TLP: Tunampongeza Rais Samia kwa kupaisha bei ya mbaazi kwa 3200%. Hongera sana tuko nyuma yako

NAPE NA NDUGU ZAKO MSIACHE KUMSHUKURU MUNGU KWAAJILI YA MAMA SAMIA | MBAAZI IMEPAA TOKA TZS 50 FY2017|2020-TZS 1,600 FY2021|22 KWA KILO

Bei ya mbaazi Tanzania chini ya Rais Samia imeongezeka karibu ( X3200 ) kutoka Shilingi Hamsini za Kitanzania hadi kufikia Tshs 1,600 mwaka huu,Mtakumbuka ni trh 19|3|2021 ndio siku ambayo Mama Samia alikabidhiwa nchi hii kama Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa JMT wa awamu 6,huku bei ya mbaazi ikiwa ni chini ya Tshs 200|50.Kwalugha rahisi Fuso la Tani 7 lilijazwa mbaazi za watoto wa masikini kwa Tshs 350k Tu,Leo baada ya Rais Samia Fuso hilohilo linajazwa Mbaazi hizohizo kwa Tshs 11.2M,Mama Samia ameiongeza bei hii kwa zaidi ya 3,200%,Ukifungua hizo link utawasikia wakulima hao wakilalama,Mbaazi kutoka kuwa zao la Kibiashara hadi kuwa Chakula cha Ng'ombe na Nguruwe huku baadhi yao wakizisusa mbaazi hizo Shambani bila ya kuzivuna,Inaumiza.

Nape Nauye|Zitto Kawe kwenye bunge la 10 ndio vijana miongoni Mwawabunge wachache waliopaza sauti zao juu ya mporomoko mkali wa bei ya mbaazi Tanzania,Wakati flani Nape akishauriwa na Naibu Waziri wa kilimo wa wakati huo kama soko hakuna ni bora kuwahimiza Wapigakura wake Wale Mbaazi kwa wingi kwakuwa mbaazi zina Protini nyingi, majibu yaliyoonesha kama ni kejeli mbele ya Mhe Nape Mbunge wa Mtama na kwawalima mbaazi wote nchini,Ujio wa Rais Samia umeshusha neema|faraja tena na tena kwa wakulima|Wasambazaji na Wauzaji wa Mbaazi wa nje na ndani ya Tanzania,Kwenye hili Rais Samia anastahili pongezi toka kwa Watanzania wote na hasahasa Wale walioambiwa Wale mbaazi ili wanenepe badala ya kupata Pesa ambayo leo Wanaifurahia,

Mtakumbuka,Mwaka wa fedha 2015/16 bei ya Tani ya Mbaazi ilikuwa US$ 715.11,Tanzania tulijipatia kiasi cha US$ 113,760 ikiwa ni sawa fedha ya kuuza Mbaazi nje jumla ya Tani 160 tu ,Dollar hizi ni sawa na Tshs 264M,Gafla Mauzo hayo yaliporomoka mpaka kufikia US$ 5,112 sawa na Tshs 11.3M Tu,FY2018|19|20 ambazo ni sawa na mauzo ya Tani 5 tu za Mbaazi,Mapato haya ni sawa na anguko la 95.7% nadhani hii haijawahi kutokea popote pale dunia wakati huu bei ikiwa ni US$ 0.023 kutoka US$ 1.14 FY 2015|16|17.Bila shaka haya ndio yaliwaliza wakati wote akina Nape pale Bungeni kwenye bunge la 10.Leo Mama amepandisha bei ya Mbaazi mpaka kufikia US$ 0.73 kutoka US$ 0.023 ikiwa ni sawa Tshs 1,600 kutoka Tshs 50/Lakini pia Kahawa imepaa kutoka 1,000 ya mkopo hadi kufikia Tshs 1,500/= Cash, Mwenye Masikio na asikie sasa,






...Kazi iendelee...

