This is Rostam I know... The Story Behind the Man

This is Rostam I know... The Story Behind the Man

ndg wana jf

Amezaliwa katika kijiji cha mwisi na amesoma na kaka yangu katika shule ya msingi Isenegeja wilayani igunga. Wazazi wake nawafahamu (Walikuwa wakijishughulisha na uuzaji wa ngozi) ingawa kwa sasa wengi hawapo hapo mwisi wamebaki ndugu wengine kama wajomba n.k. Baada ya kumaliza s/m hata kaka yangu anasema hajui alikwenda kusoma sekondari wapi na shahada ya kwanza ingawa masters ya uchumi amesomea uingereza. Aliibuka mwaka 1994 kugombea ubunge baada ya kifo cha Marehemu Charles Kabeho. Nilibahatika kuhudhuria katika kampeni zake. Si mjuzi sana wa kujieleza. Kampeni zake nyingi alikuwa na m/kiti wa CCM wa mkoa wa tbr wakati huo mzee Mkumba na kikundi cha ngoma cha Mwinamila.

Hoja
Je haya ( kuhusu ujasusi, ugaidi, pandikizi la Irani) kumhusu RA tuyachukulie kama ni chuki binafsi/wivu (wa kibiashara) au jokes
Note: achilia mbali ufisadi na nguvu yake serikalini, sina comment maana sina data

Naomba kuwasilisha.

Polisi
Senior Member, JF

Hapo kwenye red tupe majibu. Ukiondoa wajomba ambao unasema wapo hao wengine wako wapi?

Hapa ndiyo ni great thinkers kwa sababu hoja zinavyojadiliwa ndizo zinaelekeza ukweli hasa pakiwa na vithibitisho. Kama una wasi wasi na yaliyoko jamvini tupe ukweli kuwa siyo jasusi na pandikizi iran, ugaidi.

Kama kweli siye mbona hajitetei kwa hoja za kuwaingia watu akili? Kwa nini anakingiwa kifua na kundi fulani la watu? Jibu maswali tupe hoja yenye mshiko.
 
mi naona anasingiziwa......ni mtu safi tu japo wanasema kagoda ya kwake, richmond, dowans yeye na lowasa na kikwete nadhani anasingiziwa tu...ni mkristo safi na mbona huwa anasaidia hata makanisa?...huyu ni mtu safi na yote hayo anasingiziwa tu

You are a JF Senior Expert Members and you talk no sence be serious hata kama una masilahi naye. Wala hiyo misaada kutokana na pesa alizoiba hazimpi usafi wo wote. Give me a brake
 
and u will be killed too

Now you are talking on the side of RA. Be assured that ni wakati huu wa viongozi vilaza ndipo mtachezeachezea watu. Nakushauri wakitoka nanyi muondoke.
 
ndg wana jf
Nimesikia mengi sana kumhusu mhe. huyu (RA). Mimi bado najihesabu kuwa ni mgeni humu jf na bahati mbaya si mjuzi sana na mfuatiliaji wa mambo ya siasa pengine labda kutokana na taaluma yangu ambayo hainipi mwanya sana kuchunguza maisha ya watu. Hata hivyo kama ilivyo slogan yetu (Great thinkers) huwa nalazimika wakati mwingine kujiuliza juu ya yale yanayoelezwa kuhusu mh. RA.Kuna thread nyingi sana humu jf zinazomzungumzia RA na hata zile ambazo hazitaji jina lake ndani ya michango wa wana jf huibuka jina la RA na kunifanya nijiulize ukweli wa yanayosemwa na jinsi ninavyomfahamu mhe. huyu kidogo.

Ndg wana jf
Sina comment juu ya nguvu aliyonayo mhe. huyu serikalini kwa sasa kwa kuwa sina data. Utata unakuja pale misamiati kama jasusi, pandikizi la Iran, na wengine kumfananisha na gaidi. Bahati nzuri mimi nafahamu hadi kijijini kwao na amekua namuona. Amezaliwa katika kijiji cha mwisi na amesoma na kaka yangu katika shule ya msingi Isenegeja wilayani igunga. Wazazi wake nawafahamu (Walikuwa wakijishughulisha na uuzaji wa ngozi) ingawa kwa sasa wengi hawapo hapo mwisi wamebaki ndugu wengine kama wajomba n.k. Baada ya kumaliza s/m hata kaka yangu anasema hajui alikwenda kusoma sekondari wapi na shahada ya kwanza ingawa masters ya uchumi amesomea uingereza. Aliibuka mwaka 1994 kugombea ubunge baada ya kifo cha Marehemu Charles Kabeho. Nilibahatika kuhudhuria katika kampeni zake. Si mjuzi sana wa kujieleza. Kampeni zake nyingi alikuwa na m/kiti wa CCM wa mkoa wa tbr wakati huo mzee Mkumba na kikundi cha ngoma cha Mwinamila.

