Rais wa chama.View attachment 920352
Maandishi gani ya ofisi kwa umma yasiyokuwa na muhuri wala saini ya mwandikaji?
 
Hili mbona liko wazi kabisa!Yale yalikuwa ni maoni yake binafsi na wala si ya taasisi anayoiongoza.
TLS inaongozwa na anaeshabikia Ushoga, na huyo anaetoa maoni kwa twitter anashabikia mashoga.. Sisi hayatuhusu mtajua wenyewe
 
Fatuma yupo sahihi kama ukimsikiliza na masikio yasiyofungamana na dini za kuletwa na weupe
UTAWAWEZA HAWA MISUKULE WALIOLISHWA DINI ZA WAZUNGU NA WAARABU!

HAO WAZUNGU WENYEWE WAMESHATUPILIA MBALI HUKO HIZO HADITHI UCHWARA ZA BIBLIA LAKINI UNAKAKUTA KAJITU KA TANDAHIMBA KAMEKOMAA OOOHH SODOMA OHHHH GOMORA hahahahaaa!

SHERIA HII YA UFIRAJI YENYEWE ILIANDIKWA NA WAKOLONI HAWA HAWA AMBAO KWAO WAMESHAIFUTA MAANA NI SHERIA YA KIPUUZI.

HUWEZI UKAWA UNAPITA NYUMBA KWA NYUMBA KUKAGUA MARRINDA YA WATU WALIOFUMULIWA. UPUMBAVU TU!

OOOHH MAADILI YA KITANZANIA! Hahahaaaa
 
TLS inaongozwa na anaeshabikia Ushoga, na huyo anaetoa maoni kwa twitter anashabikia mashoga.. Sisi hayatuhusu mtajua wenyewe
Hakuna sheria inayokataza shoga asitetewe na wakili.Ndiyo maana hata wauwaji wanatetewa na mawakili.
 
Liko wazi kwa nani? Raisi Magufuli akiwa Raisi matamko yake 24/7 ni ya Raisi Na official iwe account yake binafsi ya Twitter , Instagram , Facebook nk Tamko hili la TLs ni feki .Raisi hawezi kuwa na matamko binafsi popote iwe Raisi wa TLS au Magufuli nitakutukana matusi ya nguoni wewe bwege.shenzi type.Raisi wa TLS hawezi kuwa na matamko binafsi to hell with her and TLS
Anawakililisha mawazo ya waliomchagua
 
UTAWAWEZA HAWA MISUKULE WALIOLISHWA DINI ZA WAZUNGU NA WAARABU!

HAO WAZUNGU WENYEWE WAMESHATUPILIA MBALI HUKO HIZO HADITHI UCHWARA ZA BIBLIA LAKINI UNAKAKUTA KAJITU KA TANDAHIMBA KAMEKOMAA OOOHH SODOMA OHHHH GOMORA hahahahaaa!

SHERIA HII YA UFIRAJI YENYEWE ILIANDIKWA NA WAKOLONI HAWA HAWA AMBAO KWAO WAMESHAIFUTA MAANA NI SHERIA YA KIPUUZI.

HUWEZI UKAWA UNAPITA NYUMBA KWA NYUMBA KUKAGUA MARRINDA YA WATU WALIOFUMULIWA. UPUMBAVU TU!

OOOHH MAADILI YA KITANZANIA! Hahahaaaa
Kwa nini tusipite nyumba kwa nyumba kuhakikisha kama wanapata maji safi na salama.Je wakiwapata hao mashoga wanaenda kuwatibu au? eti jela? wada fa....
 
H
Unafiriki ile angekuwa mtoto wake amepigwa ile kitu huyu shangaz angeonekana kwenye mtandao
Huyu hatetei ushoga,bali yeye ni mwana sheria na sheria haijakataza mtu mwenye kosa lolote kutetewa na wakili.
 
FATMA KARUME NI SHUJAA!

KAZUNGUMZA JAMBO AMBALO WANAFIKI WENGI WANALIKWEPA NA KULIKIMBIA LAKINI KUMBE NI WASHIRIKA WAZURI WA UFIRAUNI.

WATU WAWILI WENYE AKILI ZAO WAKIAMUA KUTIFUANA VYUMBANI HUKO INAKUUMA NINI!?

Mwenyewe umesema vyumbani, hao wateja wa Fatma unajua walifanyia wapi? Ingekuwa vyumbani lingefika huku?
 
Salamu mbele!

Chama cha wanasheria wa Tanganyika (TLS) kimesema maoni na mitazamo yanayotolewa na wanachama au viongozi wa TLS kwenye akaunti zao binafsi siyo mtazamo wa chama hicho.

Kauli hii ya TLS inakuja ikiwa ni siku mbili toka Rais wa chama hicho cha wanasheria wasomi kutangaza kupitia akaunti yake ya twitter kuwa anaunga mkono na kusapoti haki za wapenzi wa jinsia moja nchini au mashoga. Swala hilo lilizua mkanganyiko na mtanziko huku wengine wakiuhusisha mtazamo huo na mtazamo wa TLS.

Hata hivyo kumekuwepo na mkanganyiko juu ya iwapo maoni ya Rais wa chama hicho yanaweza kutenganishwa na mtazamo wa chama ikiwa msemaji anayetambulika kisheria ni Rais wa chama.View attachment 920352
Sasa hapo wamemkana wapi that’s a fact, na Fatma hajawahi kupost kifu kwenye account yake akasema anapost as the president of TLS
 
Mwenyewe umesema vyumbani, hao wateja wa Fatma unajua walifanyia wapi? Ingekuwa vyumbani lingefika huku?
UJINGA WALIOUFANYA NI KUREKODI NA KUSAMBAZA MTANDAONI. HILO ANGALAU LINAWEZA KUELEWEKA!

LAKINI WATU WAWILI WAKIAMUA KWA HIARI YAO KUTIFUANA CHUMBANI HUKO WATAJUA WENYEWE! MIMI INANIHUSU NINI!

HATUWEZI KUWA NA SHERIA ZA KISHENZI ZA KUWAPANGIA WATU MATUMIZI YA MIILI YAO.

MWISHOWE TUTAKATAZWA MPAKA KUPIGA PUNYETO ILI TUTUNZE MAADILI YA KITANZANIA.

BULLSHIT!
 
Back
Top Bottom