Samahbi nilisahau kuuliza kwamba naweza kutumia na sabuni kwenye kuogea au chumvi pekee?Jaribu hutajutia
Asante broTumia bila shaka havidhuriani
Ungeoga kwanza maji yakawaida na sabuni then ukajimwagia maji ya chumvi itakua poa sana na huenda ukapata matokeo Bora zaidAsante bro
Vip kuhusu kuichimbia chumvi kwenye pembe za nyumba ili kuweka ulinzi wa moja kwa mojaTumia bila shaka havidhuriani
Shida gan inatokea kama ukiichimbiaHapana nyunyiza tafadhali au mwaga eneo husika
Shukran sn mkuuu,ahsante snNadhani hakuna
Hapana nyunyiza tafadhali au mwaga eneo husika
Tembea nacho hakina shida kabisa,hakuna mchawi atakaa mbele yako au kitu chochote kichafuMkuu vipi kuhus kutembea na kias cha chumvi kinaweza ongeza kuleta matokea chanya
Aiseee nguvu ya chumvi haijawahi sogelewa na vitu vichafu kabisaChumvi ni sehemu ya maisha yangu,
Siiachi.
Tisa Kumi siku niliyoichimbia pande nna kwenye nyumba
Hiyo siku tulifurahia usingizi ntafikiri tupo paradiso, hadi leo