This is Rostam I know... The Story Behind the Man

Unadai kuwa kutokana na utendaji mbaya wa Caspian, Magufuli akazuia malipo ! Mkuu, unajua kweli mikataba ya ujenzi inaendaje? Unajua nani mwenye authority ya ku-suspend payments to contractor? Unajua nani anatayarisha certificate ya malipo ya mkandarasi? Unajua athari za kukataa kulipa certificate of payment katika wakati muafaka? Mbona mnatudharau kiasi hiki?

- Mkuu fundi pole pole bro mbona unaenda mbio sana, kwani Waziri Kiula kwa nini alifikishwa kwenye sheria kama waziri hawezi hakiki mkataba? Kama waziri hawezi simamisha mkataba then kwa nini Kiula alikua na kesi ambayo iliishia kumfunga? Bangusilo katibu wake mkuu Mlingwa?

- Fundi tunajua kwamba unao uwezo wa kukata ishu, basi kata bila kuingiza personalities za kudharauliwa, hakuna ya dharau hapa wewe weka hoja zako tutazisoma na kukubali au kukataa, tafadhali acha kuwa-intimidate wageni kama Prince, maana wengine tunamuhitaji sana hapa kutufumbua macho.

FMEs!


 
whistling... katika habari zote hizi ni lazima watu tujifunze kutofautisha what ought to and what is.. Vinginevyo, tunaweza kutumia kipimo kisichosahihi kuelewa kinachoendelea Tanzania..

Mwaka 1980 Rostam alikuwa wapi?
 

...Hebu nione kama nimemwelewa huyu Prince William. Anadai Marehemu BALALI aliitwa na MKAPA, alaamrishwa akampe pesa ROSTAM. BALALI akakaa na huyu fisadi papa, akamfundisha namna ya kucheza mchezo, akamuunganisha na MAREGESI amsaidie kufungua kampuni ya KAGODA ili kuchota mihela. Katika juhudi za kupoteza lengo basi BALALI akashauri wezi wengi zaidi ili mradi wa kikatie Chama Tawala mgao.Bila aibu unaleta yote haya ati kuonyesha kuwa Rostam ndiye fisadi papa wakati hao waliomkaribisha, kumfundisha na hata kuingiza wezi wengine hauwaoni! Kama hii hadithi yako ni kweli, unaweza kweli kudai kuwa Rostam ni muovu kuliko Balali?



Usitake kumharibia unaejifanya unamtetea kwa kukumbushia hii habari. Kamuulize kwanza kama angependa hii ishu irudi kwenye public domain!

Si nyumba zote zilizokuwa Upanga na Oysterbay zilikuwa za serikali. Nyingine zilikuwa za mashirika ya umma (NDC n.k.). Baadhi ya mashirika haya yaliziuza hata kabla serikali haijaamua kuuza nyumba zake.

Na haya ndiyo wachambuzi maarufu wa humu ndani wanashangilia?

Basi iko kazi!

Amandla.......

Ha ha haaaaa. Hoja zingine bwana. Kuna mtu kashikwa pabaya.
 
Mashirika ya umma si sehemu ya serikali? Unless mimi sielewi kinachoendelea hapa lakini katika mfumo wetu wa Ujamaa si ni serikali ndiyo inamiliki means of production etcetera etcetera?

Hapana. Mashirika ya umma yako nje wa mfumo wa serikali kuu ingawa serikali ndio mbia mkuu. Unachosema kilikuwa kweli zamani lakini sio sasa. Wakati wa ujamaa na utawala wa chama kimoja; mipaka kati ya mashirika ya umma, chama na serikali kuu haikuweko. Lakini sio sasa.

Amandla.....
 
whistling... katika habari zote hizi ni lazima watu tujifunze kutofautisha what ought to and what is.. Vinginevyo, tunaweza kutumia kipimo kisichosahihi kuelewa kinachoendelea Tanzania..

Mwaka 1980 Rostam alikuwa wapi?


Mkuu, seems una dataz ... shusha...
 
Hapana. Mashirika ya umma yako nje wa mfumo wa serikali kuu ingawa serikali ndio mbia mkuu. Unachosema kilikuwa kweli zamani lakini sio sasa. Wakati wa ujamaa na utawala wa chama kimoja; mipaka kati ya mashirika ya umma, chama na serikali kuu haikuweko. Lakini sio sasa.

Amandla.....

Ok, ili kuwa clear; cut off line yako ya "zamani" na "sasa" ni lini? 1992? 1995? 1999?(baada ya Nyerere kufa)
 
Findi Mchundo,
Mkuu umeuliza maswali mengi sana lakini pamoja na yote nionavyo mimi, wewe ndio umejichanganya zaidi.. Unafikiria sheria na utaratibu wakati swala zima linalozungumziwa ni hapa na Prince ni uvunjaji wa sheria..

