Acha Mungu aitwe Mungu BrooKwakuwa hawana ukamilifu wa Kimungu
Pole Sana mkuu, binadamu sisi niwashenzi Sana.Baada ya tiba ya chumvi ya mawe,
kwa hatua za awali nimetambua kuwa nimefungw muda mrefu sana kwa mambo mengi sn,
Hapa nna majonzi sn kuona namna maish yangu yamevurugwa muda mrefu bila mm kustuka.
NTarudi siku nyingine, ....
Ee Mungu nisaidie hii vita.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Asante sana Mkuu.Pole Sana mkuu, binadamu sisi niwashenzi Sana.
Pole sana sanaBaada ya tiba ya chumvi ya mawe,
kwa hatua za awali nimetambua kuwa nimefungw muda mrefu sana kwa mambo mengi sn,
Hapa nna majonzi sn kuona namna maish yangu yamevurugwa muda mrefu bila mm kustuka.
NTarudi siku nyingine, ....
Ee Mungu nisaidie hii vita.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Unadeni mkuuHata mimi nilishawahi kusikia hili nipe muda nitakujibu tena kwa post kamili
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilipokua mdogo,,,,ilikua kama kuna mvua iloambatana na upepo mkali inalaza sana mahindi shambani. Yaan mahnd yanalazwa na upepo hvo kuathiri mavuno. Nakumbuka bibi alikua anachukua majivu anachanganya na chumvi afu anasema nitamke maneno flan hv nmeyasahau afu unatupia ule mchanganyiko kwny mvua mara mnaona upepo umeisha. Sasa leo hii maada ndo imenkumbusha na nmeanza kuunga dotmimi huitumia sana kufukuza upepo mkali nyumbani kwangu
Kwny hyo link kuna namna ya kupata pesa kupitia mshumaa, silver coins na chumvi. Vp ulishawahi kuijarbu na ilikupa majbu gani?
Hapana sijawahiKwny hyo link kuna namna ya kupata pesa kupitia mshumaa, silver coins na chumvi. Vp ulishawahi kuijarbu na ilikupa majbu gani?