THIS lIFE IS UNFAIR,WHY ALWAYS ME?

THIS lIFE IS UNFAIR,WHY ALWAYS ME?

oooona sasa!
nini hiki? King'asti kuja huku LILENDI mi nikisema kuna watu wanaandika au kutamka tu maneno ya lugha ya kiingereza we unacheka ona sasa huku!

Abee your majesty! hahahaaa! msamehe bure, anawawazia wadada zaidi kuliko CL na masomo mengine. watamdaka halafu aanze kulialia
 
We dogo hebu tulia kwanza, kitabu hakijaisha, keshi bado unateemea bumu harafu unaanza kulalamika. Inabidi ujue wenzetu ni opportunists ukiwa na keshi hata ukiwa na sura mbaya namna gani we ni bonge la HANDSOME. Hapa nilipo najiuliza niwaepuka vp hawa waliongia kwenye himaya yangu. Kila mmoja alishaimarisha mitego yake na kote kote nimenaswa.

Soma dogo ukipata wa kupunguza stress kamua achana na ahadi za kuoa.
 
Abee your majesty! hahahaaa! msamehe bure, anawawazia wadada zaidi kuliko CL na masomo mengine. watamdaka halafu aanze kulialia

it is okay,kaka am not going to use girls bt am lukin for wife.
 
Una matatizo ya akili wewe. Yaani umekutana na mdada two weeks ago afu unamuambia unataka kumuoa?
Hebu acha bhange. Jinyonge kwa bigijii kama vipi!
I am tired with this world,i was born in 1993, student chuo fulani hapa tanzani,..kila ninapojaribu kumpenda msichana kawahiwa,mie had leo sina hata girlfriend and i am still virgin had leo,kwa kuwa nimekuwa i have to get a girl...mfano>>wiki mbli zilizopita nilikutana na binti mmoja hapa chuoni,2mezoeana sana cha kushangaza hana upendo na mimi nilipomwambia i want to marry her,je,members ni kweli wasichana wote mnawapenzi?je,mie nina mkosi??kama kuna msaada please voluntere!i am tired.
 
Back
Top Bottom