This is Rostam I know... The Story Behind the Man

This is Rostam I know... The Story Behind the Man

Alizaliwa wapi?
Hospitali gani?
Alisoma shule gani?
primary,secondary,Chuo alisomea wapi?
 
Nadhani ni swali zuri na kwa kweli linahitaji jibu zuri lakini mnalifanyia mzaha. Tunaotaka kufahamu historia yake tuko wengi maana ni jina lililoanza kusikika miaka ya karibuni sana. Mimi nimemsikia pale alipogombea ubunge kumrithi Kabeho kule Igunga.
 
Rostam Azizi ndio Mkurungezi wa TISS/UWT, Jaji Mkuu, Waziri Mkuu na Rais wa nchi hii!
Wakina Mkapa, Kikwete, Lowassa etc watakuja na kupita, lakini yeye atabaki pale pale akicheza karata zake!
 
Mtikila alidai ni muiran na inasemekana ana passport ya nchi hiyo....Pia kuna habari kuwa familia yake imeanza bishara zamani sana kuanzia enzi za utumwa.
 
Mtikila alidai ni muiran na inasemekana ana passport ya nchi hiyo....Pia kuna habari kuwa familia yake imeanza bishara zamani sana kuanzia enzi za utumwa.

Una maana walikuwa kwenye ule msafara wa yule katili Tippu Tip? Kumbe huyu bwana unyonyaji wake ni wa kurithi!
 
Kwa kusema Ukweli hata kama hatumpendi Rostam Aziz ni wa Nzega kwa Miaka Mingi sana na Kazaliwa pale; na Unajua amesoma Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam Uchumi na alikwenda Jeshini. Kwahiyo kwa kweli tuache kumuita Mtu aliyetoka Iran.

Ni Mtanzania halisi na ninavyosikia alikuwa anapenda sana Fikra za Baba wa taifa Mwl. Nyerere; Ni kuwa anapenda kuisaidia TZ lakini tatizo ni njia anazotumia ni za kibebari same as Waziri Mkuu wa Italia.

Huyu ni Mtanzania
 
Rostam awe muiran au mtanzania siyo tatizo,tatizo ni watanzania wazalendo waliokubali kutumiwa naye huku wakijua kwamba uzalendo wake ni questionable!
 
Kwa kusema Ukweli hata kama hatumpendi Rostam Aziz ni wa Nzega kwa Miaka Mingi sana na Kazaliwa pale; na Unajua amesoma Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam Uchumi na alikwenda Jeshini. Kwahiyo kwa kweli tuache kumuita Mtu aliyetoka Iran.

Ni Mtanzania halisi na ninavyosikia alikuwa anapenda sana Fikra za Baba wa taifa Mwl. Nyerere; Ni kuwa anapenda kuisaidia TZ lakini tatizo ni njia anazotumia ni za kibebari same as Waziri Mkuu wa Italia.
Huyu ni Mtanzania

Acha kudanganya watu wewe! Rostam alizaliwa huko kwao Iran alikuja hapa miaka ya 1980 akiwa kijana mdogo. Hajawahi kusoma hapa nchini. Wewe unasema alisoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, lini? Acha hizo.
 
Mungu aliyehai na alegeze mioyo migumu ya mafisadi inyoiba fedha za watanzania kwa faida yao na kizazi chao hadi cha tano wakati watanzania walio wengi wakiwa hawana hata uwezo wa mlo mmoja kw siku!!!!! Hiyo mioyo ilegezwe na kuzirudisha hizo fedha hazina na kwa kabidhi wasii...........

Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen
 
wakuu, kuna unvumi kuwa nguvu yake nyingine RA ni makampuni ya madini, ya kwamba wanamtumia yeye kuhakikisha kuwa siku zote wana mtu ikulu, please mwenye data atumwagie.
 
Tusibishane sana jamani, inawezekana akawa ni Myamwezi wa Iran huko. UTUMWA HUU.....!
 
ROSTAM AZIZ
kama kuna mtu anayejua undani wa huyu mtu historia ya familia yake ili tuweze kujua kama ni mtanzania au la!HAWA NDIO WALE WENYE URAIA WA NCHI MBILI....LETENI HABARI.
 
ROSTAM AZIZ
kama kuna mtu anayejua undani wa huyu mtu historia ya familia yake ili tuweze kujua kama ni mtanzania au la!HAWA NDIO WALE WENYE URAIA WA NCHI MBILI....LETENI HABARI.

ni mtanzania mwenye asili ya igunga.
 
Back
Top Bottom