Hapa mataga na machadema hutayaona ,😁😁 ila kwenye ujinga na kuombea Taifa na Rais kushindwa ndio kiherehere.Unfortunately Rais anawapuuza.
 
Barua ya Wazi kwa Mama Samia,

Dear Mama,

Shikamoo,


Baada ya salamu hizi naomba nikupongeze kwa kazi kubwa unayoifanya,

Dhumuni la Barua yangu nikukuuliza maswali yafuatayo:

1. Hivi Mama! umewezaje kufikisha bei ya Mbaazi Tshs 1,600 toka Tshs 50/=?

2. Hivi mama umewezaje kuifikisha pamba Tsh 1,800/= toka Tshs 810/= mwaka jana?

3. Hivi umewezaje kufikisha alizeti Tshs 12,000/= toka 5,000/= mwaka Jana?

4. Hivi umewezaje kufikisha Kawaha Tshs 1,550/= toka Tsh 1,000/= mwaka Jana,

5. Hivi umewezaje kufikisha choroko juu huko?

Mwisho, Naomba nikuahidi kura yangu mwaka 2025.

Asante,
Sio mbaazi tuu hata Ufuta bei imekuwa tamu,pamba na tumbaku halikadharika korosho wakulima wanafurahia maisha hata wakitoa tozo wanaona Kazi imefanyika.
 
Nilikuwa natafuta ktk bandiko la jamaa kuona ni nini hasa SSH alifanya ambacho kimeongeza soko hilo. Inaonekana jamaa kama vile anashangilia kuwepo kwa SSH bila kusema kwa mfano ametafuta soko, amerejesha mawakala, au kaondoa vipingamizi nk.

Ninadhani mleta mada ana mahaba! Labda ni mdau wa mbaazi. Angenitupa mrejesho kuhusu pamba, korosho, mwani, kahawa nk ili tuone alichofanya pia.
Wawekezaji wamerudi,muwe mnafuatilia mambo.Miezi 4 ya kwanza ya mama uwekezaji ulifikia zaidi ya dola za Marekani bilioni 1, kiwango hicho kilifikiwa kwa mara ya mwisho 2015/2016.
 
Kwa hoja kama hizi hata mtoto mdogo anatucheka kwa dharau,yaani samia ndiye kaamua bei ya bidhaa fulani iwe kiasi gani? Kama ni hivyo tu si hata magufuli angeamka tu na kuamua kuwa dhahabu iuzwe milioni kumi kwa gramu moja? Demand imekuwa kubwa baada ya lock down duniani huko,kwa hiyo watu wamerufisha mitaji na walaji wamekuwa huru wakati huu,hence mzunguko wa biashara umeimarika tena,samia ni nani dunia hii hadi aamue kupandisha bei ya bidhaa wakati yeye hata si mteja wa bidhaa hiyo? Majinga kabisa
 
Kwa hoja kama hizi hata mtoto mdogo anatucheka kwa dharau,yaani samia ndiye kaamua bei ya bidhaa fulani iwe kiasi gani? Kama ni hivyo tu si hata magufuli angeamka tu na kuamua kuwa dhahabu iuzwe milioni kumi kwa gramu moja? Demand imekuwa kubwa baada ya lock down duniani huko,kwa hiyo watu wamerufisha mitaji na walaji wamekuwa huru wakati huu,hence mzunguko wa biashara umeimarika tena,samia ni nani dunia hii hadi aamue kupandisha bei ya bidhaa wakati yeye hata si mteja wa bidhaa hiyo? Majinga kabisa
Diplomasia usiwe kiazi,huyo mtoto atakucheka Wewe.

Wakati mwendazake anazinguana na Kenya,Rwanda,India nk waliokuwa wanapata hasara ni sisi kwa hiyo tuna kila sababu ya kushangilia.
 
Kwanza wanaolima mbaazi sijui ni kijiwilaya tu😂😂😂
wewe na wenzako wa mwendazake na sukumagang ni wivu tu unawasumbua
Kodoa, Bereko mpaka Babati yote wanalima mbaazi kwa maekari
Nenda Singida, panda mpaka Babati
jamaa yenu kapora Korosho kwenda kujenga Hospital kwao ndio mnataka wa kahawa wasimshukuru?
 
