canular
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 1,083
- 1,306
chukua chumvi na uibariki kwa namna hii:
Nakuwekea baraka katika jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu. Amina. Baraka ya Mungu Baba Mwenyezi iwe juu yako, na wema wote uingie ndani yako; kwa hiyo nakubariki na kukutakasa, ili unisafishe mwili roho na nafsi yangu niwe msafi na wa muhimu kama ulivyo muhimu
Na baada ya kufanya hivyo, sema:
Benedicite omnia opera Domini Domino.
Baadaye, chukua manukato matamu yaliyowekwa wakfu, uyatupe ndani ya bafu, ukiyashikilia mkononi mwako; kisha ingia tena ndani ya bafu na ujioshe. Na ukiwa ndani ya bafu sema:
Amane, Memeto, Inzaron, Doltibon, Amagnõ, lameton, Caron, Sutron, Gardon, Non, Mameraon, Tameratõ, fabron, Sanõ, Nazmon, Stilon, funeon.
Baada ya kusema hayo, soma Zaburi hii:
Benedicite omnia opera Domini.
Kisha ujioshe ukisema:
Katika jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu. Amina.
Baada ya hayo, toka katika bafu, vaa mavazi safi enda kwenye shuguli zako fanya hivyo kwa muda wa siku saba
Alafu utaleta mrejesho
Nakuwekea baraka katika jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu. Amina. Baraka ya Mungu Baba Mwenyezi iwe juu yako, na wema wote uingie ndani yako; kwa hiyo nakubariki na kukutakasa, ili unisafishe mwili roho na nafsi yangu niwe msafi na wa muhimu kama ulivyo muhimu
Na baada ya kufanya hivyo, sema:
Benedicite omnia opera Domini Domino.
Baadaye, chukua manukato matamu yaliyowekwa wakfu, uyatupe ndani ya bafu, ukiyashikilia mkononi mwako; kisha ingia tena ndani ya bafu na ujioshe. Na ukiwa ndani ya bafu sema:
Amane, Memeto, Inzaron, Doltibon, Amagnõ, lameton, Caron, Sutron, Gardon, Non, Mameraon, Tameratõ, fabron, Sanõ, Nazmon, Stilon, funeon.
Baada ya kusema hayo, soma Zaburi hii:
Benedicite omnia opera Domini.
Kisha ujioshe ukisema:
Katika jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu. Amina.
Baada ya hayo, toka katika bafu, vaa mavazi safi enda kwenye shuguli zako fanya hivyo kwa muda wa siku saba
Alafu utaleta mrejesho