Tito Magoti: Samia amefahamishwa rasmi kuhusu shauri lililofunguliwa dhidi yake ICC

Tito Magoti: Samia amefahamishwa rasmi kuhusu shauri lililofunguliwa dhidi yake ICC

Kuna Rais hapa Afrika atakataa kumkamata Samia kwa namna walivyomlaani kuuwa Watanzania?,

Hukuona statement ya Wizara ya Mambo ya Nje Ghana? SADC? Nchi za Maziwa Makuu?

Hukuona statement ya Former President wa Botswana na Thambo Mbeki? Hukuona Statement ya Chama tawala Afrika Kusini ANC?

Samia kila mtu hamtaki maana ananuka damu za watu.
Sawa
 
sudani siyo mwanachama wa icc na wala haijaratify rome statue of the international criminal court, tanzagiza ni mwanachama mtiifu wa jumuiya kama zote za kimataifa, hivyo unalinganisha apple and oranges ...
Endelea kukaza fuvu
 
Bila shoot to kill ingekuwa vigumu kudhibiti zile vurugu zilizolipuka mikoa zaidi ya 5 kwa wakati mmoja. Bila shoot to kill sasa hivi tungekuwa ni Sudan nyingine
Shida mumewekwa kwenye vitengo halafu hamna ELIMU yoyote na uwezo ni mdogo

Shoot and kill Kwa raia asiyekuwa na Silaha hakuna Sheria ya namna hiyo kimataifa!!
Shoot and kill huwezi kuwafuata nyumbani na kwenye vibanda umiza wasio husika
Shoot and kill huwezi kufyatua risasi sehemu ambayo wandamaji hawapo ?

RAIA asiye kuwa na Silaha ya moto mabomu ya machozi na maji ya washawasha yanatosha kumkimbiza

Polisi , JWTZ na wote mlioko kwenye vitengo mnafikiria Kwa kutumia makalio
 
Huwezi conclude uchunguzi wa kisheria toka kwenye picha halafu ukawa credible,lazima uende ground
Ndiyo maana mnabaki na maneno huenda mamia wamezikwa makaburi ya halaiki,hamna uhakika wala hamjui mseme yalipo
Wewd ndo unajua criminal investigation kuliko mimi mwanasheria?

Hujui kuna forensic evidence? Hujui kuna ushahidi wa video na confessions kabisa?
Tulia mfurahishwe.
 
umeishiwa hoja unaongelea mambo usioyalewa ukifikiri dunia nzima ni wajinga kama wewe ...
Wewe mbwiga labda nikutoe tongotongo kidogo halafu utaamua kubaki na ujinga wako au ukumbatie werevu.

Ipo hivi licha ya Sudan kutokuwa mwanachama, ICC ina uwezo wa kufanya uchunguzi na kutoa hati za ukamataji nchini humo kwa sababu ya:
1. Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC): Mwaka 2005, Baraza la Usalama lilipitisha Azimio namba 1593 ambalo liliipeleka hali ya Darfur/Sudan mbele ya ICC.

2. Chini ya sheria za kimataifa, Baraza la Usalama lina nguvu ya kuilazimisha nchi yoyote (hata kama si mwanachama wa ICC) kushirikiana na mahakama hiyo ikiwa kuna tishio kwa amani na usalama wa dunia.
 
Kuna mambo mawili unachanganya bwana mdogo.
Kutolewa kwa kibali cha kumkamata mtu na kitendo chenyewe cha kumkamata ni mambo mawili tofauti.
Ndio maana wapo viongozi wengi ambao zimetolewa hati za kuwakamata na hadi sasa hawajakamatwa na bado wameendeleza matendo yao ya kinyama. Ungekuwa ni mwelewa angalau ingeendelea kuhifadhi furaha yako kwa matumizi sahihi.
Kwa hiyo samia naye ataendeleza matendo yake ya kinyama?
 
Wewe mbwiga labda nikutoe tongotongo kidogo halafu utaamua kubaki na ujinga wako au ukumbatie werevu.

Ipo hivi licha ya Sudan kutokuwa mwanachama, ICC ina uwezo wa kufanya uchunguzi na kutoa hati za ukamataji nchini humo kwa sababu ya:
1. Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC): Mwaka 2005, Baraza la Usalama lilipitisha Azimio namba 1593 ambalo liliipeleka hali ya Darfur/Sudan mbele ya ICC.

2. Chini ya sheria za kimataifa, Baraza la Usalama lina nguvu ya kuilazimisha nchi yoyote (hata kama si mwanachama wa ICC) kushirikiana na mahakama hiyo ikiwa kuna tishio kwa amani na usalama wa dunia.

hiyo ni debatable na case ya sudani ni tofauti na tanzagiza, tanzagiza ni moja kwa moja hakuna dabate yoyote kwa maana ni mwanachama hai, sudani kwa kuwa siyo mwanachama inakuwa complicated na ndiyo maana walidebate kama AK wanapaswa kumkamata au ala, hiyo ni tofauti na tanzagiza ambayo ni mwanachama hai, tena kwa tanzagiza unaweza kukamatiwa hapa hapa nchini bila hata ya kusafiri ...
 