UPUUZI MTUPU!!!
NAPE NA NDUGU ZAKO MSIACHE KUMSHUKURU MUNGU KWAAJILI YA MAMA SAMIA | MBAAZI IMEPAA TOKA TZS 50 FY2017|2020-TZS 1,600 FY2021|22 KWA KILO

Bei ya mbaazi Tanzania chini ya Rais Samia imeongezeka karibu ( X3200 ) kutoka Shilingi Hamsini za Kitanzania hadi kufikia Tshs 1,600 mwaka huu,Mtakumbuka ni trh 19|3|2021 ndio siku ambayo Mama Samia alikabidhiwa nchi hii kama Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa JMT wa awamu 6,huku bei ya mbaazi ikiwa ni chini ya Tshs 200|50.Kwalugha rahisi Fuso la Tani 7 lilijazwa mbaazi za watoto wa masikini kwa Tshs 350k Tu,Leo baada ya Rais Samia Fuso hilohilo linajazwa Mbaazi hizohizo kwa Tshs 11.2M,Mama Samia ameiongeza bei hii kwa zaidi ya 3,200%,Ukifungua hizo link utawasikia wakulima hao wakilalama,Mbaazi kutoka kuwa zao la Kibiashara hadi kuwa Chakula cha Ng'ombe na Nguruwe huku baadhi yao wakizisusa mbaazi hizo Shambani bila ya kuzivuna,Inaumiza.

Nape Nauye|Zitto Kawe kwenye bunge la 10 ndio vijana miongoni Mwawabunge wachache waliopaza sauti zao juu ya mporomoko mkali wa bei ya mbaazi Tanzania,Wakati flani Nape akishauriwa na Naibu Waziri wa kilimo wa wakati huo kama soko hakuna ni bora kuwahimiza Wapigakura wake Wale Mbaazi kwa wingi kwakuwa mbaazi zina Protini nyingi, majibu yaliyoonesha kama ni kejeli mbele ya Mhe Nape Mbunge wa Mtama na kwawalima mbaazi wote nchini,Ujio wa Rais Samia umeshusha neema|faraja tena na tena kwa wakulima|Wasambazaji na Wauzaji wa Mbaazi wa nje na ndani ya Tanzania,Kwenye hili Rais Samia anastahili pongezi toka kwa Watanzania wote na hasahasa Wale walioambiwa Wale mbaazi ili wanenepe badala ya kupata Pesa ambayo leo Wanaifurahia,

Mtakumbuka,Mwaka wa fedha 2015/16 bei ya Tani ya Mbaazi ilikuwa US$ 715.11,Tanzania tulijipatia kiasi cha US$ 113,760 ikiwa ni sawa fedha ya kuuza Mbaazi nje jumla ya Tani 160 tu ,Dollar hizi ni sawa na Tshs 264M,Gafla Mauzo hayo yaliporomoka mpaka kufikia US$ 5,112 sawa na Tshs 11.3M Tu,FY2018|19|20 ambazo ni sawa na mauzo ya Tani 5 tu za Mbaazi,Mapato haya ni sawa na anguko la 95.7% nadhani hii haijawahi kutokea popote pale dunia wakati huu bei ikiwa ni US$ 0.023 kutoka US$ 1.14 FY 2015|16|17.Bila shaka haya ndio yaliwaliza wakati wote akina Nape pale Bungeni kwenye bunge la 10.Leo Mama amepandisha bei ya Mbaazi mpaka kufikia US$ 0.73 kutoka US$ 0.023 ikiwa ni sawa Tshs 1,600 kutoka Tshs 50/Lakini pia Kahawa imepaa kutoka 1,000 ya mkopo hadi kufikia Tshs 1,500/= Cash, Mwenye Masikio na asikie sasa,






...Kazi iendelee...
 