Hoja
Je haya ( kuhusu ujasusi, ugaidi, pandikizi la Irani) kumhusu RA tuyachukulie kama ni chuki binafsi/wivu (wa kibiashara) au jokes
Note: achilia mbali ufisadi na nguvu yake serikalini, sina comment maana sina data

Naomba kuwasilisha.

Polisi
Senior Member, JF
yani hiyo avatar yako+user name yako x post yako hapo juu= rostam.
i mean mimi kwa mtazamo wangu nahisi wewe ni kibaraka wa RA,au kuna kitu unakitafuta kuhusu huyo sijui ni mwajiri wako au ndugu yako,mimi sijui,kwasababu wewe ulianza kwa nia kama ya kuuliza,mara tunaona tena unaanza kumsafisha huyo RA,mara utuambie umekua nae?so kumbe unamjua vizuri?nenda huko kijijini kaulize basi,kumbe ni mwenyeji?,alafu wewe ndo ungemuliza huyo kaka yako alafu ungetuambia,then hapa jf hakuna mtu anaye fuatilia maisha ya mtu,bali tunaongelea maslahi ya nchi yetu.
 
yani hiyo avatar yako+user name yako x post yako hapo juu= rostam.
i mean mimi kwa mtazamo wangu nahisi wewe ni kibaraka wa RA,au kuna kitu unakitafuta kuhusu huyo sijui ni mwajiri wako au ndugu yako,mimi sijui,kwasababu wewe ulianza kwa nia kama ya kuuliza,mara tunaona tena unaanza kumsafisha huyo RA,mara utuambie umekua nae?so kumbe unamjua vizuri?nenda huko kijijini kaulize basi,kumbe ni mwenyeji?,alafu wewe ndo ungemuliza huyo kaka yako alafu ungetuambia,then hapa jf hakuna mtu anaye fuatilia maisha ya mtu,bali tunaongelea maslahi ya nchi yetu.

Sina lengo la kusafisha mtu na sina uwezo huo. Lakini kama great thinker lazima nipime ninayosikia na kuyaona na mimi ninavyofahamu. kuna una hoja kwamba RA ni gaidi, pandikizi la iran n.k tupe data. Siyo kila tunachokisia humu jf au ktk magazeti tuyaamini, tutakuwa siyo great thinkers. One of the great thinkers was Newton. Many saw the apple falling, but NEWTON WAS THE ONLY PERSON TO ASK WHY. Kuna mtu pale juu anasema RA kamweka spika, ngeleja n.k. Hatukatai. but ask why. Kama mtu mnampigia kura awe rais then hana maamuzi, unategemea nini? Kwa nini msimweke mtu ambaye atakuwa na maamuzi na rasilimali zetu. Uwezo tunao, nguvu tunazo na kitendea kazi tunacho (kura yeko).
 
ndg wana jf
Nimesikia mengi sana kumhusu mhe. huyu (RA). Mimi bado najihesabu kuwa ni mgeni humu jf na bahati mbaya si mjuzi sana na mfuatiliaji wa mambo ya siasa pengine labda kutokana na taaluma yangu ambayo hainipi mwanya sana kuchunguza maisha ya watu. Hata hivyo kama ilivyo slogan yetu (Great thinkers) huwa nalazimika wakati mwingine kujiuliza juu ya yale yanayoelezwa kuhusu mh. RA.Kuna thread nyingi sana humu jf zinazomzungumzia RA na hata zile ambazo hazitaji jina lake ndani ya michango wa wana jf huibuka jina la RA na kunifanya nijiulize ukweli wa yanayosemwa na jinsi ninavyomfahamu mhe. huyu kidogo.

