Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,750
- 861,159
- Thread starter
- #1,161
Mshana Jr Mtani wakti wa kuogea ina sehemu yake specifically mbali na bafuni na chooni?Chumvi inatakasa.. Unachofanya wewe ni kujitakasa kiroho kisha wao wataondoka wenyewe yakiwashinda
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshana Jr Mtani wakti wa kuogea ina sehemu yake specifically mbali na bafuni na chooni?
Habari kaka, nina shida katika utafutaji wangu. Nimezunguka kwa wataalamu wengi sana na wanaishia kusema nimefungwa vifungu kwa vya juu. Maana kila mtaalamu nikimuuliza kuhusu nyota yangu inasemaje, wanajibu haionekani yaani imezingiriwa na giza tototoro. Baada ya kazi bado mambo ni yaleyale, hivyo kaka naomba msaada wako. Nimechoka kupoteza mitaji, sasa inafika hatua mpaka mtu unakata tamaa.
Kimavi ni nini?
Kinyesi 🤣🤣🤣 (jokes)Kimavi ni nini?
iWeka pakti ya chumvi ya mawe unapolala kitandani au kwenye dressing table inanyonya nguvu za wapumbavu wageuzao usiku kuwa mchana kutwa kuzunguka kwenye majumba ya watu badala ya kulala.
Pigia deki chumvi ya mawe kuondoa negative energy ndani kwako utosikia magomvi au nuksi nuksi
eweMshana jr mimi kunakitu kimoja naomba unisaidie ndu yangu mana nilisha kataga tamaa najiona mwenyewe mikosi.
mimi bn nikiingia kwenye mahusiano na binti yoyote haya dumu . sasa nikigusia kuhusu sex ndio nimeachwa ivyo. yani nimeisha ingia kwenye mahusiano mengi naishia kuliwa ela zangu tu yani sijawahi kuwa na mahusiano nikawa na amani na furaha kuna wengine wanakuja mpka home ila ukiomba mzigo ataki kabisa na mnachana yani najiona mimi ni mtu mwenye mikosi sana nilisha kataga tamaa kabisa
kama kunamtu alisha kutwa na hali kama yangu msahada pllz hii hali inanipaga mawazo sana
majamKUUU HII KITU ILINITISHA SANA NILIFANYIA KAZI WEEK NYINGI TUKIO
NILILETA MBAO NYINGI ZA KAMA M 9 NZURI ZIKAUZIKA ZIKABAKI NYINGI TUNASHINDA BEI
NKAELEKEZWA OGEA CHIMVI NUIA MARA 7
THEN CHUKUA CHUMVI WEKA NA MAJANI YA CHAI YALE TINAYOPANDA KWENYE MOTO JIFUKIXE ONGEA NUIAA MJOMBA HATARE SIKUYA ÑNE KAJAMTU ANASEMA ZOTE SH NGAPI NKATAJA AKAOMBA GARI LIJE NILIMWOGOPA MUNGU NA UUMBAJI WA CHUMVI
Sijui nisemeje yale tunayopanda majumban m nimepanda kama Michele kila konaHayo majani ni majani ya chai yanayonukia?
maja
Ndiyo hayo hayoSijui nisemeje yale tunayopanda majumban m nimepanda kama Michele kila kona
Sema nimekuja Kugundua chumvi nyingi za mawe hapa Dar ni zamchongo....hazina nguvu kabisawww.facebook.com
Mchai chai?Sijui nisemeje yale tunayopanda majumban m nimepanda kama Michele kila kona
Ndugu nasubiria shuhuda yako, karibu sanaNaleta shuhuda,nimeona matokeo baada ya kutumia chumvi ya mawe.