zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,935
Biashara ni matangazo!
hii picha noma mkuu UDOM ondoa inatisha,
ilikuwa hatari inatisha, sasa ushaidi wa picha hauna maana tena hata police wanaweza chakachua picha za Arushatayari mod wameshapiga rungu mkuu
..tuendelee na mada
ilikuwa hatari inatisha, sasa ushaidi wa picha hauna maana tena hata police wanaweza chakachua picha za Arusha
RA ndo kamuweka yule mwanasheria wake wa zamani vodacom(Ngeleja) pale nishati na madini amlindie maslahi yake ya Caspian kule migodini,amfunikie kasfha za richmond na kumzawadia dubwana Dowans
RA ndo kamuweka Salva ikulu ili azuie habari nyeti zisiwafikie wanaharakati na ndio kamtumia kununua habari corp(Rai,The Express na Mtanzania)ili itumike kuzima cheche za mageuzi.
RA ndio kamuweka Anne Makinda pale mjengoni ili Sita asimuumbue zaidi(wanatoka tabora wote hawa wanajuana)
RA ndo alichukua 40 kwa jina la kagoda na BWM kumuweka JK madarakani na hadi leo kagoda inapeta.ilhali Liyumba anasota jela
Sasa JK anafanya nini? kwa mtazamo wangu ni mshika kibendera tu!!!
Wadau mnaonaje ukweli huu?kikulacho ki nguoni mwako
Kwa mwenendo huo nina wasiwasi hata kibendera hajashika.
Mzee nimeingia hapo sijaona kitu chchote nilichoomba kusaidiwaingia hapa www.bunge.co.tz