Voicefromvoiceless
Member
- Sep 14, 2023
- 82
- 66
Mnada huo ambao ulitarajiwa kufanyika toka Jumanne, uliahirishwa mara mbili na hatimaye kufanyika Alhamisi 14/09. Wakulima zao la Mbaazi, walishangazwa na bei ya mnada kuwa chini kuliko matarajio.
Kwa masikitiko makubwa walitangaziwa Bei ya Tshs 2190/ Ukiniunganisha na Bei ya Mbaazi Kwa soko la Dar es salaam ambayo inauzwa Kwa Tshs 2400/ na zaidi
Tunaomba Serikali ingilie kati hili suala la Wakulima wa MBAAZI Kibaya - Kiteto
Tunaomba Bei ikiwa chini ya Tshs 2350/ kwa KG Moja basi watu wapewe kibali cha kusafirisha kupeleka Dar es Salaam
Kwa masikitiko makubwa walitangaziwa Bei ya Tshs 2190/ Ukiniunganisha na Bei ya Mbaazi Kwa soko la Dar es salaam ambayo inauzwa Kwa Tshs 2400/ na zaidi
Tunaomba Serikali ingilie kati hili suala la Wakulima wa MBAAZI Kibaya - Kiteto
Tunaomba Bei ikiwa chini ya Tshs 2350/ kwa KG Moja basi watu wapewe kibali cha kusafirisha kupeleka Dar es Salaam