Ni sawa na mtu kavunja Benki na kuiba fedha unauliza aliweza vipi? Je, unajua utaratibu wa kutoa fedha Benki?..Unajua ni nani mwenye mamlaka ya kuweka sahihi ili fedha zitolewe...na kadhalika..Ikiwa hivyo ndivyo unavyotaka kufahamu basi haitawa wizi tena au uvunjaji wa sheria..Rostam na Lowassa wameyafanya mengi sana kinyume cha sheria na inajulikana bila hata kupiga hodi..

Kuhusiana na swala la Balali, mkuu Balali hawezi kuwa mwizi ikiwa amri imetoka juu kwa Mkapa (rais wa nchi ) ambaye ametoa amri fedha itoke kuendesha uchaguzi ili - huyo Malaika apite..Ukichukua maneno ya Mkapa - Ili Malaika apite - inakuonyesha wazi kwamba even him Mkapa alilazimika kuchukua hatua hiyo wkaati Rostam akitafuta gum..
Mkuu utaambiwa vipi upate kuamini hata moja linalohusiana na Rostam!..Huyu jamaa alikuwa mweka hazina wa chama CCM mtu ambaye hakuwa na hata diploma ya Uhasibu..Elimu yake ya BA haijulikani ameipata wapi maanake ukitazama miaka yake ni lazima angesoma ktk vyuo vyetu na baadhi ya wachangiaji hapa JF..kwani Rostam tunayemjua hajawahi kuwa nje ya nchi kwa masomo..
 
Mkuu Fundi, hakuenda kutembelea Chile kama unavyosema, ila Chile alikwenda baada ya kuruhusiwa na serikali ya Japan, kujaribu kutafuta urais tena wa Peru ndio akakamatwa, kwa hiyo ahsante wka marekebisho lakini na wewe uko nje ya mstari maana hakuenda Chile kutembea as kutembea soma chini hapa:-
Hakurudishwa Peru na wajapani. Alienda kutembea Chile akatiwa ndani. Ni serikali ya Chile ndiyo iliyomrudisha Peru!





The Trials of Alberto Fujimori

fujimori_1212.jpg

Former Peruvian President Alberto Fujimori speaks during his trial at the Special Police Headquarters in Lima, December 12, 2007.
Reuters


Former Peruvian President Alberto Fujimori's talent for doing the unexpected came through in the initial days of the first of his trials for murder, graft and abuse of power. Hours into the presentation of witnesses and evidence, Fujimori was given the chance to speak, asked by the judge to enter his plea of guilt or innocence. After serenely requesting a bit of extra time, Fujimori launched into an outraged howl, screaming at the surprised courtroom that he had saved Peru and rejected out of hand the charges. "I totally reject the charges. I am innocent. I do not accept this accusation," he bellowed, before taking his seat.

This particular trial was for abuse of authority for illegally ordering the search and seizure of the home of his former security chief, Vladimiro Montesinos. On Tuesday evening, he was found guilty and sentenced to six years in prison on the charges, the first Peruvian president in history to suffer such humiliation. In contrast to his earlier belligerence, Fujimori calmly told the court that he would appeal the verdict, a very different response from the arm-failing, red-faced tirade of the previous day.

Almost immediately, another, more dire trial began. In this new proceeding, Fujimori is accused of giving the green light to the actions of a death squad, known as the Colina Group. The case against Fujimori involves the killing of 15 people at a barbeque in downtown Lima in 1991 and the murders of nine students and a professor from a local teachers' college the following year. It also includes the charge of ordering the kidnapping and torture of a journalist and a businessman, also in 1992. The prosecution has asked for a 30-year sentence. On Wednesday, Fujimori reiterated his innocence, claiming he had no prior knowledge of the Colina Group.

All the charges involve the ex-security chief Montesinos, who is the alleged creator of the death squad. After Fujimori went into exile in 2000, Montesinos fled to Venezuela, which allowed him to be extradited to Peru in 2001. Fujimori claims that his relationship with Montesinos was fully within accepted government bureaucratic norms and practice. However, during one of his own trials, Montesinos said that all of his actions were predicated on orders from Fujimori. Montesinos has already been sentenced in 25 other cases.

