Tido Mhando aula Al Jazeeera

Tido Mhando aula Al Jazeeera

Una uhakika mheshimiwa au tukubandikie majabizano yake na wakubwa zake hapa? The fuss is that Tido still needed the job and performed exceptionally and professionally well. It is simply ludicrous to compare his departure with Oprah's as their contexts of departure are completely different!!

- Majibizano ya ajira ya Tido na Waajiri wake, si yanalindwa sheria sasa wewe mkuu uliyapataje? Sasa hapo ndipo mlipoharibu sana na kuishia kuingiza hii ishu kwenye siasa, wakati ni ishu ya ajira tena ishu ndogo sana, kwanza pia angalia njia iliyomfikisha Tido hapo TBC, ndio utaelewa kwa nini kwenye kuondoka mwendo ulikuwa ni ule ule alioingilia!

- Oprah na Tido, wote ni wanahabari walioajiriwa kwa mkataba wa kisheria ambao kila unapoisha waajiri wao wana haki ya kuuongeza au kuufuta hamna siasa hapo kabisaa, unless kama Tido alikuwa akijihusisha na siasa, maana how could majibizano yake na waajiri wake yakawa nje?

- Ingawa pia the big question ni kwamba Tido alifikaje kule TBC? Au ndiyo yale yale ya Ulimwengu na Mkapa?


Willie @ NYC, USA.
 
Tujenge utamaduni wa kupokea mabadiliko, hatuwezi kubaki na watumishi/viongozi wale wale miaka nenda rudi. Tido Mhando mkataba wake ulikwisha, mwajiri akaamua kuweka mtu mwingine, hii haimanishi Mhando alifanya kazi mbaya au nzuri. Ina maanisha mwajiri alitaka kwenda na mwelekeo mpya, period.

Nashangaa sana kwa generation ya JF ( generally younger than Tido Mhando's) kushabikia senior citizens kubaki kwenye madaraka/ utumishi. Nyinyi mtashiriki lini kuendesha Taifa kama mnataka watu wale wale waendelee kuwaongoza?

Tido Mhando's time has come and gone, many thanks for his efforts at TBC, even though TBC remains as crappy a media outlet as you would expect a state-run press 2b.
 
Mpaka sasa "sorce" ya habari hii haijapatikana. Lakini kama walivyosema wengine, ikiwa ni kweli tunampa hongera.
 
Huku KASILIMU lini?Al Jazeera ni TV ya waarabu WAISLAM sasa huyu tido najiuliza kasilimu lini au ndio udini mpaka AL JAZEERA?
Hivi hatuwezi kujadili mada hadi tuchokonoe mambo ya udini?
 


Nashangaa sana kwa generation ya JF ( generally younger than Tido Mhando's) kushabikia senior citizens kubaki kwenye madaraka/ utumishi. Nyinyi mtashiriki lini kuendesha Taifa kama mnataka watu wale wale waendelee kuwaongoza?


Sasa aliyewekwa baada ya Tido ni young generation?
 
-

- Ingawa pia the big question ni kwamba Tido alifikaje kule TBC? Au ndiyo yale yale ya Ulimwengu na Mkapa?


Willie @ NYC, USA.

That is a big question indeed. Hiyo tulizipataje tuachie kwanza. Cha msingi ni kwamba huyu bwana hakuondoka pale kwa kupenda kama ilivyokuwa kwa akina Oprah na Lary King. Aliwaudhi wakubwa kwa kufanya kazi professionally and objectively. Ni hilo tu. Ndio maana mwenzake anaenda kuizika TBC kama mwenzake alivyoizika ATC, madamu wakubwa wafurahi. Tutaendeleaje kwa kuwachukia watu wanaofanya kazi zao kwa ufanisi na kuwakumbatia wanaojipendekeza lakini wakivurunda na kuua mashirika yetu kama hao wajinga wa ATC?
 
That is a big question indeed. Hiyo tulizipataje tuachie kwanza. Cha msingi ni kwamba huyu bwana hakuondoka pale kwa kupenda kama ilivyokuwa kwa akina Oprah na Lary King. Aliwaudhi wakubwa kwa kufanya kazi professionally and objectively. Ni hilo tu. Ndio maana mwenzake anaenda kuizika TBC kama mwenzake alivyoizika ATC, madamu wakubwa wafurahi. Tutaendeleaje kwa kuwachukia watu wanaofanya kazi zao kwa ufanisi na kuwakumbatia wanaojipendekeza lakini wakivurunda na kuua mashirika yetu kama hao wajinga wa ATC?

Ufanisi gani Aliokuwa Nao Tido?????Mtu kakaaaa BBC lakini angalia hata Tovuti yao TBC. Tovuti yao utadhani ni i ya gazeti. Haina clip za audio au video . Haina Channel youtube.? hawaweki japo vipande vya habai muhimu.

Binafsi sioni tofauti gani aliyoleta Tido kwenye output ya TBC. Labda huko kwa wafayanyaka lakini Output wa public ilikuwa ile ile
 

Ufanisi gani Aliokuwa Nao Tido?????Mtu kakaaaa BBC lakini angalia hata Tovuti yao TBC. Tovuti yao utadhani ni i ya gazeti. Haina clip za audio au video . Haina Channel youtube.? hawaweki japo vipande vya habai muhimu.

Binafsi sioni tofauti gani aliyoleta Tido kwenye output ya TBC. Labda huko kwa wafayanyaka lakini Output wa public ilikuwa ile ile

Duh! Kweli wewe hukuwa unaifahamu (RTD, TVT) na TBC aliyoianzisha Tido!
 

Ufanisi gani Aliokuwa Nao Tido?????Mtu kakaaaa BBC lakini angalia hata Tovuti yao TBC. Tovuti yao utadhani ni i ya gazeti.
Haina clip za audio au video . Haina Channel youtube.? hawaweki japo vipande vya habai muhimu.

Binafsi sioni tofauti gani aliyoleta Tido kwenye output ya TBC. Labda huko kwa wafayanyaka lakini Output wa public ilikuwa ile ile
Una uhakika na unachokinena? ipitie tena wavuti ya bbc swahili BBC Swahili - Mwanzo
 
akome kushawishiwa kurudi nchini na wauza unga wauza nchi alafu wanamfukuza kama mbwa
 

Ufanisi gani Aliokuwa Nao Tido?????Mtu kakaaaa BBC lakini angalia hata Tovuti yao TBC. Tovuti yao utadhani ni i ya gazeti. Haina clip za audio au video . Haina Channel youtube.? hawaweki japo vipande vya habai muhimu.

Binafsi sioni tofauti gani aliyoleta Tido kwenye output ya TBC. Labda huko kwa wafayanyaka lakini Output wa public ilikuwa ile ile
Kiongozi inawezekana umri wako bado mdogo kiasi kuwa hukuijua RTD/TVT aliyoikuta Tido na alipoianza TBC............Huwezi vilinganisha kabisa na tofauti yake iko dhahiri kabisa!
 
Back
Top Bottom