Mkuu tupe basi source ya habari yako!!! Kimsingi namhusudu sana TIDO na since alivyoondoka TBC naona television yetu inazidi kuwa ya ki-CCM in each passing day!!!!
Tanzania tuna majembe lakini hatupendi yafanye kazi, Mfano Sita alifanya kazi yake vizuri kama spika akawakwaza wenye nchi, Tido alifanya kazi yake vizuri akawakwaza wenye TBC. Ingekuwa inawezekana mngesikia hata Sita kaukwaa Uspika nchi nyingine maana anaumudu lakini kazi yake hairuhusu kuifanya bunge la nchi nyingine
Blue Balaa hawezi kujidhalilisha kwa habari kubwa kama hii, halafu iwe ya kutunga!
Naamini ni kweli, na Hongera kwa Tido...Sijasikia kama ALJAZEERA wana idhaa ya Kiswahili!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.