One other upcoming Fujimori trial involves his giving Montesinos a $15-million golden handshake when the government began collapsing in September 2000. Yet another involves the illegal wire tapping and misuse of funds to keep track of and to bribe opponents into submission.
Apart from the initial outburst, Fujimori, 69, dressed sharply in a pinstriped suit, alternated between looking bored, scribbling in a small notebook, and annoyed, pursuing his lips and knitting his brow. His supporters were not surprised by the results of the first trial but are nevertheless combative. "This verdict demonstrates that the president will not receive a free and fair trial. The court can do what it likes, but Peruvians will be the final jurors and they will vindicate him," said Rep. Carlos Raffo, a member of a pro-Fujimori congressional caucus. Fujimori's opponents, however, see the ex-president's courtroom behavior as evidence that he is still desperately trying to regain power.

Fujimori has both a distinguished and an ignominious place in Peruvian history. The son of Japanese immigrants, he ran for the presidency in 1990 as an unknown, bolting from obscurity to beat the frontrunner, the country's best-known author Mario Vargas Llosa. Even though he had no experience in government, his administration swiftly dealt with runaway inflation, which was running near 8,000% when he took power. When Congress rejected strict anti-terrorism legislation, Fujimori simply closed it and the judiciary in April 1992, announcing that he would rule by decree. A few months later, the leaders of two brutal insurgencies were captured and Fujimori's star rose further.

A tailor-made constitution allowed him to run again in 1995 and, given the defeat of inflation and terrorism, he easily scored the most lopsided victory in the country's modern history. He ran for a third term in 2000 and won, but the elections were largely seen as fraudulent and his new term ended almost as soon as it began when a corruption scandal broke in September of that year.

With the arrest of his closest associates, Fujimori fled to Japan, his ancestral homeland, in November 2000 and was granted citizenship there. Peru was unable to extradite him from Japan. But then Fujimori did the unexpected and secretly flew to Chile, Peru's southern neighbor, in October 2005. The idea was to return to Peru from Chile to possibly run in the 2006 elections, but those plans were foiled by Chilean police, who promptly arrested him. Fujimori did come home, but under guard. The Chilean Supreme Court approved his extradition on seven counts in September.



Respect.

Wazee wa sauti ya umeme FMEs!
 
Hapana. Mashirika ya umma yako nje wa mfumo wa serikali kuu ingawa serikali ndio mbia mkuu. Unachosema kilikuwa kweli zamani lakini sio sasa. Wakati wa ujamaa na utawala wa chama kimoja; mipaka kati ya mashirika ya umma, chama na serikali kuu haikuweko. Lakini sio sasa.

Amandla.....

eh!? Wakuu wa mashirika ya umma wanateuliwa na nani na bodi zao zinateuliwa na nani? Mahesabu yao yanakaguliwa na nani na yakiingia matatani nani anawapa ruzuku? Unless unamaana nyingine unaposema "mashirika ya umma yako nje (ya) mfumo wa serikali kuu".

Halafu ukijenga hoja wewe jenga tu bila kurusha madongo, dharau au kwa namna fulani kuwafanya wengine wawe duni kwa sababu wana mtazamo tofauti.
 
Hapana. Mashirika ya umma yako nje wa mfumo wa serikali kuu ingawa serikali ndio mbia mkuu. Unachosema kilikuwa kweli zamani lakini sio sasa. Wakati wa ujamaa na utawala wa chama kimoja; mipaka kati ya mashirika ya umma, chama na serikali kuu haikuweko. Lakini sio sasa.

Amandla.....

- Kwa mfano tutajie shirika moja tu unalolijua mkuu?

FMEs!
 
- Mkuu Sikonge, hii haijakaa sawa hebu fuatailia habari za huyu Mzee Fujimori, maana ninajua ni last week tu kesi yake imeisha katika mahakama ya wananchi huko Peru na wamem-found guilty katika all the charges against humanity, anasubiri kuhukumiwa kwenda jela maisha,

- Wa-JaP walimtosa longtime na kumrudisha Peru kusimama mbele ya sheria ya wananchi aliowaibia sana na kuwaua bila makosa.

Respect.

FMEs!

FMes,

Ni kweli maneno yako. Na kwenye ile thread nyingine, Fundi Mchundo aliniambia hilo, ingawa kwa Masimango. Ila yupo Mjep ambaye anatafutwa na nchi za Ulaya hadi leo. Jamaa huyo ambaye ni Canibal aliyekula wanawake wa Kizungu (Canibal Superstar Issei Sagawa) ambaye nina uhakika hadi leo anaishi Japan huku anatesa mitaa ya huko kwao.

