Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza

Kuna siku korodani zilikuwa zinaleta muwasho wa kutekenya siuelewi elewi, sasa ilikuwa usiku halafu sikwenda pharmacy kununua dawa.

Mzee nikachukua chumvi nikaweka kwenye maji nikachovya kwenye kitambaa nikaanza kujipiga nayo msasa kwenye upumbu.

Dah ile kupanda kitandani sasa nikaanza sikia pumbu zinawaka moto, dakika zinavyozidi kupaa maumivu yakapanda hadi kiunoni pumbu zikafa ganzi kabisa ngozi yake ika kakamaa kama ya mamba.

Nikaona shenzi nisije nikaharibu mfumo wa mgegedo, nikaamka nikaenda bafuni kuziosha aiseee nilizimwagia maji mengi sana. Zilikuja kupoa baadae sana yaani hadi kutembea ilikuwa shida.
 
Back
Top Bottom