TLP: Tunampongeza Rais Samia kwa kupaisha bei ya mbaazi kwa 3200%. Hongera sana tuko nyuma yako

Ungenisaidia kaongezaje mama hizo Bei?
 
Kama namuona Nape na wapigakura wake wanavyofurahia bei mpya ya Pamba,

Najua kwa hili Nape amemaliza Uchaguzi wa 2025.
 







" Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni mama deserves better Wazalendo wote tumtie moyo, mpaka mwaka 2030 tutashuhudia maajabu, Tuombe uzima Tu"
 
Mungu tunajua Upo,Msimamie mama huyu kila maadui watafunane wenyewe
 
Rais Samia ni mpango halisi wa Mungu,Mungu wetu hakawii wala hawai ni huyuhuyu tumepewa tumlinde,
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…