TLS wamkana Fatma Karume sakata ya ushoga

TLS wamkana Fatma Karume sakata ya ushoga

Liko wazi kwa nani? Raisi Magufuli akiwa Raisi matamko yake 24/7 ni ya Raisi Na official iwe account yake binafsi ya Twitter , Instagram , Facebook nk Tamko hili la TLs ni feki .Raisi hawezi kuwa na matamko binafsi popote iwe Raisi wa TLS au Magufuli nitakutukana matusi ya nguoni wewe bwege.shenzi type.Raisi wa TLS hawezi kuwa na matamko binafsi to hell with her and TLS
Umechukia mpaka mishipa imekutoka kuona ufafanuzi huu!
 
Acheni kuhangaika, hakuna asiejua yale ni maoni yake.Mnatafuta upenyo wa kutaka kuivuruga TLS na hamtaupata kamwe!
Nchi za kiislamu zimeshamuweka Black List haruhusiwi kukanyaga hizo nchi viongozi wa TLS toeni tamko official la extra ordinary meeting kabla uongozi wote wa TLS haujawekwa Black List kukanyaga nchi za Kiislamu.Sio swala dogo toeni tamko la vikao official la vikao vilivyokaa.Huyu Fatuma hajielewi uraisi TLS una maana gani kimataifa anadhani ni sawa Na kuwa mwenyekiti wa Chama cha madereva Na makondakta wa daladala ambako Kila mmiliki Ruksa kutoa maoni ya daladala yake
 
Makonda atapiga ndege wengi sana kwa jiwe hili moja la ushoga
 
Liko wazi kwa nani? Raisi Magufuli akiwa Raisi matamko yake 24/7 ni ya Raisi Na official iwe account yake binafsi ya Twitter , Instagram , Facebook nk Tamko hili la TLs ni feki .Raisi hawezi kuwa na matamko binafsi popote iwe Raisi wa TLS au Magufuli nitakutukana matusi ya nguoni wewe bwege.shenzi type.Raisi wa TLS hawezi kuwa na matamko binafsi to hell with her and TLS
Naisi ww ni bashte ndo uwa anachuk na wanasheria popote walipo ,kwa nn chuki zenu mnazionyesha wazi kwan wanasharia waliwachukulia wake zenu? Yaan umeandka ukiwa na hasira zlizo pitiliza
 
Ila rais wa nchi akitoa mawazo yake binafsi huwa mnayachukulia kama ya rais wa nchi na ya chama tawala.
HATUDANGANYIKI, HILO NI TAMKO LA TLS TENA LIMETOLEWA NA RAIS WAKE KUTILIA UZITO.
JPM alijiita kichaa!Hilo ni tamko la ofisi ya Rais na limetolewa na kutilia uzito
 
Nchi za kiislamu zimeshamuweka Black List haruhusiwi kukanyaga hizo nchi viongozi wa TLS toeni tamko official la extra ordinary meeting kabla uongozi wote wa TLS haujawekwa Black List kukanyaga nchi za Kiislamu.Sio swala dogo toeni tamko la vikao official la vikao vilivyokaa.Huyu Fatuma hajielewi uraisi TLS una maana gani kimataifa anadhani ni sawa Na kuwa mwenyekiti wa Chama cha madereva Na makondakta wa daladala ambako Kila mmiliki Ruksa kutoa maoni ya daladala yake
Unaweza kutupa huo ushahidi?Halafu waarabu ndio wafiraj wakubwa!
 
Leo ndo mmetambua kwamba huyo Mwanamke siyo kichwani?

Chadema wamewaingiza choo cha kike bado zamu ya Mangi Kimambi kuwaanika pia.

Mimi tangia siku mlipomchagua niliwashangaa sana, Wanasheria mnawezaje kukubali kuongozwa na mtu less intelligent namna hii?
Mbona wapuuzi mmejaa kiasi hiki?
 
Nchi za kiislamu zimeshamuweka Black List haruhusiwi kukanyaga hizo nchi viongozi wa TLS toeni tamko official la extra ordinary meeting kabla uongozi wote wa TLS haujawekwa Black List kukanyaga nchi za Kiislamu.Sio swala dogo toeni tamko la vikao official la vikao vilivyokaa.Huyu Fatuma hajielewi uraisi TLS una maana gani kimataifa anadhani ni sawa Na kuwa mwenyekiti wa Chama cha madereva Na makondakta wa daladala ambako Kila mmiliki Ruksa kutoa maoni ya daladala yake
Hatupo hapa kufurahisha nchi za kiislamu. Kwani lazima twende huko? Hiki ni chama cha mawakili wa Tanganyika siyo ulimwengu.
 
Leo ndo mmetambua kwamba huyo Mwanamke siyo kichwani?

Chadema wamewaingiza choo cha kike bado zamu ya Mangi Kimambi kuwaanika pia.

Mimi tangia siku mlipomchagua niliwashangaa sana, Wanasheria mnawezaje kukubali kuongozwa na mtu less intelligent namna hii?
Fact walahi
Ni ile English accent ili wapumbaza walahi
Sasa huyo bibie anataka watu wawe mashoga! Aaasalaleh walahi
 
Nchi za kiislamu zimeshamuweka Black List haruhusiwi kukanyaga hizo nchi viongozi wa TLS toeni tamko official la extra ordinary meeting kabla uongozi wote wa TLS haujawekwa Black List kukanyaga nchi za Kiislamu.Sio swala dogo toeni tamko la vikao official la vikao vilivyokaa.Huyu Fatuma hajielewi uraisi TLS una maana gani kimataifa anadhani ni sawa Na kuwa mwenyekiti wa Chama cha madereva Na makondakta wa daladala ambako Kila mmiliki Ruksa kutoa maoni ya daladala yake

Well said walahi
Kwa nini hatumii jina la mume wake?
Opportunist, walahi
 
Ushoga Waigawa TLS

Mambo si shwari ndani ya uongozi na wanachama wa Chama cha Mawakili Tanzania (TLS).

Baada ya wengi kuchukizwa na tabia za Rais wao Fatma Karume kuropoka ropoka mitandaoni na kuonekana wazi kushabikia Chadema, sasa la ushoga ndi limekuwa kaa la moto.

Wakili Fatma ambaye yeye mwenye maisha yake ya ndoa hayaeleweki sasa kalizuq alipoonekana kuunga mkono si tu ushoga bali kwenda mbali zaidi kwa kiwango cha kusema wanaopeana kinyume cha maumbile nao waachwe waenjoy.

Hili limewauma TLS na wamwshamkana kupitia ukurasa wao wa Facebook.

Zipo tetesi kuwa Konki Konki Master aka Mamba wakati wowote kuanzia sasa atawaambia Watanzania kitu cha kushangaza kuhusu Wakili Fatma Karume.😀😀

Tusubiri.
 

Attachments

  • IMG-20181103-WA0046.jpg
    IMG-20181103-WA0046.jpg
    85.9 KB · Views: 38
Dah mashoga wanasiasa hawa hapa

1.ANDKOMA
2.IWSAMU
3. OBEMW
4.LAME
5.LAYUBA
6.MILAHA
 
Wapuuzi wakubwa nyie, hayo ndo maoni yenu huko TLS sababu hicho kibibi mmekichagua wenyewe, vinginevyo itisheni uchaguzi mkiondoe hapo
 
Hii issue imelikamata kweli jukwaa,kila nikiifunga app ya JF nakuifungua nakutana na uzi kuhusu ushoga una-trend.noma sana!
 
Back
Top Bottom