Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza

Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza

mi nahitaji kujua zaidi wenye uelewa fungukeni basi
b2fc250d15930c45e587778e60abcc46--home-cleansing-house-cleansing-ritual.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
Picha hii hapa chini ni kielelezo kwamba hata wachawi huitumia chumvi kwa mambo yao[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
 

Attachments

  • 98a98edcd4225f5a9d397f9b1f19b184--protection-spells-home-protection-spell.jpg
    98a98edcd4225f5a9d397f9b1f19b184--protection-spells-home-protection-spell.jpg
    56.2 KB · Views: 699
Kuna msemo mmoja hivi mtu ukiwa unaandamwa na mikosi na hata kuchezea vibuti sana kwa watoto wazuri!!! Wanasema kaoge maji ya bahari.. Je haya maji huwa yanasaidia sababu ya chumvi yake au huwaga ni story za vijiweni mkuu mshana?

Sent From Guest House
 
Back
Top Bottom