Ndg wana jf
Sina comment juu ya nguvu aliyonayo mhe. huyu serikalini kwa sasa kwa kuwa sina data. Utata unakuja pale misamiati kama jasusi, pandikizi la Iran, na wengine kumfananisha na gaidi. Bahati nzuri mimi nafahamu hadi kijijini kwao na amekua namuona. Amezaliwa katika kijiji cha mwisi na amesoma na kaka yangu katika shule ya msingi Isenegeja wilayani igunga. Wazazi wake nawafahamu (Walikuwa wakijishughulisha na uuzaji wa ngozi) ingawa kwa sasa wengi hawapo hapo mwisi wamebaki ndugu wengine kama wajomba n.k. Baada ya kumaliza s/m hata kaka yangu anasema hajui alikwenda kusoma sekondari wapi na shahada ya kwanza ingawa masters ya uchumi amesomea uingereza. Aliibuka mwaka 1994 kugombea ubunge baada ya kifo cha Marehemu Charles Kabeho. Nilibahatika kuhudhuria katika kampeni zake. Si mjuzi sana wa kujieleza. Kampeni zake nyingi alikuwa na m/kiti wa CCM wa mkoa wa tbr wakati huo mzee Mkumba na kikundi cha ngoma cha Mwinamila.

Hoja
Je haya ( kuhusu ujasusi, ugaidi, pandikizi la Irani) kumhusu RA tuyachukulie kama ni chuki binafsi/wivu (wa kibiashara) au jokes
Note: achilia mbali ufisadi na nguvu yake serikalini, sina comment maana sina data

Naomba kuwasilisha.

Polisi
Senior Member, JF

Polisi,
bado unayomengi ya kutujibu ukirejea hayo maandishi yaliyokolezwa na kupigiwa mistari

1.ya yale yanayoelezwa kuhusu mh. RA . hebu yaseme ni yepi hayo ili tukusaidie
2.nguvu aliyonayo mhe. huyu serikalini kwa sasa . Sema hapo awali alikuwa na nguvu gani ili tupate uhusiano na sasa na namna hiyo nguvu ilivyopotea au kumtoka (kama kweli imemtoka)

3. Amezaliwa katika kijiji cha mwisi na amesoma na kaka yangu katika shule ya msingi Isenegeja wilayani igunga. Mtafute Rev. Christopher Mtikila maana yeye aliwahi kusema kwamba anavyo hadi vyeti vya hospitalini alikozaliwa huyo RA huko Iran; na kwamba hadi kijiji alikozaliwa huko Iran nacho anakijua. Hapo mtaharishana zaidi

4. hata kaka yangu anasema hajui alikwenda kusoma sekondari wapi . Hilo ni fumbo tosha kwamba hata hayo unayosema unayajua kwa kiasi bado huyajui vema ndiyo maana hata kaka yako aliyekua nae hayo mambo hayajui. Yaweza kuwa ndiyo ulikuwa mwanzo ya training ya kijasusi.

5. Polisi mambo vipi lakini rafiki yangu? ngoja tuendelee kusubiri taarifa za Ki-intelijensia juu ya huyu ndugu.
 
Ni kweli afande (polisi) kuhusu hoja zako juu ya wana JF,........But if ur a great thinker hebu jalibu kutumia akili ya awali tu...
Kama ni kusingiziwa why RA......... and not others?
na kama anasingiziwa kwannn one day asitoke na kukanusha?
hebu tell me RA ANAFANYA BIASHARA GANI YA MAANA mpaka watu wamonee wivu?
thankx
 
Polisi, wengi wanamhusudu RA kwa kuwa kawazidi maarifa, kisiasa, kibiashara na kijamii. Hawana hata proof moja kwa RA kwa wayasemayo. Ni pumba, ubaguzi wa rangi na dini. Na wanatamani ile influence na mvuto aliokuwa nao RA wangekuwa nao wao.
 
huyu polisi vp? kwa taarifa yako mtu anaandaliwa kabla hata hajazaliwa ili akamilishe mission flan kwa maslahi ya hao waliomuandaa....angalia marekani alivyoiua URUSI na ukomunisti....hii mutu RA ni thumu kwa watz walio wengi na maskini....
 
In conducting all bank transactions, Rostam used his personal secretary Tabu Abdulah as a cover-up. There's all evidence.

I am ending here but very soon I will reveal all things about Rostam.

Hi Prince fullfill your promise in red.

I salute you
 
Polisi, wengi wanamhusudu RA kwa kuwa kawazidi maarifa, kisiasa, kibiashara na kijamii. Hawana hata proof moja kwa RA kwa wayasemayo. Ni pumba, ubaguzi wa rangi na dini. Na wanatamani ile influence na mvuto aliokuwa nao RA wangekuwa nao wao.

Ni wewe tu unamvuto nae. Kwangu ni uvundo
 
Duh ebwanaaaeeeh! I dont need evidence on this it makes a lot of sense and it is too logical! war on all fronts! just to vandalise resources of this country, they'll use the media, they'll use the parliament, they are using the police and military,now they are using the religious leaders to silence the righteous!
 
Back
Top Bottom