Chizi Fureshi
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 1,718
- 462
2015, tido ni beep nikupigie.
Tanzania tuna majembe lakini hatupendi yafanye kazi, Mfano Sita alifanya kazi yake vizuri kama spika akawakwaza wenye nchi, Tido alifanya kazi yake vizuri akawakwaza wenye TBC. Ingekuwa inawezekana mngesikia hata Sita kaukwaa Uspika nchi nyingine maana anaumudu lakini kazi yake hairuhusu kuifanya bunge la nchi nyingine
jaribu kufuatilia kijana ipo!Hakuna aljazeera ya kiswahili banaa musidanganywe.
Makao makuu ya idhaa hiyo yapo wapi??
Source ni mimi mwenyewe
Tatizo la tido na proffesional wengine kama yeye litaendelea kuwa pale pale.
Kwa nini TIDO asianzishe media house ya kwake badala ya kutegemea kuajiwa kila wakati na matokeo yake anatumia ujuzi,na nguvu zake kufanya investment kisha anafukuzwa kama mbwa.
Sasa hii tabia ya TIDO ya kutaka kufanyia watu,haitamsaidia maishani.
kwanza pia angalia njia iliyomfikisha Tido hapo TBC, ndio utaelewa kwa nini kwenye kuondoka mwendo ulikuwa ni ule ule alioingilia!
- Ingawa pia the big question ni kwamba Tido alifikaje kule TBC? Au ndiyo yale yale ya Ulimwengu na Mkapa?
Willie @ NYC, USA.
Kila mtu anajua background ya Tido, acha kihede mshede, funga miguu kabla hujaharibu hali ya hewa humu.