Sagawa alikuwa anatafuta watoto wa Kizungu wazuri na KUWALA. Baadaye akaandika vitabu na film dokumental. Nchi za Ulaya hadi leo wana wanahamu naye wamrudi ila hawapati kitu. Wajapan huwa hawatoi mtu wao hata awe na makosa gani. Ni kama vile USA walivyosema kuwa ukikamata mtu wao, si tu watakaa kimya bali watakuja na kumchukua kwa nguvu. Ila kukupa mtu wao sijui itakuwaje.

Hakurudishwa Peru na wajapani. Alienda kutembea Chile akatiwa ndani. Ni serikali ya Chile ndiyo iliyomrudisha Peru!

Fundi Mchundo,

Hayo ndiyo maneno, kupeana habari bila masimango yoyote.
 
Inaonekana huyu Bw. amezuka tu kwenye anga ya siasa. Kweli, ni vyema tukajiuliza huyu jamaa alikuwa wapi miaka ya 80? Alisoma Tanzania? Rafiki zake ni kina nani?
Kama alikuja hapa Tanzania ukubwani, je aliukana uraia wa nje? Hivi ndio vitu vya kufuatilia.
 
Prince William, Karibu sana JF. Mchango wako ni muhimu kwenye ukombozi wa wanyonge.

Huyu jamaa Rostam Aziz, kweli alisoma wapi? Manake isije ikawa tuna misukule kila mahali mpaka bungeni!
 

Au, Mkuu, wewe unaejiita Prince, ulipitiwa na badala ya kuandika when ukaandika while? Kama ni hivyo, unataka kutuambia kuwa ni Rostam na Lowassa waliotumia mbinu chafu kumchafua Magufuli baada ya zoezi safi, transparent, la kizalendo na kimaendeleo, la kuuza nyumba za serikali?
....

- Zoezi la kuuza nyumba za serikali halikwua na tatizo, isipokuwa tatizo lililetwa kwanza na yeye mwenyewe Magufuli alipoanza kuuzia nyumba hizo ndugu zake na marafiki zake na mwisho kuuzia wasiohusika, otherwise it was a good thing,

- Mtandao never wanted Magufufli kwenye Cabinet yao, lakini ni umaarufu wa Magufuli kisiasa ndio ulioawalazimisha kumpa uwaziri, lakini toka siku ya kwanza walikuwa mbioni kumtafutia sababu za kumuondoa, infact nilisema mara ya kwanza baada ya cabinet kutangazwa, kwamba Mramba na Magufuli watatemwa mapema sana kwa Prince hayuko mbali sana na ukweli, ingawa tu masahihisho kwenye habari yake yanaweza kua ni neno Transparent na nyumba, hapana hakukuwa na transaprency kwenye lile zoezi, otherwise Prince is right 100% na the rest of the story!

Respect.

FMES!
 
Hebu nione kama nimemwelewa huyu Prince William. Anadai Marehemu BALALI aliitwa na MKAPA, alaamrishwa akampe pesa ROSTAM. BALALI akakaa na huyu fisadi papa, akamfundisha namna ya kucheza mchezo, akamuunganisha na MAREGESI amsaidie kufungua kampuni ya KAGODA ili kuchota mihela. Katika juhudi za kupoteza lengo basi BALALI akashauri wezi wengi zaidi ili mradi wa kikatie Chama Tawala mgao.

Bila aibu unaleta yote haya ati kuonyesha kuwa Rostam ndiye fisadi papa wakati hao waliomkaribisha, kumfundisha na hata kuingiza wezi wengine hauwaoni! Kama hii hadithi yako ni kweli, unaweza kweli kudai kuwa Rostam ni muovu kuliko Balali?

.

- Again mkuu acha personalizations, ya aibu hayatakiwi kuwepo hapa kwa sababu hata wewe unapaswa kuona aibu kushupalia a none ishu, Rostam ndiye king wa ufisadi na ndiye masteminder wa all the ugly games, maana usiniambie kwamba ni Lowassa, Mkapa, Maregesi na Balali ndio waliomuajiri Msekwa Vodacom? No aliajiriwa na Rostam!

- Halafu huwezi kusema kwamba Mkapa, Lowassa, na Maregesi ndio waliomuajri Ruhinda Vodacom? Aliajiriwa na Rostam on his own!

- Katika mkutano wake wa mwisho na waandishi wa habari bongo, Balali, alisema kuna wanaojaribu kumbebesha mzigo peke yake, ingawa wapo wengi walioshiriki, mara moja ikafahamiika kwamba Mama Meghji alishiriki, ingawa alijtetea sana rais aliishia kumtosa uwaziri, kwa hiyo ni kweli kwamba Balali aliidhinisha wezi wengi kushiriki, ninaikubali hii hoja kwa 100% kwamba ni ukweli!

Respect.

FMES!
 
Back
Top Bottom