Katika watu waliosababisha watoto wa watu kuuliwa uyo bwege yumo, matokeo ya kutomeza watoto wa watu then yeye abaki nyuma ya keyboard akipiga jaramba , unadhani Mungu atamuchekea ?!. Soon huyo kibwengo anakuwa chizi.
Kwa watoto wa watu uliowaua na kumwaga damu walilazimishwa kuandamana ?Kwamba hao watoto wa watu uliomwaga damu zao walilipwa ili waandamane?

Ukute na wewe unatengo serikalini na uwezo wako mdogo sana kufikiri
Umeuawa watu kwasababu zifuatazo
1. Uliteka na kuua watu kabla ya uchaguzi
2.Ulipora haki za watu kuchagua tangu serikali za mitaa
3.Ulinyanyasa watu na kufungua watu ilimuendelee kutawala
4.Ulikataa reforms iliuendee kutawala

Hizo ndiyo sababu za Maandamano.Tatizo mnatumia makalio kufikiria
 
Wewd ndo unajua criminal investigation kuliko mimi mwanasheria?

Hujui kuna forensic evidence? Huju8 kuna ushahidi wa video na confessions kabisa?
Tulia mfurahishwe.
ICC prosecutor seeks arrest warrants over atrocities in Darfur | Darfur | The Guardian ICC prosecutor seeks arrest warrants over atrocities in Darfur
Ukisoma hiyo ripoti ya guardian utaona maofisa wa ICC walihoji wasudani,siyo picha za madowo
Hiyo forensic investigation on the ground aliifanya nani,lini!?..au unazungumzia digital forensics za BBC na CNN!?
 

Attachments

  • Screenshot_2026-01-28-14-49-33-128.jpg
    Screenshot_2026-01-28-14-49-33-128.jpg
    170.2 KB · Views: 3
Nimekula kiapo kwa uzi maalum humu JF. Mwaka huu Samia na washirika wake lazima watolewe Hati za kukamatwa na ICC.

Yanayoendelea ICC ni faraja tosha kwa Watanzania na nafasi pekee ya kutengeneza mustakabali mpya kwa Taifa letu.
Yeye na kaka yake M7 mwezi wa 2 hauishi wataanza maisha mpya. Uzuri jela za huko kama upo home tu.
 
Huyu SSH ataendelea kudunda mtaani, nyinyi endelezeni hayo madua ya kuku.
Wewe uzuri nakufahamu ,unachozungumza haukishi unachokitafuta na cheo serikali
Unatoka familia maskini sana .

SSH mbona amejificha mpaka dakika hii?Mbona hazungiki mikoani kushukuru wapiga kura?
Usipo punguza mihemko yako hasira za wananchi zitaanza na wewe kabla ya Samia
 
hiyo ni debatable na case ya sudani ni tofauti na tanzagiza, tanzagiza ni moja kwa moja hakuna dabate yoyote kwa maana ni mwanachama hai, sudani kwa kuwa siyo mwananchama inakuwa complicated na ndyio maana walidebate kama AK wanapaswa kumkamata au ala, hiyo ni tofauti na tanzaguza ambayo ni mwanachama hai, tena kwa tanzagiza unaweza kukamatiwa hapa hapa nchi bila hata ya kusafiri ...
Kwa hiyo unadhani ni lini Samia atakamatwa?
 
Kosa lingine kubwa analofanya Samia baada ya haya mauaji ya kutisha ni Kila anapowashiwa maiki...anapofungua mdomo tu lazima aliongelee hili katika lugha ya kuudhi na kuleta. Haleti utengemano ila anaharibu sana

Anaongea lugha mbovu sana juu ya hili swala. Sijui hawamahauri huko ndani au ni nini anawazaga anaposimanga watanganyika katika hili.
Siyo yeye ni K Vant na skanka sasa hivi ameshakuwa teja kabisa bila kupiga hapati usingizi
 
Yeye na kaka yake M7 mwezi wa 2 hauishi wataanza maisha mpya. Uzuri jela za huko kama upo home tu.
Museveni hana ushahudi mkubwa dhidi yake.

Samia kila chombo cha kimataifa kimemkalia kooni kuuwa maelfu ya watu. Hadi Taasisi za Kimataifa zimewasilisha maombi rasmi kwa ICC kuiomba ifanye uchunguzi na kuwakamata Samia na washirika wake.


Museven ataondoka kwa nature (Natural Death) kutokana na mzee ila Samia labda nae afe ila jela za ICC lazima alale kwa kipindi kitakachobakia cha maisha yake.
 
Mimi mpaka Leo najiuliza....
Hakukuwa na mabomu ya machozi ?
Ok au risasi za mpira ?
Au maji ya kuwasha ?

Ni kitu Gani kilisababisha mpaka risasi za moto ziwe mbadala ?
Sawa risasi za moto zinatumika....je kwanini zinapigwa kwenye vifua na kichwani ? Hawaoni miguu ?

Kuna kitu kinaenda kutokea Tanzania....
Nahisi mwaka huu
Kinachoniuma zaidi, baad ya wanajeshi kuondoka uraiani ndipo vijana akanza kuuliwa.
 
Back
Top Bottom