Kwa hoja kama hizi hata mtoto mdogo anatucheka kwa dharau,yaani samia ndiye kaamua bei ya bidhaa fulani iwe kiasi gani? Kama ni hivyo tu si hata magufuli angeamka tu na kuamua kuwa dhahabu iuzwe milioni kumi kwa gramu moja? Demand imekuwa kubwa baada ya lock down duniani huko,kwa hiyo watu wamerufisha mitaji na walaji wamekuwa huru wakati huu,hence mzunguko wa biashara umeimarika tena,samia ni nani dunia hii hadi aamue kupandisha bei ya bidhaa wakati yeye hata si mteja wa bidhaa hiyo? Majinga kabisa
wewe ndio mtoto hata shule hujaenda au una mtindio wa ubongo
mwendazake alipopora Korosho kwa kutumia JWTZ uliona sahihi
leo Wafanyabiashara toka Nje wameinunua hata haijachanua
jitu limeweka ukuta Mererani wajanja na askari wamechimba mahandaki wanatorosha
kwa hapo huoni tofauti ya Mama Samia na mdhulumati yule?
kweli kuna majinga yanayoshabikia ukabila na ujinga sijui hata nisemeje kazi kupinga tu
wafanyakazi wamerudishwa makazini sijui akifufuka ..............
 
Unamuuliza mama wakati yeye mwenyewe anashangaa imepandaje.

Kukusaidi tu dunia ilikuwa imejifungia sababu ya Corona,biashara nyingi zilisitishwa Sasa wameona heri maisha yaendelee.
Sasa wanazifakamia bidhaa kama mtu mwenye njaa.
Kuumbuka mama kwenye issue ya mbole kupanda jibu alilotoa.
aisee! ndugu ondoa chuki na wivu moyoni, vitakuweka huru na kukuepusha na uongo. bei ya mbaazi ilishushwa kwa siasa za mwendazake na pm wake, majaliwa kassimu 2017 huko. hivi korona ilishafika kaka mwaka 2017?!!!! duuuu!

hata kama tunachukia, kwa nguvu zote, baadhi ya viongozi kwa sababu zetu za kurithi, kuambiwa (kushawishiwa), kuhisi n.k. bado kutokana na nguvu zao za kikatiba wataendelea tu kufanya mambo mema hata awe na mapungufu kiasi gani. mama samia, pamoja na mapungufu yake (kama binadamu) yapo ambayo ameshayafanya tayari na anaendelea kuyafanya;

1. mbaazi ndo hivyo bei inaongezeka tu
2. sgr ya kisaka-mwanza, twende kazi
3. kusini kuna mpango wa kuijenga reli
4. vituo vipya 90 vya afya njiani kujengwa
5. madaraja wamepanda % kubwa ya watumishi
6. kiwanda cha kukoboa mpunga cha bilioni 3, km sikosei, kinajengwa huko mwanzana kinamalizika hivi punde (october) n.k

chukieni na endeleeni kuomba mabaya tu lakini mdogo mdogo na kimya kimya mama anajivuta.......na ataeleweka tu.
 
Barua ya Wazi kwa Mama Samia,

Dear Mama,

Shikamoo,


Baada ya salamu hizi naomba nikupongeze kwa kazi kubwa unayoifanya,

Dhumuni la Barua yangu nikukuuliza maswali yafuatayo:

1. Hivi Mama! umewezaje kufikisha bei ya Mbaazi Tshs 1,600 toka Tshs 50/=?

2. Hivi mama umewezaje kuifikisha pamba Tsh 1,800/= toka Tshs 810/= mwaka jana?

3. Hivi umewezaje kufikisha alizeti Tshs 12,000/= toka 5,000/= mwaka Jana?

4. Hivi umewezaje kufikisha Kawaha Tshs 1,550/= toka Tsh 1,000/= mwaka Jana,

5. Hivi umewezaje kufikisha choroko juu huko?

Mwisho, Naomba nikuahidi kura yangu mwaka 2025.

Asante,
PUMBAVU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom