LILENDI
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 1,400
- 496
Hvi bado hamjaanza assignment,test na quiz zkuweke buzy hvii!eh go back to xcl mdogo anguu.....!
am not lukin for virgin grl,but any grl who may show me a truly lv only.
Abee your majesty! hahahaaa! msamehe bure, anawawazia wadada zaidi kuliko CL na masomo mengine. watamdaka halafu aanze kulialia
I am tired with this world,i was born in 1993, student chuo fulani hapa tanzani,..kila ninapojaribu kumpenda msichana kawahiwa,mie had leo sina hata girlfriend and i am still virgin had leo,kwa kuwa nimekuwa i have to get a girl...mfano>>wiki mbli zilizopita nilikutana na binti mmoja hapa chuoni,2mezoeana sana cha kushangaza hana upendo na mimi nilipomwambia i want to marry her,je,members ni kweli wasichana wote mnawapenzi?je,mie nina mkosi??kama kuna msaada please voluntere!i am tired.
i know that that why nikakushauri tafuta wa kuondoa hiyo bikira yako kwanza
i know that that why nikakushauri tafuta wa kuondoa hiyo bikira yako kwanza
mda si mrefu nitajitegemea my own life,xo i must hav a grl of my life and thats wife,plz msaada
Hebu mpe namba yangu nimsaidie asije akajinyonga
Una matatizo ya akili wewe. Yaani umekutana na mdada two weeks ago afu unamuambia unataka kumuoa?
Hebu acha bhange. Jinyonge kwa bigijii kama vipi!
aya ngoja ni mpe tutoe bikra kwanza....
it is okay,kaka am not going to use girls bt am lukin for wife.
labda nikutafutie girl tu aisee.........
yeah,am ready
i ll thank
ngoja nikuitie