tinkanyarwele
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 2,008
- 1,954
Uzi mzuri wa kusoma kwa umakini
Watoe pumzi ndio shortcut pekee.. Other wise hakuna namna wanaweza kukulipamshanaJr kuna watu wawili wamenitapeli pesa kwa nyakati tofauti, mmoja katamka wazi harudushi mwingine ananizungusha ishapita miaka sasa toka wanitapeli, ni marafiki zangu na mawasiliano yao ninayo ila wanakaa mko mwingine. Je kuna namna ya kuwaletea zengwe spiritual ili wanilipe hela zangu. msaada tafadhali
mshanaJr kuna watu wawili wamenitapeli pesa kwa nyakati tofauti, mmoja katamka wazi harudushi mwingine ananizungusha ishapita miaka sasa toka wanitapeli, ni marafiki zangu na mawasiliano yao ninayo ila wanakaa mko mwingine. Je kuna namna ya kuwaletea zengwe spiritual ili wanilipe hela zangu. msaada tafadhali
![]()
Ukishindwa kusamehe lipa kisasi
Hii ya leo ni tofauti kidogo na mada zetu zile, hii inahusika na kulipa kisasi. Katika maisha bila kujali unaamini nini hakuna jambo jema kama kusamehe! Msamaha hukusaidia mengi mpaka kifo na maisha yanayofuata baada ya kifo iwe reincarnation au rebirth nk !msamaha hukufanya uwe mwema mwenye...www.jamiiforums.com
Bwana Mshana sina cha kukupa zaidi ya kukuombea Dua, yaani nipo poa kabisa.... kuna Vibweka vilikua vinanisumbua..... mikosi, nuksi, misuko suko isiyoisha ila kwa sasa hata vilivyopopotelea sijui..... na mambo yananyooka kabisa kama Ndoto vile!!!!!Unaendeleaje?
[emoji1545][emoji1545][emoji1545] Ila usiiache chumvi moja kwa moja.. Tumia mara moja mojaBwana Mshana sina cha kukupa zaidi ya kukuombea Dua, yaani nipo poa kabisa.... kuna Vibweka vilikua vinanisumbua..... mikosi, nuksi, misuko suko isiyoisha ila kwa sasa hata vilivyopopotelea sijui..... na mambo yananyooka kabisa kama Ndoto vile!!!!!
Sasa hivi imekua ndo kawaida, kila nikienda kuoga naweka japo vipande vitatu..... maana nahofia yasijirudie[emoji1545][emoji1545][emoji1545] Ila usiiache chumvi moja kwa moja.. Tumia mara moja moja
Duuh! Kwamba ni lazima niogee ndoo ya lita 20? ama hata ya lita 10 inatosha?Kidogo sana kijiko kimoja kinatosha kwenye ndoo ya lita 20
Asante sana bro sijawahi kutumia wacha nijaribu[emoji1488]Hapana sio lazima kabisa