Mwendabure
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,138
- 1,045
Aljazeera+Kiswahili=???
Yatakuwa Kenya Nairobi.
Point, anayetoa ni mungu tu binadamu hufanya featuringRiziki anatoa Mungu, binadamu hawezi
Mkuu Vikwazo naona umeamua kunitolea uvivu, haya bwanapost kama hii ipelekwe jukwaa la advise and compalint
if its true nabii hakubaliki Kwao!Huwezi amini lakini hiyo ndo habari! Tido ameukwaa ukurugenzi wa al jazeera chanel ya kiswahili!
Ndugu ondoa hofu hofu hii habari ni al jazeera halisi sio tbc!Hongera TIDO if this news is true. But take this honesty opinion from me ili usije ukarudia tena makosa pale ulipowachezea CCM na wakakutimua " You knew what you were doing against System/CCM and you got exactly what you were looking for" You never ever do it again...
Huwezi amini lakini hiyo ndo habari! Tido ameukwaa ukurugenzi wa al jazeera chanel ya kiswahili!
- TBC hawakumkosea Tido na wala Tido mwenyewe hajawahi kulalalmika kwamba amekosewa!
Willie @ NYC, USA.
Huku KASILIMU lini?
Al Jazeera ni TV ya waarabu WAISLAM sasa huyu tido najiuliza kasilimu lini au ndio udini mpaka AL JAZEERA?
Kwa utawala uliopo kuwa na uwezo, akili na maadili ni tatizo. Huwezi ku-survive ukiwa na hivyo vitu. Inabidi mashariki uione magharibi na nyeusi iwe nyeupe. Hongera sana ndugu Tido, kawafanyie kazi hao wanaohitaji ujuzi. TBC ulioiasisi ndiyo hiyo tena inaishia na kuifuata ATC kwa haraka ile mbaya!!
habari kama hizi pelekeni Jukwaa la Celebrities. Huyo Thido na Siasa wapi na wapi? Toeni ulevi hapa
Uko Djuuuu, wewe ni source yetu, tunataka source yako if you don't mind.Source ni mimi mwenyewe
Willie Tido mbona alilalamika, kuwa alikosewa, coz mkataba ulivyokuwa unakaribia kuisha serikali ilimuaidi inamuongezea mkataba, lakini anashangaa gafla anaambiwa mkataba hautaongezewa.- People, please suala la Tido na TBC lilikuwa ni la ajira na sio siasa, ni mambo madogo madogo kama haya ndio yanaturudisha nyuma sana hili taifa na huenda ni kwa sababu ya umasikini zaidi kwa sababu kazi yoyote unayoipata kwa ajira ya mkataba, maana yake ni kwamba mkataba ukiiisha umeisha ni uamuzi wa muajiri wako kuamua kama atakuongeza muda au hapana na wewe muajiriwa unatakiwa kuwa umejitayarisha kubaki au kuondoka!- Tanzania tumezoea hisia za kuhamia kabisa kwenye kazi tulizoajiriwa kwa mkataba na kuamini kwamba ni zetu na ni lazima waongeze tu mkataba ukiiisha, hapana people waajiri wako wana haki kisheria kwenda njia tofauti kama wanaona hauko sawa na line yao ya sababu za kuwepo kwao kwenye biashara, inatakiwa kuwa kawaida sana hiyo na nothing to do na anything, Tido who is my very good friend, aliajiriwa na TBC kwa mkataba ambao uliiishia kwenye ku-renew, waajiri wake wakasema hawamuhitaji tena kwa sababu wanataka kwenda njia tofauti, sasa what is the problem hapo? - I mean kwa mwendo huu Tanzania, itatuchukua muda mrefu sana kuendelea, umeona juzi Oprah, mkataba umeisha na ABC, ameamua kwenda njia yake mwenyewe badala ya kulilia kupewa mpya, ndio maana ya mkataba Lebron, mkataba ulipoisha na Cleveland, akaamua kwenda The Heat, ndio maana ya mkataba wa ajira, TBC hawakumkosea Tido na wala Tido mwenyewe hajawahi kulalalmika kwamba amekosewa!- So what is the fuss for?Willie @ NYC, USA.