Tido Mhando aula Al Jazeeera

Tido Mhando aula Al Jazeeera

...ukiona hivyo lazima atabeba waandishi kibao wa tbc hasa wale walio na msimamo kama wake wa kutokaka kuburuzwa..napata picha namna SHAABAN KISSU,susana Mongi na wengine wakali watakavyopewa deals za uhakika na kuiacha TBC na kina Marina Hassan wao...and the like...
 
duh! Mungu mkubwa,magamba wote shame upon you!!!!!!
 
habari kama hizi pelekeni Jukwaa la Celebrities. Huyo Thido na Siasa wapi na wapi? Toeni ulevi hapa

WOMANIZER

UNAFANANA NA JINA LAKO watu wanapiga vita ukwimwi wewe una endeleza kuambukizi
 
Blue Balaa hawezi kujidhalilisha kwa habari kubwa kama hii, halafu iwe ya kutunga!
Naamini ni kweli, na Hongera kwa Tido...Sijasikia kama ALJAZEERA wana idhaa ya Kiswahili!
[h=1]Panorama
Monday, 28 March 2011
Al Jazeera Swahili TV coming soon[/h]
I have been hearing this for a couple of weeks now. Now, I have decided to publish this post since I have heard from credible sources that indeed Al-Jazeera is planning to start a Swahili language television.

It is clear that the new channel will be available through satellite and cable systems.
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Al Jazeera Arabic TV[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Initially, it had been rumoured some while back that Al Jazeera was actually seeking to start a Swahili or English to Africa radio.

For the new Swahili TV channel, it is not clear yet where its main bureau will be. So far, it has not invested as much in east Africa.

However controversial it is, especially its Arabic channel, Al Jazeera has become one of the most influential news media in the Arab world and in the west.

 
Huku KASILIMU lini?

Al Jazeera ni TV ya waarabu WAISLAM sasa huyu tido najiuliza kasilimu lini au ndio udini mpaka AL JAZEERA?
 
Hiyo idhaa ya kiswahili imeanza lini? Isije ikawa changa la macho
 
Hongera zake. Lakini wanaompongeza leo na kudai TBC1 sasa imekaa kimagamba ndiyo hao waliomtukana na kutishia kumuua mwandishi wa TBC1 pale viwanja vya jangwani wakidai Tido na TBC yake wanatumiwa na CCM! Hata hivyo mimi sijui kelele za Tido kuonewa zinatoka wapi kwa sababu huyu bwana alikuwa na mkataba ambao ulikuwa unaonyesha wazi mwisho wake na aliondoka baada ya mkataba huo kufika mwisho na ilikuwa ni hiari ya mwajiri wake kuendelea nae kwa kumpa mkataba mpya au kuachana naye kama ilivyotokea. Sasa hizi kelele kana kwamba amefukuzwa kazi au mkataba ake kukatizwa kabla ya muda zinatoka wapi? Tujifunze kupata facts kabla hatujaanza kushutumu mamlaka ya uteuzi kwa sababu tu tuna mapenzi na mlengwa na chuki dhidi ya utawala!
 
Huku KASILIMU lini?

Al Jazeera ni TV ya waarabu WAISLAM sasa huyu tido najiuliza kasilimu lini au ndio udini mpaka AL JAZEERA?

Mabwege bwana! Nafikiri hata hiyo TV station huijui maana ungekuwa unaifahamu na kuifuatilia ungejua kwamba watangazaji wengi mahiri kutoka Marekani ambao ni wakristo ndiyo wanaoendesha vipindi mbalimbali. Kama unajaribu ku-export udini wako, basi ujue fikra zako finyu huko duniani hazina nafasi.
 
Hongera zake. Lakini wanaompongeza leo na kudai TBC1 sasa imekaa kimagamba ndiyo hao waliomtukana na kutishia kumuua mwandishi wa TBC1 pale viwanja vya jangwani wakidai Tido na TBC yake wanatumiwa na CCM! Hata hivyo mimi sijui kelele za Tido kuonewa zinatoka wapi kwa sababu huyu bwana alikuwa na mkataba ambao ulikuwa unaonyesha wazi mwisho wake na aliondoka baada ya mkataba huo kufika mwisho na ilikuwa ni hiari ya mwajiri wake kuendelea nae kwa kumpa mkataba mpya au kuachana naye kama ilivyotokea. Sasa hizi kelele kana kwamba amefukuzwa kazi au mkataba ake kukatizwa kabla ya muda zinatoka wapi? Tujifunze kupata facts kabla hatujaanza kushutumu mamlaka ya uteuzi kwa sababu tu tuna mapenzi na mlengwa na chuki dhidi ya utawala!
Haihitaji kwenda shule kujua kwamba umetumwa na magamba! Hata kama ulikuwa na mpangaji kwenye nyumba ndio umtoe kwa pupa bila notisi?
 
Haihitaji kwenda shule kujua kwamba umetumwa na magamba! Hata kama ulikuwa na mpangaji kwenye nyumba ndio umtoe kwa pupa bila notisi?

Let's assume kwamba nimetumwa na magamba, ambayo si dhambi, bado umeleta analogy ambazo haziendani. Katika sheria za mikataba kuna categories mbalimbali za mikataba na moja wapo ni contracts for specified duration ordefinate date. Mkataba wa Tido ulikuwa na specific time frame na yeye alipaswa kujua kwamba unless kuna renewal, tena ambayo imejadiliwa kabla ya kwisha kwa mkataba wake, alitakiwa aondoke siku ya mwisho ya mkataba wake. Kama ali-assume kwamba service zake zinatoa guarantee ya renewal, that is too bad and his fault. Asilaumu mtu katika hili!

 
Back
Top Bottom